MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Huoni ni faida itakua umepunguza kura zaoKuna watu watazimia....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni ni faida itakua umepunguza kura zaoKuna watu watazimia....
Sisi hatusemi WACHAWI WAMEKUFAHuoni ni faida itakua umepunguza kura zao
Kanda ya Ziwa kupata kura huko labda MAKONDA asiwepo CCM"Wachawi wooote wamekufa" - JK
"Wazuri hawafi" - Makamba Snr.
Tunatengeneza Bango kubwa na kulipeleka kila mahala kanda ya Ziwa.
RIP JPM.
kuna kitu katika kampen za uchaguz mkuu akikifanya bwana lissu bhc anashinda kweupee . yeye afunike kombe tu af amtajetaje jpm aaah tulioko huku kwa wapiga kura tunajua kura ziko wapi?Nipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
Amtaje JPM halafu mkuu wa mkoa wa Arusha atamtaja nani? Tena matusi yake dhidi ya JPM yatatumika sana kumchafua ukanda huo huku jamaa wa Arusha akikomaa kulinda legacy ya mzeekuna kitu katika kampen za uchaguz mkuu akikifanya bwana lissu bhc anashinda kweupee . yeye afunike kombe tu af amtajetaje jpm aaah tulioko huku kwa wapiga kura tunajua kura ziko wapi?
Sijaona tena matusi yake baada ya ushindi wa Lissu. Tlaatlaah unaitwa.Mwasi Kitoko Tlaatlaah
wampe nchiKitengo wanamkubali sana Lissu.
Wanajua nchi chini ya Lissu itapiga hstua kubwa sana ya maendeleo
watashindwaHao ndo watakaokuwa wakwamishaji wakubwa sana wa Lissu,
Kwa sasa hangya atatenga fungu zito sana kwao ili wamsupport.
Sijawahi kuangushwa na wasukuma jaman hata sio wanafiki kwa kweli, Tundu Lissu nenda wasalimie ndugu zetu tunakuamini sana wewe kuliko waarabuNipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
Khaaa yamefika huku ati niniSijawahi kuangushwa na wasukuma jaman hata sio wanafiki kwa kweli, Tundu Lissu nenda wasalimie ndugu zetu tunakuamini sana wewe kuliko waarabu
CCM Wana sera ipi yenye kuifanya nchi iondokane na umaskini, sio wewe uliekuwa unalia na sekta ya kilimo humu ukitolea mfano wa china? uvccm wengi hamjitambuiUnaijua Sera yeyote ya Lisu kiuchumi Ili Nchi upige hatua? Nitajie
Mnajaa sana upepo na matarajio hewa.
Katika kuhitimisha hoja yangu nilisema juhudi za serikali hazitoshi ,Sasa kama na nyie nyumbu hamja jipya Kuna maana gani ya kuwa Wapinzani?CCM Wana sera ipi yenye kuifanya nchi iondokane na umaskini, sio wewe uliekuwa unalia na sekta ya kilimo humu ukitolea mfano wa china? uvccm wengi hamjitambui
Nipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
View attachment 3210010Nipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
Utajua hujuiKhaaa yamefika huku ati nini
EmenMungu mbariki Tundu Lissu na vizazi vyake vyote 7
Mungu ibariki Chadema
Wamebakiza TOZO NYONYA DAMUCCM Wana sera ipi yenye kuifanya nchi iondokane na umaskini, sio wewe uliekuwa unalia na sekta ya kilimo humu ukitolea mfano wa china? uvccm wengi hamjitambui
Gete gete Bhageshi mwala sana!!Sijawahi kuangushwa na wasukuma jaman hata sio wanafiki kwa kweli, Tundu Lissu nenda wasalimie ndugu zetu tunakuamini sana wewe kuliko waarabu