Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
- Thread starter
- #61
Aisee Mkuu ni kwa watu wenye akili Kubwa tu ....duh!!!Ni kuunganisha dots hatimaye unapata mstari mnyoofu🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Mkuu ni kwa watu wenye akili Kubwa tu ....duh!!!Ni kuunganisha dots hatimaye unapata mstari mnyoofu🤣
Unaijua Sera yeyote ya Lisu kiuchumi Ili Nchi upige hatua? NitajieKitengo wanamkubali sana Lissu.
Wanajua nchi chini ya Lissu itapiga hstua kubwa sana ya maendeleo
Tulia chali yangu jombaa kunywa kwanza maji ....wenzako wanakikao cha dharura pale LumumbaUnaijua Sera yeyote ya Lisu kiuchumi Ili Nchi upige hatua? Nitajie
Mnajaa sana upepo na matarajio hewa.
Najua huwezi jibu Kwa sababu hata wewe unashangilia kuona sura ya Lisu ila hujui sera yake yeyote.Tulia chali yangu jombaa kunywa kwanza maji ....wenzako wanakikao cha dharura pale Lumumba
Mimi sijabeba mawe wala marungu🤣🤣🤣Najua huwezi jibu Kwa sababu hata wewe unashangilia kuona sura ya Lisu ila hujui sera yake yeyote.
Huko Chato Samia atakuwa na vingi vya kuonesha Sasa kazi kwenu kuchagua matokeo au sura na porojo.
So jibu hojaMimi sijabeba mawe wala marungu🤣🤣🤣
Hapa ni Balimi kwa kwenda mbele hoja peleka KizimkathiiSo jibu hoja
Ukimaliza balimi nijibu hoja ya sera za Lisu kwenye Uchumi ni zipi.Hapa ni Balimi kwa kwenda mbele hoja peleka Kizimkathii
Sawa Mkuu pamoja sana salimia huko KAPILIMPOSHIUkimaliza balimi nijibu hoja ya sera za Lisu kwenye Uchumi ni zipi.
Huyu kauli zake ni Tata na Tete. Mimi nasubiri maana ya alichokisema.Waachawi wote washakufa, yaan sijui lilimtoka tu Mzee wa watu au Mwasi Kitoko ndio alimshinikiza aseme hivyo pale mimi niliposikia amesema hivyo nikashtuka kwani ni masikio yangu au nimesikia vibaya nikaona kaliwekea lamination nikasema kuna sababu sio hivi hivi
Aseme saa hizi ili muigilizie?Unaijua Sera yeyote ya Lisu kiuchumi Ili Nchi upige hatua? Nitajie
Mnajaa sana upepo na matarajio hewa.
Kaka, huyu kapewa chama tu. Tumpe muda tutamjua tu anamtazamo gani kwenye uchumi.Unaijua Sera yeyote ya Lisu kiuchumi Ili Nchi upige hatua? Nitajie
Mnajaa sana upepo na matarajio hewa.
Hana lolote huyo sio Mpya amekuwepo miaka Mingi.Ukiuliza ACT utaipata wanachojua.Kaka, huyu kapewa chama tu. Tumpe muda tutamjua tu anamtazamo gani kwenye uchumi.
Wamesahai kama wao mdo walimchapa lisu masasi mengi sanaNipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
Ukurasa MpyaaWamesahai kama wao mdo walimchapa lisu masasi mengi sana
Kuna watu watazimia....Weka kapicha kidogo kunogesha uzi
Wacha uongo!Nipo Chato ni nderemo na vifijo hakika leo sio jana
Kwa sura hii tutegemee Mabadiliko makubwa sana katika siasa za Tanzania
Mungu ibariki TANZANIA
Unateseka?Wacha uongo!