Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

Miundombinu isipojengwa sasa unataka ijengwe lini?! Watu walishamaliza haya masuala wapo wanabuni kuishi sehemu nyingine.

Namibia, Botswana, Rwanda wanamaliza, je unataka kuanza kujenga Hospitali 2050? Unataka uanze kujenga Reli 2070? Itakuwa aibu kwa Taifa hili!

Nigeria kila Kanda/State inachuo level za kimataifa same South Africa same Morocco hadi Ghana?! Haiwezekani

Lazima tuyafanye sasa, japo 2025 tuanze urutubishaji na ujenzi wa vinu vya nyuklia.
 
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
yah..... na mimi nimei bold hapa chini!

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
 
Kuepeusha kujazajaza Daslam na Mwanza lazima tupeleke maendeleo sehemu nyingine, hii ndio tiba pekee.

Baada ya Hospital hii ya Kanda Mh. Magufuli asisahau chuo cha Kimataifa.
 
Chato inatokana na neno la kifaransa Chateau-
Château
A château is a manor house or residence of the lord of the manor or a country house of nobility or gentry, with or without fortifications, originally—and still most frequently—in French-speaking regions.
 
... sawa Mkuu. Nakubaliana na wewe, elimu ya juu, hospitali, usafiri wa kimataifa vijengwe CHATO sasa badala ya Dar-es-Salaam au maeneo mengine ya nchi. Sawa sawa kabisa.
 
Hii si sawa, kanda ya ziwa hospitali za rufaa mbili, kanda ya kusini hakuna, kanda ya magharibi hakuna. mmhh ukabila/ ukanda unapanda chati, umoja mshikamano utaporomoka tusipojisahihisha
Kusini inajengwa sasa, magharibi walisema watajenga Tabora baada ya kusini kuisha..

Typed Using KIDOLE
 
Kuepeusha kujazajaza Daslam na Mwanza lazima tupeleke maendeleo sehemu nyingine, hii ndio tiba pekee.

Baada ya Hospital hii ya Kanda Mh. Magufuli asisahau chuo cha Kimataifa.
... sawa. Kurundika maendeleo Chato ndio mwarobaini wenyewe!
 
Hizo Hospital za Mwanza ni bora labda kuongezewa vifaa na wataalamu. Lakini kusema aikomalie Mwanza yatatokea ya U-Daslam ambayo hatutaki kuskia.

Tunaratajia kufikia 2030 kila Mkoa uwe na Hospital ambayo inamaliza kila kitu kwa maendeleo endelevu ya Tanzania na Africa kwa ujumla.

Tumechelewa Sana, tujaribu kwenda na kasi sasa.
 
Kuepeusha kujazajaza Daslam na Mwanza lazima tupeleke maendeleo sehemu nyingine, hii ndio tiba pekee.

Baada ya Hospital hii ya Kanda Mh. Magufuli asisahau chuo cha Kimataifa.

Naona umechachamaa hatari kujibu ..
Hakuna alopinga huduma za jamii kuwepo kila nyanda.. Hoja hapa ni Hivi kweli ni Chato tuu? Hapa hakuhitaji hata akili ya darasani kuelewa kuna upendeleo kwa chato(tusitaje yalowekwa chato ) ambako sehem nyingine penye uhitaji zaidi hapakupewa kipaumbelele

Huduma ya jamii inatakiwa iwe sehem yenye kuhitajika sana na kufikaka kwa urahisi yaan umbali na miundo mbinu bora jee kwa kanda ya Ziwa nzima hapo chato ndo katikati et? Au tutete tuu ilimradi ugali uwepo mezani siku ziende...
 
Kwahiyo wajumbe walicheka hivo na sisi tucheke kwanza kidogo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
... cheka kidogo mkuu; itasaidia japo kupandisha "hapiness index" ya nchi kama nchi zenye furaha zaidi duniani. Tunaweza kuzipiku Scandinavia kimasihara! Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…