Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

... tuanzie na mkoa wenyewe wa Geita; hivi kwa akili ya kawaida sana katikati ni wapi? Naona Chato iko CENTRAL kwelikweli!
View attachment 1328475
Mada inaeleza ni Hospitali ya Kanda ya Ziwa na siyo Kanda ya Geita.

Hivyo basi kama ni Kanda ya Ziwa, Chato inakuwa baina ya Wilaya za Kigoma na Kagera pia hizo za Geita.

Huku Mwanza hizo hospitali mbili zinakuwa zimeshika Mara, Shinyanga na Simuyu.

Mbona hii haitaji Masters ya Mipango miji.
 
Hospital ishaisha na mambo yapombyeeee
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
umecheka kama wale wajumbe wa kamati kabisa!
 
Mada inaeleza ni Hospitali ya Kanda ya Ziwa na siyo Kanda ya Geita.

Hivyo basi kama ni Kanda ya Ziwa, Chato inakuwa baina ya Wilaya za Kigoma na Kagera pia hizo za Geita.

Huku Mwanza hizo hospitali mbili zinakuwa zimeshika Mara, Shinyanga na Simuyu.

Mbona hii haitaji Masters ya Mipango miji.
... Chato kwenda Mwanza ni umbali gani? Very near! Kwani hospitali mbili za rufaa ziwe karibu wakati maeneo mengine ya nchi hayana? Tungetaka kuwa wakweli, hospitali hii ingejengwa either far west (Kigoma say) or far east (Musoma say) kanda hiyo hiyo ya Ziwa. Maana yake upande mmoja ungeenda Mwanza na upande mwingine Kigoma/Musoma lakini sio kama ilivyowasilishwa na Mh. Waziri Ummy!
 
... Chato kwenda Mwanza ni umbali gani? Very near! Kwani hospitali mbili za rufaa ziwe karibu wakati maeneo mengine ya nchi hayana? Tungetaka kuwa wakweli, hospitali hii ingejengwa either far west (Kigoma say) or far east (Musoma say) kanda hiyo hiyo ya Ziwa. Maana yake upande mmoja ungeenda Mwanza na upande mwingine Kigoma/Musoma lakini sio kama ilivyowasilishwa na Mh. Waziri Ummy!
Preferably labda Kigoma au Kagera maana Mara wamewekwa kati na Mwanza na Arusha too near!

Well labda ipelekwe Kigoma au Kagera basi. Without that Chato ni kati ya hao wote.
 
Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita

Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo

My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?

Source Mwananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Seketule na bugando hazitoshi kwani..?
Unataka mijisindano yote hiyo imchome nani..? Wapelekewe na wengine huko
 
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Na mimi naungana nao kucheka 🤣🤣🤣...!!!
 
Haki ya Mungu nitavibomoa nikiwa rais, potelea mbali! 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Utakuwa kichaaa kuliko huyo anayejenga
 
Watu walipoanza kujenga Ma Hotel Makubwa makubwa Chatto tukawaona hamnazo kumbe wameshajipanga vya kutosha

Kila la Kheir wana Chato

Ila maendeleo yanatabia moja mbaya sana

Wageni na Wazawa hufukuzwa na maendeleo hayo hayo

Wazaramo wamebaki wa kutafuta K.koo

Mtwara mjini Wamakonde wameanza kuwa wapangaji kwenye nyumba za Wahaya na Wapemba

Dodoma mjini ukimuona Mgogo basi kuwa kaja kama sio kuuza ubuyu basi zabibu
Wamejitokeza kutumia fursa baada ya kumsoma Magu,wanaona mamiradi yanaelekezwa huko,kwanini wasitumie fursa?Kigoma,Kagera,Rukwa hakuna hospitali yenye hadhi ya rufaa!Wagonjwa Wote hukimbilia Bugando Mwanza,hii ni wazi JPM ameamua kuwa Mobutu Seseko!
 
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Waliocheka wasirudishwe kugombea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Naunga mkono hoja ijengwe haraka sana. Tunaihitaji sana hospitali hiyo! Anaeona wananeemeka tunashauri naye ahamie huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi
Duu! Huenda kukawa ni kulipa fadhila za kutotumbuliwa kwa miaka yote ya uwaziri! Binafsi nilizani Bugandle ingefanyiwa kwanza maboresho makubwa ili iweze kupanua huduma zake kama vile kupandikiza figo, kutoa huduma za matibabu ya moyo bila kufanya operation n.k! Quality is better than quantity!.....Pamoja na hayo ni vema tukaukemea huu utamaduni ulioanza kujengeka kwa mawaziri kushindana kujipendekeza kwa mkuu wa kaya, Leo huyu anapeleka uwanja wa ndege wa kimataifa, Kesho mwingine mwingine anajenga Soko la madini, Hapoapo mnasikia mwingine akitangaza kujenga uwanja wa mpira wa kimataifa wakati hakuna hata timu ya daraja la pili, Kesho kutwa m,nasikia mwingine akitangaza kujenga hospitali ya Rufaa ya kanda !!!!....Jamani hivi ni huko tu ndiko wanakoishi walipa kodi wa nchi hii????? Hebu tazameni na mikoa mingine, katika hiyo miradi yote kuna mikoa haina hata mmoja! Tujaribu kugawana keki ya taifa letu kwa haki, vinginevyo tutakuwa tunalipeleka taifa letu kusiko na njia!
 
Back
Top Bottom