CHADEMA, ACT hola? Wagombea walienguliwa wote au nini kimetokea?
CHAUMA upinzani anashinda anamshukuru Rais Samia kwa kushinda? CCM safari hii mmetisher!
=====
Your browser is not able to display this video.
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya Mwenyekiti Serikali ya mtaa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ikiwa ndio Chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi jijini Mbeya.
Akizungumza baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Soko - Mwanjelwa Brian Mwakalukwa wa chama hicho amesema atahakikisha anashirikiana ipasavyo na wenyeviti 180 waliopita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwani maendeleo hayana Chama.
"Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki, tunamshukuru mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan kwa kunirejeshea jina langu kama nimeshinda, nilikuwa na Furaha sana,"alisema Mwakalukwa
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya Mwenyekiti Serikali ya mtaa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ikiwa ndio Chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi jijini Mbeya.
Mzee wa ubwawa wa Chauma Kwa mara ya kwanza amenyakua ushindi wa mgombea wake kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Mtaa Jijini Mbeya.
Ikumbuke Mbeya Kwa kina Sugu ndiko Chadema wanajifanyaga ni ngome Yao lakini Wameambulia Sifuri yaani zero huku nafasi zote zikienda Kwa Tulia-CCM na Chauma ππππ.ππ
Your browser is not able to display this video.
My Take:
Ukiweka Wagombea wenye staha na maadili Wananchi wanakuchagua maana Viongozi wa Mitaa tunaishi wote huku huku tunatambuana sio sawa na Wabunge au Madiwani Hadi tuhadithiwe.
======
WENYEVITI WA MITAA MBEYA WABEBESHWA JUKUMU LA WATOTO WA MITAAN.
Wenyeviti wa Mitaa 181 ya Jiji la Mbeya kutoka vyama vya CCM na CHAUMA pamoja na wajumbe 905 wanaounda uongozi wa serikali za Mitaa, wameapishwa baada ya zoezi la uchaguzi kukamilika na kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo.
Wenyeviti hao 181, kati yao 180 wanatokana na chama cha mapinduzi CCM huku mmoja kati yao akitokana na chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, wamehimizwa kuzitumia nafasi hizo vyema ikiwa ni pamoja na Kupambana na ongezeko la watoto wa mitaani.
Mohamed Aziz ni Katibu tawala wa Wilaya ya Mbeya, anasema Kama viongozi wa serikali za Mitaa wakishindwa kusimamia usalama kwenye Mitaa yao hakutakua na utulivu hivyo ni jukumu lao kuyasimamia hayo, huku msimamizi msaidizi wa uchaguzi Ally Nnunduma akiwataka kuchangia mawazo yao katika maendeleo ya Jiji la Mbeya.
Nae mwenyekiti pekee anayetokana na chama cha ukombozi wa Umma, (CHAUMA) Brayan Mwakalukwa kutoka mtaa wa Soko kata ya Ruanda amesema anayofuraha kubwa kushinda nafasi ya mwenyekiti kupitia Chama hicho na anaahidi kutoa ushirikiano kwa wenyeviti wenzake, Diwani wa kata Ruanda na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson.
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya Mwenyekiti Serikali ya mtaa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ikiwa ndio Chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi jijini Mbeya.
Akizungumza baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Soko - Mwanjelwa Brian Mwakalukwa wa chama hicho amesema atahakikisha anashirikiana ipasavyo na wenyeviti 180 waliopita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwani maendeleo hayana Chama .
Hivi watu wapuuzi kama hao wasio na staha unaweza wasimamisha Kwa watu wastaarabu wakawachagua?
Sasa huo ni mfano mmja tuu,watu wa hivyo wasio na maadili Wala Heshima ndio walisimamishwa kushindana na CCM ambayo Ina wazee wenye Heshima zao wengine wamedumu kwa miaka 30.
Bahati mbaya sana uchaguzi wa Serikali za Mitaa tunatambuana
Sana tena sana shida ya Chadema hizi vurugu sio jambo wa Tanzania wanapenda watu hawataki fujo wa Tanzania watu wakupenda raha nadhani muda muafaka wakirudi kwenye reli wakafanya siasa badala ya uanaharakati watafanikiwa kipindi pekee walifanya siasa baada ya kumchukua CCM Lowasa vs CCM walifanya siasa na walifanikiwa. Siasa za kufanya kama unagombania uhuru zimepitwa na wakati.