Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
CHADEMA, ACT hola? Wagombea walienguliwa wote au nini kimetokea?
CHAUMA upinzani anashinda anamshukuru Rais Samia kwa kushinda? CCM safari hii mmetisher!


=====
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya Mwenyekiti Serikali ya mtaa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ikiwa ndio Chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi jijini Mbeya.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Akizungumza baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Soko - Mwanjelwa Brian Mwakalukwa wa chama hicho amesema atahakikisha anashirikiana ipasavyo na wenyeviti 180 waliopita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwani maendeleo hayana Chama.
"Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki, tunamshukuru mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan kwa kunirejeshea jina langu kama nimeshinda, nilikuwa na Furaha sana,"alisema Mwakalukwa
PIA SOMA
- LGE2024 - CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
CHADEMA, ACT hola? Wagombea walienguliwa wote au nini kimetokea?
CHAUMA upinzani anashinda anamshukuru Rais Samia kwa kushinda? CCM safari hii mmetisher!



=====
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya Mwenyekiti Serikali ya mtaa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ikiwa ndio Chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi jijini Mbeya.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Akizungumza baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Soko - Mwanjelwa Brian Mwakalukwa wa chama hicho amesema atahakikisha anashirikiana ipasavyo na wenyeviti 180 waliopita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwani maendeleo hayana Chama.
"Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki, tunamshukuru mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan kwa kunirejeshea jina langu kama nimeshinda, nilikuwa na Furaha sana,"alisema Mwakalukwa
PIA SOMA
- LGE2024 - CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!