Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Wa Tz mnapenda sana kugeuza stori za vijiweni kuwa habari kamili, kila mtu anamipango yake jamaa alivyosema tu anaondoka BBC nyie mkaanzisha stori za hisia kuwa inawezekana anakuja kupata nafasi serekalini, sahiv matarijio yenu yamekua tofaut mnasema kadhulumiwa nafasi yake.

Siyo kila mtu anamipango sawa na hisia zako, kikeke angekua anataka nafasi serekalin asingempiga maswali magumu Samia kwenye ile interview had samia akapanic angeanza kumsifia kulekule ajitengenezee mazingira
 
Unaona sasa ulivyo muongo eti wazungu wa UK hawajali elimu sana! Jidanganye labda kwa kazi ya kubeba boksi. Haujui lolote nakuhakikishia SK kimemtoa BBC elimu na kashindwa na Mkenya ndio yeye na wenzake wakatoa wengine wakakimbilia Idhaa ya Kiswahili ya Uturuki. BBC bila elimu na kumbuka dunia inapika kwenye bahari ya mabadiliko makubwa sio hizi Local media sina akina Swebe,Baba Levo,Kitenge, Kumwembe na akina Jose Mara zilivyojaza upuuzi na ujinga mtupu. Tena ukome kusema UK hawajali elimu vile vyuo vyao unajua wanavyozilinda kupokea watu wajinga kama wewe.
 
Kilichoelezwa Hapa na kumposa kikeke Ni kavideo chake Cha kudhiaki hoja ya bandari kwa kuchapisha maudhui ktk mtando wake wa Instagram na Kisha kushare na followers wake

Kivideo hiko kilimuonesha akiigiza Kama mtu anasain mkataba bila kusoma vzr Kisha anamuuliza umesign ....umesaini Kisha akasema sijasign ila nimesaini

Hicho ndicho kilichomponza kikeke na efm hakn maokoto
 
Kumbe wale waswahili wenzetu watangazaji wa idhaa ya kiswahili ya BBC wanalipwa mamilioni ya paundi ya Uingereza kila mwezi!
Hili ndo tatizo la wabongo... huwa hampendani!

Ulitaka wateseke wawe na maisha magumu kama nyie mliong'ang'ana kuishi hapa na hamkutaka kuvuka mipaka kutafuta fursa zingine za maisha?!
 
Ninakubaliana na Wewe 100%, kwani alimaliza form four mwaka 1988, Makumira sekondari akalamba Division 4.
Division 4 sio mwisho wa maisha... baadae alisoma kilimo na uandishi wa habari akaenda Ulaya na akasoma mpaka akafikia ngazi ya masters kwa taarifa yako. Na hivi sasa yeye ni bora kuliko waliopataga division 1
 
Ikulu kutamu, bro, kwenye mihangaiko yangu,niliwahi kufika BOT,kufanya interview, booy!tuliletewa chai nzito,korosho, vipaja vya kuku, baada ya kupiga, "nikamuuma" sikio mmoja wa wadada wa kazi pale ndani, akasema kwa wafanyakazi pale, hiyo breakfast ni kitu cha kawaida sana
 
Ninachojua, Kikeke na ma legend wenzake wa BBC Swahili waliamua kumaliza mikataba ya pale BBC baada ya studio kuhamishwa kutoka London kwenda nairobi.

Na ni watangazaji wengi tu waliamua kuacha kazi. Hizo Habari za kusema aliacha Kwa kutonywa Kuna mchongo Sio kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…