Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

wote ni hot garbage. Taka mbichi.[emoji3064]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please share the video [emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichokisema si habari hisipokuwa ni umbea na hisia za kutunga.Unatuambia Kikeke alikuwa analipwa mamilioni ya pound za Uingereza, Kikeke ni nani kulipwa hayo mamilioni ya pound?

Mikataba ya kazi ina ukomo, huwezi juwa Kikeke aliajiriwa BBC kwa terms zipi. Hii ya Tido Muhando au Zuhura Yunus siyo formula kwamba mtu akifanya kazi BBC ataishia kuchukuliwa na kufanya kazi Serikalini. Labda utuambie huyu aliyechukua hii nafasi ya Jafari ana mapungufu gani dhidi ya Kikeke? Kikeke watamwachishaje kazi kabla ya kumfanyia vetting?
 
Hili ndo tatizo la wabongo... huwa hampendani!

Ulitaka wateseke wawe na maisha magumu kama nyie mliong'ang'ana kuishi hapa na hamkutaka kuvuka mipaka kutafuta fursa zingine za maisha?!
Mpumbavu wewe,Mimi nilikuwa najaribu kumuonesha makosa ya kimaandishi aliyoyafanya kwa sababu si kweli kwamba wanalipwa mamilioni ya paundi kwa mwezi huko BBC kama alivyoandika mwandishi labda angesema hizo paundi wanazolipwa ukija kuzibadilisha kwa hela ya Bongo ndio utapata hayo mamilioni(kwa Tshs).
Uwe unatumia akili sio kukurupuka tu kama nyumbu.
 
Shangaa yani wanamkuza wakati mtu mwenyewe ni kilaza tu.Kwa vile alitangaza BBC swahili. At least angetangaza BBC english basi kama Larry Magowo.

Amelipa machawa kibao kumfanyia promo ya kimchongo mitandaoni, wameishia kumvimbisha kichwa bure tu na kumponza.

Mtu mwenyewe utoto mwingi na mikato ya kishamba shamba tu as if hana exposure ya ughaibuni.

Kupata 'connection' at BBC Swahili ndiyo wanamuona booonge la mtu smart kichwani, ilihali ni mweupe tu na kawaida saaaana below standards. Tunamjua in & out.

Aendelee kuomba dua. Mamlaka zitamuona tu hatimaye na kumjadili positively, hata kwa positions nyinginezo.

-Kaveli-
 
Unachekesha kweli! Ina maana baada ya kuhamia Nairobi wangeanza kulipwa mishahara ya kibongo hivyo wakaone bora waondoke? Kufanyia kazi mazingira tofauti na London huku ukilipwa mamilioni ya paundi tatizo liko wapi? Huna hoja wewe!
 
Hivi kumbe Salim kike ni Kijana!
 
Msamehe bure mkuu; hajui alitendalo. Anasumbuliwa na utoto tu akikuwa ataacha.
 
Hizi chuki Kwa watu sijui zinatoka wapi asee
 
Huyu tunamjua vizuri,anajidai mjanja na huko UK si alioa mzungu ili apate makaratasi ya kudumu ,na akamuacha mkewe (Rukia Mtingwa) Kisa tamaa ya uraia wa kwa Malkia Elizabeth. Yaani anataka kazi serikalini kwa nguvu zote. Labda atapewa hata ka ukuu wa wilaya si unajua anategemea connection ya Zuu.
 
Acha kujifia we kikeme huna akili hiyo. Kwanza ukipata div three o level tena masomo ya kike ya hgk
 
Mimi siamini kama aliacha BBC kwa sababu ameahidiwa kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali! Ni hisia tu zilizowasukuma watu kuamini ameacha BBC kwa sababu ameahidiwa nafasi hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…