rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
heat seeking missiles zipo pia,Ni kweli hiyo Checkmate haijajaribiwa popote ili kufahamu uthabiti wake. Siku hizi warusi wamekuwa watu wa mikwara sana.
Kuna kipindi miaka kadhaa nyuma walikuja na fix moja kali sana kwamba wamevumbua kombora moja isiyofuata "Trajectory"..!!! Kwamba ina uwezo wa kupiga piga kona hadi kwenda kupiga target...!!!
Well put!Asia pa moto ni kama Middle East. Tofauti ni kwamba Middle East kuna giants wawili Iran na Israel wengine ni wacheza ngoma inayopigwa, ila Asia-Pacific hasa Southern China sea kuna migogoro ya wakubwa mingi baina ya China vs Japan, China vs India, China vs Philippines, North Korea (DPRK) vs South Korea (ROK), China mainland (PRC) vs China ya uhamishoni (Taiwan). Pia Japan ana claims kwenye visiwa vya Kuril vya Russia. Australia nayo inajaribu kujiingiza kuitia pressure China. Marekani ndio kabisa ana bases kadhaa kuzunguka pale
Hao wagomvi wote wana uwezo wa kutengeneza silaha na wana uchumi mzuri. Silaha ambazo ni advanced sana ndio wananunua au wana-licence produce. Alafu migogoro yao sio ya kijinga kama Middle East walivyo: ukitazama Saudi Arabia vs Qatar ni wivu, Iran vs Israel ni dini, wengineo wanaburuzwa na idea ya kuiondoa Israel wamebaki nayo Wapalestina na Iran tu.
Kule Asia kila nchi inapigania mipaka yake, huu ni ugomvi mkubwa sio masihara
Ngoja nikuache unanipotezea mudasiraha = silaha
Wanatengeneza kwa ajili ya tahadhari wewe ina maana kwako unakaa bila hata karungu kisa hujawahi kuvamiwa?Mindege mipya kila siku inatengenezwa tu, chaajabu vita hamna. Waache woga huo wafanye mambo mengine tu
Mmmh hivi marekani mbona karibia ndege zao zote znafanya hiyo kazi miaka mingi sanaHiki kifaa kina uwezo wa kuchapa angani,majini na ardhini.
View attachment 1867098
japan hii hii mig 29 za korea kaskazini zinapiga misele kwenye anga la kijapani?Japan ana silaha nyingi za maana kuliko unavyodhania. Japan ina diesel submarines zinazotumia Air-Independent Propulsion system na ni nchi chache sana duniani zinajua kutengeneza hizi. Sweden ndio mgunduzi wa hii system na kaiweka kwenye subs zake za Gotland
Japan ina Type 10 main battle tank. Duniani ukiniuliza ni kifaru gani kiko optimized kwa matumizi naitaja Type 10 ikifuatiwa na Black Panther MBT ya S. Korea iliyoyengenezwa na Samsung. Hawa ukiwafuata kwenye ardhi yao ukaenda na vifaru vyako wanakupiga navyo wala huwashindi
Wote wana frigates za kisasa na pia wana modern amphibious assault ships wakati Russia mwaka 2014 alivunjiwa mkataba na France kuuziwa meli za Mistral, ziliuzwa kwa Misri yuko analinga nazo. Kwahiyo Russia HAWEZI sasahivi kutengeneza meli za kubeba helicopter kuzidi uwezo wa Japan au S. Korea
Japan sio mara yake ya kwanza kutengeneza ndege. Kwa sasa wana F-2 inayotengenezwa na Mitsubishi, ni derivative ya F-16. Wamehusika pia kwenye F-35 project na wanazo.
Checkmate haijaundwa kuwa air superiority fighter wala air dominant. Ipo kama mbadala wa stealth nyingine na hata Russian Airforce hawakutoa configuration kuwa iwe hivi, wao hawajui itakuwaje kwa hiyo sio kwa ajili yao. Na tender ya kuitengeneza hawajatoa hivo usidhani itakuwa ya maajabu, ila watatoa order ya units kadhaa. Naifananisha na China ilivyotoa J-17 ikaiachia Pakistan ifanye licence production
Japan na ROK wanaunda mlinzi wa anga lao kwa miaka ijayo. Russia anaunda bidhaa ya kuuza ndio lengo kuu na kukaa nayo kama subsidiary, anazo Sukhoi na MiG nyingi za kumlinda
F-2 ni copy ya F-16 na ndo maana watengenezaji ni Wamarekani(lockeed martin) na wajapan(Mitsubishi.sasa hapo kuna maajabu gani ndugu?Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao
Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
Maeekaji kama Dimondi tuu hahaahGharam 25m usd , ingekuwa marekani tungeambiwa 2b usd
Iyo F-2 uwezi ukaifananisha na mig-29 hata siku moja.ni chizi pekee atayeweza kufananisha F-2 na mig-29.ndo kwanza nakusikia wewe.kwanza iyo F-2 imeshiriki vita gani?Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao
Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
Korea Kaskazini haina ubavu wa kupeleka kopo lake lolote kwenye anga la Japan. Hawajawa serious kiasi hicho, tena ndege zao hazina upgrade, yani wao Mig-29 ndio za kulingia wakati Japan ina F-35. Na hata wakipeleka kwenye anga la Japan watarudishwa.japan hii hii mig 29 za korea kaskazini zinapiga misele kwenye anga la kijapani?
Mig -29 ina historia kubwa sana kwenye uwanja wa Vita na pia umeuzwa Nchi nyingi sana Duniani.mpaka Marekani wenyewe walishawai kununua Mig-29,kuifananisha F-2 na Mig-29 ni kukosa eshima kabisa.Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao
Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
Mimi sisemi maajabu bali uwezo. Swali lako lilitaka ndege ya Japan yenye uwezo kuzidi ndege yeyote ya Russia.F-2 ni copy ya F-16 na ndo maana watengenezaji ni Wamarekani(lockeed martin) na wajapan(Mitsubishi.sasa hapo kuna maajabu gani ndugu?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hapa hakuna hoja naona mipasho. Kama mimi ni chizi ninayezungumzia F-2 ambayo iko operational tangu mwaka 2000, wewe ni tahahira kabisa unayezungumzia Checkmate ambayo iko kwenye 'show room'. Haina injini, wala radar na haijawahi fanya testing ya kwanza kabisa ya ndege, taxiing. Ina 0 operational hours.Iyo F-2 uwezi ukaifananisha na mig-29 hata siku moja.ni chizi pekee atayeweza kufananisha F-2 na mig-29.ndo kwanza nakusikia wewe.kwanza iyo F-2 imeshiriki vita gani?View attachment 1867542
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ina historia kubwa na naipa heshima yake. Mbona Mig-21 Fishbed ina historia kubwa zaidi, kwamba ndio itakuwa na uwezo kuliko za sasa?Mig -29 ina historia kubwa sana kwenye uwanja wa Vita na pia umeuzwa Nchi nyingi sana Duniani.mpaka Marekani wenyewe walishawai kununua Mig-29,kuifananisha F-2 na Mig-29 ni kukosa eshima kabisa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
KOPOO!!! VIPI KUHUSU MAKOMBORA YANAYOPITAGA JUU YA ANGA LA JAPAN ?Korea Kaskazini haina ubavu wa kupeleka kopo lake lolote kwenye anga la Japan. Hawajawa serious kiasi hicho, tena ndege zao hazina upgrade, yani wao Mig-29 ndio za kulingia wakati Japan ina F-35. Na hata wakipeleka kwenye anga la Japan watarudishwa.
Leta evidence za unachokisema
Kupitisha kombora kwenye territorial water nalo ni jambo la kustaajabisha. Kwanza kule hata air defense system hazipalindi, nani alinde maji ya bahari dhidi ya kombora. Japan wana mpaka mkubwa wa majini, ni vigumu Korea kufyatua kombora na lisipite kwenye bahari sasa litaenda wapi ili lifanyiwe testing.KOPOO!!! VIPI KUHUSU MAKOMBORA YANAYOPITAGA JUU YA ANGA LA JAPAN ?
Nishakwambia F-2 ni copy ya F-16 na pia ni ndege ya ushirika,na hata ivyo bado haijashiriki operation yoyote ile ya kijeshi.lete taarifa za F-2 alafu mimi nilete taarifa za Mig-29M alafu tuone ipi ipo juu maana tusiongee tu.niambie kitu gani unachoona kipo juu kwenye F-2Hapa hakuna hoja naona mipasho. Kama mimi ni chizi ninayezungumzia F-2 ambayo iko operational tangu mwaka 2000, wewe ni tahahira kabisa unayezungumzia Checkmate ambayo iko kwenye 'show room'. Haina injini, wala radar na haijawahi fanya testing ya kwanza kabisa ya ndege, taxiing. Ina 0 operational hours.
Mimi nimezungumzia kijana ambaye hajaanza kusaidia wazazi wake. Wewe unazungumzia mimba
F-16 ina kill ratio ya 92:13 wakati Mig-29 ina 18:21. Yaani vitani Mig-29 zimekufa nyingi kuliko zilivyoua, hii inachangiwa na marubani wake wabovu na uwezo wake pia. Now, Japanese F-2 iko comparable na F-16, muulize mtoto wa la kwanza hapa Mig-29 na F-2 zikikutana nani atashinda provided that everything is constant
Sasa umeniletea ndege ya Japan au ndege ya ushirika?.Mimi sisemi maajabu bali uwezo. Swali lako lilitaka ndege ya Japan yenye uwezo kuzidi ndege yeyote ya Russia.
Kwa hoja yako hii tuifananishe na case ya Su-30MKI ya India na Su-30MKK ambazo ni licence production za Su-30 ya Russia. Hizi zilikuwa jointly manufactured ila zilipofanya vizuri Russia wakazitumia kutoa derivative ya Su-30SM. Now huwezi sema MKI au MKK hazina maajabu wakati zinaipiga Su-30 early version.
Na kama unaona joint production haina maajabu ujue Eurofighter Typhoon imetengenezwa kwa consortium. Hata F-35 kuna mikono ya nchi zaidi ya tano
Hiyo F-2 unayoona haina maajabu inatumia makombora ya Japan, mabomu ya Japan, radar ya Japan tena ikiwa AESA ya kwanza duniani kwenye fighter jet. Iko optimized na modified kwa ajili yao
KIJANA KUMBE HUJUI KUNA MAKOMBORA YANAYOPITA KATI KATI YA ANGA LA JAPAN ALAFU MENGI NDIO HUANGUKIA KARIBU NA MAJI YA BAHARI YA JAPAN KWANZA KOREA CYBER UNIT WAKIAMUA KUJAMU RADA ZA KILA INA HUKO JAPAN HAWASHINDWI KUNA SIKU F 35 YA JAPAN ILIKUWA INAFANYIWA MAJARIBI LAKIN ILIVYO INGIA TU KARIBU NA MAJI YA KOREA IKAPOTEZA MAWASILIANO NA KUANGUKA HAPO HAPOKupitisha kombora kwenye territorial water nalo ni jambo la kustaajabisha. Kwanza kule hata air defense system hazipalindi, nani alinde maji ya bahari dhidi ya kombora. Japan wana mpaka mkubwa wa majini, ni vigumu Korea kufyatua kombora na lisipite kwenye bahari sasa litaenda wapi ili lifanyiwe testing.
Siku Korea wakipitisha kombora lao kwenye ardhi ya Japan ndio tuone ukorofi wao