Teh teh! Nakusikilizia tu maana kama kawaida yako kukimbia na hukosi excuses mida muhimu kama hiyo...
Aisee naomba nikupongeze in advance, hongereni kwa kuingia fainali!..
Inabidi tufanye party kwakweli maana si haba tulipofika na chelsea..haa ha
Clock is ticking..tick tock tick tock.. Shadow bado una matumaini? Alves naye leo kawaangusha(Barca)
Mmezidi kujiangusha na nyie(Chelsea).
Icadon, Maji yamezidi unga
Kwa heshima zote!
Familia ya Bw. FERGIE inapenda kuwakaribisha katika harusi ya mwanae MAN U atakaemuoa mchumba wake wa muda mrefu CHELSEA itakayofanyika The Stadio Olimpico(Rome) tarehe 27/5/2009. Karibuni sanaa!..
Kwa heshima zote!
Familia ya Bw. FERGIE inapenda kuwakaribisha katika harusi ya mwanae MAN U atakaemuoa mchumba wake wa muda mrefu CHELSEA itakayofanyika The Stadio Olimpico(Rome) tarehe 27/5/2009. Karibuni sanaa!..
Mwali anaweza kuibiwa sekunde yoyote
Looh! Una vituko wewe, haya your wish is my command!..NotedSwetie usiwe ka mama 50 hahahahahaahha
shadow!
Hiyo imetoka yaani barca kwisha habari,lol! Messi ameniangusha leo japo nilikuwa ze bluez..
Lambada nitacheza next time au ligi ya spain huko..