Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani basi linaanza safari sasa hapa rosegarden wale mashabiki wa barcelona tunapitia break pint afrika sana ..b bar na bar za karibuni then river between kreti 10 za kwanzaa za bia zangu
 
Shadow!
Masa amehuzunika kweli na hatakuwepo jamvini mpaka siku ya fainali, najitahidi kumbembeleza wapii..Hajielewei.

Mpe pole mwambie achague timu . Pili mpe fomula ya kwamba mpira kuna matokeo ya aina 3.

BJ Endelea kula lambada la nguvu leo. What a come back!!
 
Invisible, Ab-Titchaz na Aljunioutz!

Poleni sana...ilikuwa mmemla ng'ombe wote ila mkia ukawashinda mwishoni..Kubalini matokeo..Pamoja!!!!
 
--------------------------------------------------------------------------------

Quote: Shadow
Masanilo natumaini umeshakunywa nusu kaputi!!!



MASANILO mpira umeisha tuondoe tofauti zetu ulikuwa uashabiki tu sie ndio tunaanza safari we uko bongo tukupitie......
 
Jamani basi linaanza safari sasa hapa rosegarden wale mashabiki wa barcelona tunapitia break pint afrika sana ..b bar na bar za karibuni then river between kreti 10 za kwanzaa za bia zangu

Mama mia tupo pamoja. Mimi nashuka kwa mkata kimeo pale kwa mtogore mwambie dereva asinipitishe. Manake huyo dereva ni the bluez!!
 
bado sana, barca wanahitaji goli moja tu, kagoli kamoja tu! kwisha habari ya ze bluez.

niliwaambiya barca wanahitaji kamoja tu, mwaona sasa.
survival of the fittest; chelsea are weak, just like liver, gunners and the rest.
man utd oyeee, kombe linarudi- barca kwa man utd hakuna kitu.
 
Invisible, Ab-Tichaz, Aljuniortz, Masanilo na wadau wengine wa Ze bluez poleni sana kwa masahibu yaliyowakumba uwanja wa nyumbani. Nilitegemea tutakutana Roma mtuangalie tukimalizia the Italian Job lakini ndio hivyo labda mwakani tena.
 
kwa niaba ya familia YOTE ya BARCELONA NAPENDA KUWASHUKURU KWA KUWA PAMOJA KATIKA MBIO HIZI KUELEKEA ROME.......NAOMBA TUMALIZE TOFAUTI ZETU....

NINGEPENDA KUSHABIKIA VITU VINGI LAKINI SI MPIRA ANASEMA KOCHA WA CHELSEA
 
Mama Mia, mimi naweka ESPN kujiburudisha kwa umakini hasa dakika kumi za mwisho. Umemwona Drogba anavyomfata Refa!!
 
Mpe pole mwambie achague timu . Pili mpe fomula ya kwamba mpira kuna matokeo ya aina 3.

BJ Endelea kula lambada la nguvu leo. What a come back!!

Big up Shadow maana leo ulikamia Barca na wameinuka vinara!!!

Nampa pole ila kabla ya fainali itabidi awe ameshachagua timu na kwavile wamefungwa na Barca anaweza kuwa manure ila tutakua zaidi fainali day!.

Kiaina full kujiachia na Lambada hapa,nifanyaje Messi juu!!!!.....Kweli mpira hauna fainali,nilijua ze bluez leo wanashinda na goli la mapemaaa ila imekuwa tofauti na mategemeo!..
 
Mama Mia, mimi naweka ESPN kujiburudisha kwa umakini hasa dakika kumi za mwisho. Umemwona Drogba anavyomfata Refa!!


Nakwambia ma baunsa wamembeba naona wanampeleka mirembe haamini......MUNGU YUPO
 
Invisible, Ab-Tichaz, Aljuniortz, Masanilo na wadau wengine wa Ze bluez poleni sana kwa masahibu yaliyowakumba uwanja wa nyumbani. Nilitegemea tutakutana Roma mtuangalie tukimalizia the Italian Job lakini ndio hivyo labda mwakani tena.
Icadon,

Usiombe hawa jamaa wabebwe hivi Roma, mtakasirika SANA I can bet.

Penalti mbili ZA WAZI refa anapeta tu?

I see, inaudhi sana. Heri akupe ukose mwenyewe tu. Au mimi ndo sijui maana ya penalti?
 
Big up Shadow maana leo ulikamia Barca na wameinuka vinara!!!

Nampa pole ila kabla ya fainali itabidi awe ameshachagua timu na kwavile wamefungwa na Barca anaweza kuwa manure ila tutakua zaidi fainali day!.

Kiaina full kujiachia na Lambada hapa,nifanyaje Messi juu!!!!.....Kweli mpira hauna fainali,nilijua ze bluez leo wanashinda na goli la mapemaaa ila imekuwa tofauti na mategemeo!..

BJ, unakumbuka uliposema kwamba mwali kishatolewa nilikwambia mpira dakika tisini na mwali anaweza kuibiwa?

Yani leo kwa raha zangu nimetulia. Ngoja sasa niweke picha za goli hapa.
 
Najua wapo wanaosema huyu REFA anakaa wapi tutamfute tumammalize .....
kama mnakumkbuka yule refa wa sweden alietumiwa msg kwamba
tunakuja nyumbani mwako hatuta mwacha mtu hata MBWA WAKO....TUTAMMALIZA
natumaini huyu refa NDANI YA HIZI SIKU 7 ANAITAJI KUTOKAA NYUMBANI MWAKE
 
Icadon,

Usiombe hawa jamaa wabebwe hivi Roma, mtakasirika SANA I can bet.

Penalti mbili ZA WAZI refa anapeta tu?

I see, inaudhi sana. Heri akupe ukose mwenyewe tu. Au mimi ndo sijui maana ya penalti?

Mkuu, hiyo ni sawa na ile red card ya ajabu ajabu. Kumbuka mcheka mwisho.....
 
Najua wapo wanaosema huyu REFA anakaa wapi tutamfute tumammalize .....
kama mnakumkbuka yule refa wa sweden alietumiwa msg kwamba
tunakuja nyumbani mwako hatuta mwacha mtu hata MBWA WAKO....TUTAMMALIZA
natumaini huyu refa NDANI YA HIZI SIKU 7 ANAITAJI KUTOKAA NYUMBANI MWAKE

Chelsia wanatapia hiyo!
 
Pole zenu sana Ze Bluuuz, naona hamchekani na Liverpool na Arsenal wote trophiless msimu huu. Everton wananyakua FA pia lol
 
MASANILO mpira umeisha tuondoe tofauti zetu ulikuwa uashabiki tu sie ndio tunaanza safari we uko bongo tukupitie......

Nimemfikishia ujumbe amsema 'peace', haina neno ni hekaheka za kushangilia tu!..Yupo down mana ze bluez wametolewa na Barca!

Mama Mia Hongera sana kwa ushindi!..Big up
 
Back
Top Bottom