Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BJ, unakumbuka uliposema kwamba mwali kishatolewa nilikwambia mpira dakika tisini na mwali anaweza kuibiwa?
Yani leo kwa raha zangu nimetulia. Ngoja sasa niweke picha za goli hapa.
..im not chelsea fan lakini wakuu hii inauma kweli kweli ukizingatia last yr final chelsea ilikuwa washinde,gaddam ref kawabeba hawa spanyola...huyu ref afungiwe na tusimwone Rome maana anaweza kutuharibia,go go manh...all the way!
Invisible, Ab-Tichaz, Aljuniortz, Masanilo na wadau wengine wa Ze bluez poleni sana kwa masahibu yaliyowakumba uwanja wa nyumbani. Nilitegemea tutakutana Roma mtuangalie tukimalizia the Italian Job lakini ndio hivyo labda mwakani tena.
Pole zenu sana Ze Bluuuz, naona hamchekani na Liverpool na Arsenal wote trophiless msimu huu. Everton wananyakua FA pia lol
..Barca is no match for Manchester United!
..Barca is no match for Manchester United!
Mkuu Icadon!
Masa hajiwezi sasahivi inabidi nipokee pole zake..Yaani he is so down,kweli ushabiki una kazi tena kama kuna mechi kama ya leo...
Sijui kama usingizi utakuja!
Halafu unakumbuka tulimwambia Exaud awe Barca akakataa, naona leo ataota yupo Spain....jana huzuni leo tena huzuni,jamaa ana gundu kweli!
wewe wasema. Subirini siku hiyo!
Heh heheheeeeeeeeeeeeee... utajuuuutaaaaa kuwafahamu!!!!!!!!!!
kama kuna siku ambayo MKUU MSANILO hatoisAhau ni leo
mwaka 1992 ilikuwa BARCELONA NA MAN U FINAL KOMBE LA WASHINDI NA ALIEIFUNGIA MAN U ALIKUWA AMEHAMA KUTOKEA BARSELONA MWAKA MMOJA KABLA JE NANI
KUMWADHIBU MWENZAKE ROME??? JIBU






Bj, huyo hapo muuaji