BJ, HAPA NDO PALIKUWA PENYEWE , NAJUA MASANILO ROHO ILIPIGA PAAAAAAAA NA IKABIDI UANZE KUMFANYIA HUDUMA YA KWANZA
na nyie kurushana roho ;mmmmhh EMBU acheni amjasikia huko KENYA jamani...
tunampenda massa wetu;MKUU INVIS embu hiyo picha juu uangalie vizuri kama ndiyo yenyewe au lah....
BJ,
Hiyo keki lazima imeshavunjwa vunjwa na mtu ameanza kwaresma kabisaaaaaaa.
...angalia asije 'akajining'iniza mtini' kama yule bwana mkubwa pale Kenya! π buahah aha ahha a aaaaa, hihi hhiiiiiiiii πππ
BI mkubwa BELLINDA na imagine
FINAL INGEKUWA WAZEE WA KUJIRUSHA
RONALDO
VS
DROGBA
SIJUI PENALT ZINGEKUWA NGAPI JAMANI
HUYU REFARII ANGEKUWA CHIZI
Usiku mwema woote mungu awabariki kwa moyo wa unyenyekeevu mpaka dk ya tisini na kwa wale waliokataa tamaa mwanzoni wajue mungu anafanya njia pasipo na njia gnyt all
Barcelona defender Gerard Pique admitted he did touch the ball with his hand as the Spanish side qualified for the Champions League final at the expense of Chelsea - but insisted it was not deliberate.
BJ,
Hiyo keki lazima imeshavunjwa vunjwa na mtu ameanza kwaresma kabisaaaaaaa.
Mbu, ebu niambie kuna beki gani za kuzuia the trio siku ya fainali? halafu yahya toure kakomaa sana leo kwenye dala alilocheza. Mzee wa kujirusha alilijua hilo!
KUMRADHI......USIKU/AASBH/MCHANA (MWEMA),....unajua huku ni usiku lakini kwa wale mashabiki wa blues kwao mchana hawatalala mpaka asubuhi...am kiddin..
au nimalizie
starehe njema//maana kuna wanaogonganisha glass wengine kitandani furaha tu...am....k..
ciao
Asante sana Bi.Mkubwa na wewe alasiri njema kama siyo Alfajiri popote ulipo kwenye hii sayari..asante kwa changamotoz
...keki imemtumbukia nyongo, akiona cream anazomea ardhi "buaaaaaaaaaaaaaaaarrrrggghhhhh" uwwwwiiii mbavu zangu, uhuuuhuuuuuhuuu, he heeeee π
...ebana eeeh, ya fainali ngoja nitakuja kukuambia, ngoja kwanza nicheke mie, ha ha haaaaaaaaaa!!!! π uh uh uhhhh uhhh buaha haaaaaa!!!