Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mshabeba Kombe la Pre-season? Huenda likawa kombe pekee la ANCELOTI

heheheee.... baelezee hao bandugu

Tatizo lenu watani zetu mnawivu na ni waoga wakutupwa!!! Mechi za majaribio mnaenda malaysia, sijui wapi hukooo hata status ya futbol yao haijulikana halafu mnasema mnaenda kujipima nguvu.

Tukiwapiga watu 2x2x2@per mnabeza; why. kwaniniiiii?????😕
Tunawatumia salamu kwamba msimu unaoanza tumejizatiti kuhakikisha tunaziba gep zote.
 
Tumewachapa Club America ya Mexico bao 2 - 0.
Viva Ze Bluzz once again.
 
hongereni sana, mwanzo mzuri wa ligi! 😀
 
PRE-SEASON ni kwa ajili ya kutangaza club sasa nyie mmefanya ndio mashindano ya kukomalia game zote wanacheza kina Drogba ,Lamps
 
PRE-SEASON ni kwa ajili ya kutangaza club sasa nyie mmefanya ndio mashindano ya kukomalia game zote wanacheza kina Drogba ,Lamps

Naona mechi hufuatilii vizuri,wewe ulivyoona tunashinda ukafikiri ni kikosi chote kinapangwa angalia kikosi kilichocheza mechi ya mwisho na Club America
Chelsea (4-4-2) Hilario (Turnbull h-t) , Mancienne (Ivanovic 66), Alex, Carvalho (c), Hutchinson (A.Cole), Essien, Sinclair (Shevchenko h-t), Malouda, Deco, Kalou (Pizzarro 63), Sturridge (Di Santo h-t)

Sasa Belo tuambie Drogba yuko wapi hapo?Chelsea tutatisha sana msimu ujao,mkubali mkatae.
 


Very beautiful goals were scored....Amazing!
 
Aah si mnawajua hawa mashetani wekundu kawaida yao kubishana na redio hahaha
 
Mods tafadhali unganisheni hii na ile thread ya Chelsea, kulikuwa hakuna umuhimu wa kuanzisha thread yake (with pun intended).

Hongereni watani.
 
Kila msimu mnasema mnatisha, well mnatisha kwa kubadilisha makocha....
 
Kila msimu mnasema mnatisha, well mnatisha kwa kubadilisha makocha....

Ebanaeee, hao chelki ni machampioni wa makombe ya mbuzi aisee!!! walikuwa wakali enzi za blair waziri mkuu, maurinho kocha na kitwete ndio kwaaanza anaapishwa

Lakini labda msimu huu watachukua kombe la FA
 
Ebanaeee, hao chelki ni machampioni wa makombe ya mbuzi aisee!!! walikuwa wakali enzi za blair waziri mkuu, maurinho kocha na kitwete ndio kwaaanza anaapishwa

Lakini labda msimu huu watachukua kombe la FA

Ni kweli kombe la FA tutachukua na hayo mengine mbona hutaji? pia PL na Carling cup,ila Champions league uhakika hamna,kwa sababu akina Tom Henning Ovrebo bado watachezesha mechi msimu ujao, wanaweza kutufanyie yale ya semi final ya mwaka huu.ila msimu ujao kwa kweli watani wetu mambo yatakuwa si ya kitoto.
utabiri wangu msimamo utakavyoisha
1. chelsea
2.Liverpool
3.Arsenal
4. Man utd
5.Tottenham
6.Man city n.k
 
No he didn't

 
Thanks... being a Liverpool fan, i cant wait seeing the guys beating each other and injuring one another

Good shot Nani!!

1-0 Manure

Pole musee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…