Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Bora hata jackson kule mbele kunakuwa bizeAina ya uchezaji wa Nkunku ninyi ndio hamjui
Anahitaji wachezaji wenye uwezo wa kumpelekea huduma kitu ambacho hakuna. Mpelekee mpira kwenye penalti box ndio utajua umuhimu wake
Tupo ila ile ya PlayStationKwa mara ya mwisho.
Mpo kwenye title race au hampo?
Aisee, seriously?Aina ya uchezaji wa Nkunku ninyi ndio hamjui
Anahitaji wachezaji wenye uwezo wa kumpelekea huduma kitu ambacho hakuna. Mpelekee mpira kwenye penalti box ndio utajua umuhimu wake
Yaani ni aidha Sanchez amfukuzishe kazi Maresca au Marseac ampige Benchi SancezMaresca acha aendelee kumpanga Sanchez na kumtetea Atakuja kushtuka tuko wa 10 na zile quotes zake
Hata game plan yake ilikuwa ya hovyo kweli. YaaniMaresca anajionyesha waziwazi ni ko9cha very weakHii ndio siku pekee tulikuwa tunaweza isambaratisha City ila Game setup ya Maresca na kukomalia wachezaj wanaomuangusha inatugharim
Top 4 tumeshatoka huko sio mjadala tena, mashabiki ni wasumbufu sana. Kochja anayefundisha, kuwapanga, kuwapa maelekezo na kufanya sub wachezaji kasema lengo haikuwa top 4 msimu huu viherehere vywenu ni vya nini?Mkiendelea kuwachekea hawa Makima Top 4 mtaisikia kwenye bomba.View attachment 3214078