Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ila hizi beki za Chelsea sijui zimetoka nchi gani. Hani Haland anawaegemea tu nakuchukua mpira anawageuza anavyotaka.
Kweli Virgil van Dijk atabaki kuwa ndio beki bora duniani. Haland huwa anaomba sub akikutana na van Dijk ila leo huyo Colwell na Chalobah utafikiri ni vikinda vya miaka 10.
Pumbaf kabisa
Kweli Virgil van Dijk atabaki kuwa ndio beki bora duniani. Haland huwa anaomba sub akikutana na van Dijk ila leo huyo Colwell na Chalobah utafikiri ni vikinda vya miaka 10.
Pumbaf kabisa