Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii timu ilianza kujipata lakini kocha na wachezaji wakalewa sifa vipigo vilipofululiza timu imeshapoteza kujiamini tena imerudi hatua kumi nyuma mechi ya mwisho timu ilicheza kwa kujiamini ilikuwa game na Brentford
Kocha kaleta mchezo wa kuwapunguzia pressure wachezaji ila outcome imekuja kuambatana na kupoteza morali
Kufungwa ni part ya mchezo ila kinachoniogopesha ni pale timu unapocheza vibaya na kocha anaona ni sawa can't imagine game ya Jana kocha anasema ilikuwa 50/50 kabla ya goli la pili wakati timu imecheza rubbish zaidi ya dakika 30 kwenye kipindi cha kwanza

Weakness kubwa ambayo kocha ameshindwa kabisa kuinject kwa wachezaji ni uwezo wa kupress na kuspot hatari wachezaji wanakabia macho wako laini laini ni Caseido tu anayeweza kufanya marking Seriously wakati swala la kukaba kwenye modern football ni collective
Kiburi cha kocha kuhusu golikipa sio hata cha kujadili including SD ,ogopa sana mchezaji aliyekuwa na namba akapoteza tena akiwa timu kama Brighton kwenye hili dhambi ya kwanza ni kwa waliomsajili
Kuna muda huwa nawaza hata ulaya pia kuna matapeli kwenye club kwa nini walimpatia kocha mkataba mrefu moja kwa moja ? Ilitakiwa kuwa miaka 2 then ukiridhika na project yake unampatia extension sasa mfano akifeli hiyo fidia madalali watalamba?
 
Hii timu ilianza kujipata lakini kocha na wachezaji wakalewa sifa vipigo vilipofululiza timu imeshapoteza kujiamini tena imerudi hatua kumi nyuma mechi ya mwisho timu ilicheza kwa kujiamini ilikuwa game na Brentford
Kocha kaleta mchezo wa kuwapunguzia pressure wachezaji ila outcome imekuja kuambatana na kupoteza morali
Kufungwa ni part ya mchezo ila kinachoniogopesha ni pale timu unapocheza vibaya na kocha anaona ni sawa can't imagine game ya Jana kocha anasema ilikuwa 50/50 kabla ya goli la pili wakati timu imecheza rubbish zaidi ya dakika 30 kwenye kipindi cha kwanza

Weakness kubwa ambayo kocha ameshindwa kabisa kuinject kwa wachezaji ni uwezo wa kupress na kuspot hatari wachezaji wanakabia macho wako laini laini ni Caseido tu anayeweza kufanya marking Seriously wakati swala la kukaba kwenye modern football ni collective
Kiburi cha kocha kuhusu golikipa sio hata cha kujadili including SD ,ogopa sana mchezaji aliyekuwa na namba akapoteza tena akiwa timu kama Brighton kwenye hili dhambi ya kwanza ni kwa waliomsajili
Kuna muda huwa nawaza hata ulaya pia kuna matapeli kwenye club kwa nini walimpatia kocha mkataba mrefu moja kwa moja ? Ilitakiwa kuwa miaka 2 then ukiridhika na project yake unampatia extension sasa mfano akifeli hiyo fidia madalali watalamba?
caicedo duels zote anashindwa, halafu mnategemea mshinde mechi
 
Tangu mwanzo timu imenunuliwa nilisema management ni mbovu katika uendeshaji wa timu.

Huwezi kununua Toyota vits ukataka ikimbie kama Subaru, uliona wapi?

Hiyo vits hata uibadilishe rims, ufunge mziki mzigo, maspoila, uandike ubavuni subaru evolution 12 bado spidi yake itabaki ile ile ya vits.

Wamiliki + SD Walitusajilia wachezaji kibao vits, matokeo yake mtaishia kutoa lawana kila siku, mkitaka wawe Subaru.

Kocha mwenyewe ni Engine ya kicarry iliyofungwa kwenye Fuso (The Blues).
 
Huyu Petrovic mimi niliwahi kusema alifanya vizuri sana kipindi cha Poch, wewe ndio ukaja kumtetea Sanchez sijui na mambo ya footwork nzuri na vitu gani sijui. Lakini ni ukweli sasa tunakubaliana Sanchez bado hafai kuanza wakati tuna Petrovic aliye kwa mkopo na anafanya vizuri tu.
Ni kweli kwamba Sanchez ana footwark nzuri kuliko makipa tulionao, Ni kweli pia Sanchez kaimprove sana toka awe chaguo la kocha. Ni kweli kwamba Petrovic au Filip hawana footwork nzuri kuliko Sanchez hasa wakati ule ligi inaaza. Sasa kule lgue 1 Petrovic ameimprove sana kwenye footwork na hii ni habari njema labda kocha amkatae mwenyewe msimu ujao. Tatizo la Sachez ni kwenye maamuzi yenye kuitosa timu (Eratic decision making)
 
Huyu hakufaa hata kusajiliwa. Inakuwaje unasajil gk no 2 wa brighton halaf aje kuwa gk no 1 wa team yetu.

Our SD hawapaswi kuwepo mpka sasa washafanya makosa mengi yanayoigharim hii team
SD wenye mid team mindset. Wanajua tu kuibua vipaji wa kuja kuwakuza na kuwauza ila masuala ya nkupambania ubingwa wao hawajui kabisa. Tumeliwa na wamiliki ndivyo walivyotaka kufanya biashara ya wachezaji
 
Petrović ana msimu wa kuvutia huko Strasbourg. Ameorodheshwa kipa bora wa 4 kwenye Ligue 1 na Sofascore, mbele ya Marcin Bulka, ambaye watu wengi walimtaka majira ya joto yaliyopita.

1737912965369.png
 
Tangu mwanzo timu imenunuliwa nilisema management ni mbovu katika uendeshaji wa timu.

Huwezi kununua Toyota vits ukataka ikimbie kama Subaru, uliona wapi?

Hiyo vits hata uibadilishe rims, ufunge mziki mzigo, maspoila, uandike ubavuni subaru evolution 12 bado spidi yake itabaki ile ile ya vits.

Wamiliki + SD Walitusajilia wachezaji kibao vits, matokeo yake mtaishia kutoa lawana kila siku, mkitaka wawe Subaru.

Kocha mwenyewe ni Engine ya kicarry iliyofungwa kwenye Fuso (The Blues).
Ndg CashMoney, hawa wachezaji wengi wao ni wazuri, tumewaona walivyocheza tangun ligi ianze hadi 22 Desemba 2024 pale walipogoma kucheza vizuri. Pamoaj na uwezo mdogo wa kocha mimi naona wachezaji hawataki kujitoa kwa ajili ya kocha. Kuna comunication bnreak down. Hivi punde tutajua zaidi
 
Aliyetutapeli ni Maresca, kafanya vizuri kuaniza Agosti hadi December tukajua ndiye Mesia tumtarajiaye pale Chelsea kumbe alikuwa Mesia feki
Si kocha mwenye akili ya makombe maana ni mzito wa kufanya sub na kubadili mfumo
 
Mtalaumu wachezaji mpaka mchoke, tatizo la Chelsea liko kwa Boehly na genge lake lote. Boehly na genge lake toka wameinunua Chelsea plani ama maono yao yako katika biashara ya kununua na kuuza wachezaji.

Ndio maana leo hii Chelsea ina nunua wachezaji wa hovyo kuwahi kutokea hapo kabla. Lengo lao ni kuwaongezea thamani na kuwauza kwa faida hapo baadae. Huyu Boehly hala maono ya Chelsea kuwa mshindani katika michuano inayo shiriki, ilikuwa ni kosa kubwa sana kumuuzia timu yule tapeli.

Chelsea ya sasa kuanzia kocha mpaka wachezaji wote ni matakataka, huo ndio ukweli mtupu ukubali ama ukatae utajua wewe.
 
Unaambiwa yule mwarabu mechi ya kwanza TU kaanza kuwatoa chelsii kamasi
 
Mtalaumu wachezaji mpaka mchoke, tatizo la Chelsea liko kwa Boehly na genge lake lote. Boehly na genge lake toka wameinunua Chelsea plani ama maono yao yako katika biashara ya kununua na kuuza wachezaji.

Ndio maana leo hii Chelsea ina nunua wachezaji wa hovyo kuwahi kutokea hapo kabla. Lengo lao ni kuwaongezea thamani na kuwauza kwa faida hapo baadae. Huyu Boehly hala maono ya Chelsea kuwa mshindani katika michuano inayo shiriki, ilikuwa ni kosa kubwa sana kumuuzia timu yule tapeli.

Chelsea ya sasa kuanzia kocha mpaka wachezaji wote ni matakataka, huo ndio ukweli mtupu ukubali ama ukatae utajua wewe.
Sikubaliani na wewe
Hawa wachezaji wengi wa Chelsea wanatakiwa na timu kubwa kubwa
Matakataka pale ni wachache sana na hawawezi kuichafua squad nzima. Wachezaji wengi pia hawana uzoefu akiwemo kocha na bodi, SDs na wamiliki
Hii squad akip[ewa kocha anayejua kutumia vipaji inaweza kutinga top 4 hata bila kuwanunua wengine
Tukinunua striker na CB wazuri tunaweza kupigania kombe, lakini sio na huyu Maresca, hana uzoefu kabisa na anaonekana hajali
 
Hivi angekubali kutua mjini Merseyside, Anfield pale ingekuaje cop? 😂😂
Huyo bado anasumbuliwa na wenge la kuwanyang'anya Caicedo, atamchafua anavyotaka ila kelele za mlango hazimnyimi Caicedo usingizi
 
Back
Top Bottom