Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Eti namba 10 ni lile zoba Palmer 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Palmer mpiga nyeto 🤣🤣
Sancho
Maduka
Forward yenu🤣😀🤣
Palmer mpiga nyeto 🤣🤣
Sancho
Maduka
Forward yenu🤣😀🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwasanue,,,Kumbe hamkupiga on target mechi nzima!
Mchezaji mvivu hatarii.Siwalikuwa wanasema eti Sancho ni mchezaji mzuri, eti kwakuwa anachezea timu mbovu ya Man u ndio mana hafanyi vizuri. Haya sasa Sancho huyo hapo sasaaa!!!???
Ligi ndo imeanza Sasa rasmi....bdo hamjaenda kwa wale wahuni Brentford....hakyanani mtatueleza nafasi ya 2 mlifikaje kipindi kile 🤠🤠🤠Kmamae kabisa , huwa sipotezi kuangalia hizi takataka ,
Mchezaji mvivu hatarii.Siwalikuwa wanasema eti Sancho ni mchezaji mzuri, eti kwakuwa anachezea timu mbovu ya Man u ndio mana hafanyi vizuri. Haya sasa Sancho huyo hapo sasaaa!!!???
Kisingizio chetu sisi ni tunaproject eti ambayo inatulaza na majonzi kila kukichaMarmoush 26 years, mwenzetu wanasajili matured players kuboresha kikosi, sisi tunasajili vitoto vya kufungwa pamps.
Project uchwaraKisingizio chetu sisi ni tunaproject eti ambayo inatulaza na majonzi kila kukicha
Miaka yote Arsenal ni Mbweha tu hata urembe kwa majina ya akina Bukayo Saka, sijui Declan Rice Arsenal inabaki ArsenalKenge kabisa
Jamie Carragher: “Chelsea has never been a project club, they were serial winners, they didn’t need to change it. I get they want young players, everyone wants young players but you can’t wait yearsWamekani matajiri, wameacha shughuli zao huko kuja kufanya utapeli jijini London wa kutusajilia wachezaji kama Liam Delap (22) au Jamie Gittens (20) ili kuja kuungana na watoto wenzao eti project wanaita.
Klabu hiyo inalenga wachezaji wachanga wenye umri wa miaka 18-22, na hakuna wachezaji wenye uzoefu ndani ya malengo ya sasa ya uhamisho ya Chelsea.
Ndio maana tutawakumbuka sana akina Thiago Silva, Rudiger, Kante, Jorginho. Hizo ndizo wasifu ambazo zingeweza kuwasaidia vijana hawa kukua kwa njia sahihi na ya kasi inayotakiwa.