Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kikosi cha mwisho cha Roman kabla matakataka hayajanunua timu.

images (2).jpeg
 
Chelsea wana nia ya kumsajili winga wa Crystal Palace Jesse Derry, 17.
1739736625395.png
 
Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.

Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?

1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
1739780217501.png
 
Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.

Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?

1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
 
Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.

Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?

1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Jamie Carragher: “Chelsea has never been a project club, they were serial winners, they didn’t need to change it. I get they want young players, everyone wants young players but you can’t wait years.”
 
Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.

Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?

1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Wanaume tunatoka kunyanyua UEFA halafu matajiri wapya wanatuletea habari za kujenga kikosi kwa pampas players. Badala ya kuboresha kikosi kilichobeba UEFA.
images.jpeg
 
Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
Kocha ndio mwehu, hakuna kisingizio cha ushindani wala nini, hao Strasbourg wakija kucheza na chelsea tutatandikwa kama watoto wadogo.

Kocha mpuuzi, anataka kutuletea za Arteta, eti miaka kumi tunamsubiri yeye tu na upuuzi wake, timu yenyewe hata uelekeo haina.
 
Kwa kweli mashabiki wa London waandamane Stanford bridge hiyo tarehe 25. Blue Co watupishe wamefeli kuendesha timu.

Yaaani kutoka kuwa bingwa wa UEFA mpaka kuwa malapulapu kuwasafishia wengine point 3. HAIWEZEKANI
 
Kocha ndio mwehu, hakuna kisingizio cha ushindani wala nini, hao Strasbourg wakija kucheza na chelsea tutatandikwa kama watoto wadogo.

Kocha mpuuzi, anataka kutuletea za Arteta, eti miaka kumi tunamsubiri yeye tu na upuuzi wake, timu yenyewe hata uelekeo haina.
Wamiliki
Wakurugenzi
Kocha
Wachezaji

Wote ni wehu. Roman asingekubali kuajiri matakataka kila mahali.
 
Kwa kweli mashabiki wa London waandamane Stanford bridge hiyo tarehe 25. Blue Co watupishe wamefeli kuendesha timu.

Yaaani kutoka kuwa bingwa wa UEFA mpaka kuwa malapulapu kuwasafishia wengine point 3. HAIWEZEKANI
Ukisema HAIWEZEKANI kwa maherufi makubwa unamaanisha nini mkuu?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
240px-Chelsea_FC.svg.png


Full name:
Chelsea Football Club

Nickname(s): The Blues, The Pensioners

Founded: 10 March 1905

League: Premier League

Website: ChelseaFC.com


View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m

View attachment 2262786
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg Wyss and Mark Walter

View attachment 2268766
Chairman: Todd Boehly

View attachment 3055233
Head Coach: Enzo Maresca
Chelsea Trophies:
League Titles: 6

Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)

European Trophies: 9
UEFA Champions League: 2 (2011/12, 2020/2021)
UEFA Europa League: 2 (2012/13, 2018/19)
UEFA Super Cup: 2 (1998, 2021)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 1970/71)
FIFA Club World Cup: 1 (2022)

FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)

League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)

Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)


View attachment 1889041
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Super Cup Winners(2021)

View attachment 1801870
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Champions League Winner (2020/21)

View attachment 2117727
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned FIFA Club World Cup Winner (2022)

View attachment 2682733
Chelsea’s Premier League Fixture - 2023/24

Follow this thread for team updates!
 
Back
Top Bottom