Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
Kuna wachezaji walishauzwa kabla ya June 22 am,bayo ndio squad ya mwisho ya Abramovich
Dah ! Hadi wewe mhuni umefufuka , kweli Chelsea tuna hali mbaya , hadi Hamis masingeli umefufuka , ni miaka miwili sasa umefia wapi sijuiEnjo Mareka apewe muda
Kosa kubwa mlifanya kumfukuza pochinene
Back to default mode😭😭Miaka yote Arsenal ni Mbweha tu hata urembe kwa majina ya akina Bukayo Saka, sijui Declan Rice Arsenal inabaki Arsenal
Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.
Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?
1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
BLUE CO walistahili kununua Brighton sio THE BLUESChelsea wana nia ya kumsajili winga wa Crystal Palace Jesse Derry, 17.
View attachment 3238448
Jamie Carragher: “Chelsea has never been a project club, they were serial winners, they didn’t need to change it. I get they want young players, everyone wants young players but you can’t wait years.”Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.
Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?
1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Wanaume tunatoka kunyanyua UEFA halafu matajiri wapya wanatuletea habari za kujenga kikosi kwa pampas players. Badala ya kuboresha kikosi kilichobeba UEFA.Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.
Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?
1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Kocha ndio mwehu, hakuna kisingizio cha ushindani wala nini, hao Strasbourg wakija kucheza na chelsea tutatandikwa kama watoto wadogo.Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
WamilikiKocha ndio mwehu, hakuna kisingizio cha ushindani wala nini, hao Strasbourg wakija kucheza na chelsea tutatandikwa kama watoto wadogo.
Kocha mpuuzi, anataka kutuletea za Arteta, eti miaka kumi tunamsubiri yeye tu na upuuzi wake, timu yenyewe hata uelekeo haina.
Ukisema HAIWEZEKANI kwa maherufi makubwa unamaanisha nini mkuu?Kwa kweli mashabiki wa London waandamane Stanford bridge hiyo tarehe 25. Blue Co watupishe wamefeli kuendesha timu.
Yaaani kutoka kuwa bingwa wa UEFA mpaka kuwa malapulapu kuwasafishia wengine point 3. HAIWEZEKANI
Nilitegemea ungebaki kwenye mada, hilo swali lingekuaj baadayeStrasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
Chelsea Trophies:
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m
View attachment 2262786
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg Wyss and Mark Walter
View attachment 2268766
Chairman: Todd Boehly
View attachment 3055233
Head Coach: Enzo Maresca
League Titles: 6
Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)
European Trophies: 9
UEFA Champions League: 2 (2011/12, 2020/2021)
UEFA Europa League: 2 (2012/13, 2018/19)
UEFA Super Cup: 2 (1998, 2021)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 1970/71)
FIFA Club World Cup: 1 (2022)
FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)
League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)
Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)
Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)
View attachment 1889041Follow this thread for team updates!
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Super Cup Winners(2021)
View attachment 1801870
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Champions League Winner (2020/21)
View attachment 2117727
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned FIFA Club World Cup Winner (2022)
View attachment 2682733
Chelsea’s Premier League Fixture - 2023/24
Hii point kubwa mkuu, hawakumpata mshauri mzuri, wamepoteza mabilioni yao mengi kumbe walikuwa wakitaka timu kama Brighton ya euro milioni 300 tuBLUE CO walistahili kununua Brighton sio THE BLUES
Mbweha kabisa kasoro mkiaKenge kabisa