AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 18
Acheni kulisaka chama dume(The Blues)!
Bwawa la maini walitangulizwa na baiskeli ya mbao, sasa wamefika kilimani watapandaje? J2 ni kichapo tu, ndio kwanza tumejiweka sawa ktk ligi, watani zetu man u wakae mkao wa kumegwa!!!!
Bwawa la maini walitangulizwa na baiskeli ya mbao, sasa wamefika kilimani watapandaje? J2 ni kichapo tu, ndio kwanza tumejiweka sawa ktk ligi, watani zetu man u wakae mkao wa kumegwa!!!!