Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Tumeshapoteza point 4 kwenye match mbili zilizopita hii sababu yako ya kitoto mno.. Ilikuwa ni match ya kuja full mkoko kupata point bila kujali udhaifu wa mpinzani.Mkuu Ipswich town kwa matokeo ya nje ya uwanja ilikuwa mechi nyepesi sana hiyo, ndio maana kapanga hicho kikosi.angekuwa anacheza na Liverpool asingepanga hivyo.
Wachezaji wenu wanatembea sana uwanjani.