Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
Nishawahi kusikia au kasoma kuwa; Ujaama ni imani, CHADEMA ni imani, dini ni imani, taifa halina dini bali lina imani,
1. Nini tofauti kati ya KUAMINI na KUJUA
2. Kujua na kuamini je ni kitu kimoja au tofauti.
2. Je, Ujamaa, chadema, dini tunapaswa kujua au kuamini
3. Je, mama yako unamuamini au unamjua. Vp ukija ambiwa huyu si mama yako
4. Je mama yako anaamini wewe ni mwanawe au anajua.
5. Itikadi ya chama chako unaiamini au unaijua
6. Je uwepo wa M.Mungu unaamini au unajua
7. Uafrika wako unauamini au unaujua
8. Je unakubaliana na hoja hii kuwa imani ni kuliamini jambo lenye mashaka na ukujua ni kuamini jambo lisile na mashaka.
9. Nini hukumu ya mtu kuamini jambo lenye mashaka na utawezaje kulijua jambo hili halina mashaka
10. Kwa ndugu wa wakristo mnajua au mnaamini Eloi ni jina la Mungu au Yesu ni Jina la Mungu
11. Kwa ndugu zangu waislam tunapaswa kujua au kuamini Allah ni jina la Mungu
12. Kati ya jina au uwepo wake M.Mungu nini tunapaswa kufanya kuamini na au kujua
13. Ikitokea imani ya dini yako inatofautiana na imani ya chama chako nini tunapaswa kufanya au kuacha. Kwa mfano ujamaa ni imani ya kutoamini uwepo wa mungu na ukristo na uislam unaamini uwepo wa Mungu.
Nini tunapaswa kufata au kuacha
1. Nini tofauti kati ya KUAMINI na KUJUA
2. Kujua na kuamini je ni kitu kimoja au tofauti.
2. Je, Ujamaa, chadema, dini tunapaswa kujua au kuamini
3. Je, mama yako unamuamini au unamjua. Vp ukija ambiwa huyu si mama yako
4. Je mama yako anaamini wewe ni mwanawe au anajua.
5. Itikadi ya chama chako unaiamini au unaijua
6. Je uwepo wa M.Mungu unaamini au unajua
7. Uafrika wako unauamini au unaujua
8. Je unakubaliana na hoja hii kuwa imani ni kuliamini jambo lenye mashaka na ukujua ni kuamini jambo lisile na mashaka.
9. Nini hukumu ya mtu kuamini jambo lenye mashaka na utawezaje kulijua jambo hili halina mashaka
10. Kwa ndugu wa wakristo mnajua au mnaamini Eloi ni jina la Mungu au Yesu ni Jina la Mungu
11. Kwa ndugu zangu waislam tunapaswa kujua au kuamini Allah ni jina la Mungu
12. Kati ya jina au uwepo wake M.Mungu nini tunapaswa kufanya kuamini na au kujua
13. Ikitokea imani ya dini yako inatofautiana na imani ya chama chako nini tunapaswa kufanya au kuacha. Kwa mfano ujamaa ni imani ya kutoamini uwepo wa mungu na ukristo na uislam unaamini uwepo wa Mungu.
Nini tunapaswa kufata au kuacha