Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
ndo maana sitembei na silaha naweza ua mtu yaani bora ukutwe na bwana pepsi atakupa utamu kuliko ukutwe na mme wa mtu aliyejaa hasira.Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana sitembei na silaha naweza ua mtu yaani bora ukutwe na bwana pepsi atakupa utamu kuliko ukutwe na mme wa mtu aliyejaa hasira.Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma
Mafisi wakike na wa kiume hatukuelewi
Amen hapo nmekuelewaHahahaaaaaa hapa najikuta tu lakini ndoa ni kisanga na kama mmeingia bhasi endelezeni league ili ukizeeka upate kitu kizito cha kumuasa binti yako akiwa anaolewa maana trick na chocho zote ushapita .
Unaanzaje kuwaombea wakati viongozi wa dini wenyewe wanachepuka? Tuombee watoto wetu, tuwaombee yatima na wagonjwa wapone
AmebarikiwaMi ni mme wa Sky Eclat
Hata wewe umebarikiwaAmebarikiwa
🙏🏾Hata wewe umebarikiwa
WooooiiiiiiHahaha hahaha hahaha
Ndo maana nikasema nasoma tuu comments!
Haha tusingekuwa tunaona matukio ya kuchomana visu na kulawitiana
Kwani sie tunakula vibovu? Yani nishuke kwenye harrier nikapande starlet? HihiiiiiihihiJifunzeni kuwa smart yaani me nimekuoa, lakini kisa ya tozi flani unaniona me Tonji.
Wakati sisi tunapiga vitu vikali huko nje, lkn kwa kukuheshimu mke wangu bado nabaki kwenye mstari wa ndoa.
AmenKuchepuka ni dhambi jamani acheni dhambi
Hahaha hahahaWooooiiiiii
Ya jirani iko marinatedhivi umuhimu wa kula nyama kwa jirani wakati ipo nyingine kama hio nyumbani kwako ni nini hasa?
You are rightHukupata muda mzuri wa kuuliza, hilo liko sahihi kabisa, ila lina mazingira ya tofauti kabisa.
hilo natoa ushuhuda kuna washikaji zangu wa 3 wanakula mwanafunzi mmoja na wanajuana mimi niliwaambia wawe makini tu maana miaka 30 inawaitaKuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
wanaofanyia ivyo ni wale wasiojuana kabisa jamaa anaamua kumfanyia unyama mwenzie sababu hawajuani lakin kama mko kitaa kimoja mbona safi tuHaha tusingekuwa tunaona matukio ya kuchomana visu na kulawitiana
please futa comment kwanzaLeo naomba nisome comments tuu jamani!