Chepuka kwa akili...

Chepuka kwa akili...

Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
Hao wanaume wa sayari ipi ?
 
Ikitokea kijiweni wawili au watatu mkajua kama mmepita kwa malaya mmoja mnagombana?

Mind you, sizungumzii demu wa yeyote kati yenu. Nazungumzia cha wote.
Scenario unayozungumzia ni kwamba mmekula nyama moja kila mtu kwa wakati wake bila kujua. Kwa hilo sina tatizo nalo. Wala hatuwezi gombana
 
Nimesubscribe kbs .leo mapovu yahapa sijui yaan..Eve ww unanichekshaga sana .hhahahaha!

Kuna kipindi inatokea biashara, bajeti na ada za watoto mnapanga na mchepuko..[emoji28][emoji28]!..ukitaka kuhama nyumba mchepuko anakutaftia dalali unazunguka na dalali[emoji28]..ukitaka ununue usafiri unamhusisha mchepuko kuliko mume[emoji28]...Kwakweli Mbingu tutaiskia tu !Mungu atusamehe

hatari san (In shekh Kipoozeo voice)
Duuh kazi ipo[emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom