Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Ni tume huru kwa maneno tu kwa vitendo ni tume ya kuhakikisha ushindi kwa CCM kwa njia yoyote.
 
Asante sana kwa update hii ninarejea sasa kufanya marekebisho stahiki. Ndiyo maana nikaweka angalizo la kuitisha nafasi ya maboresho.

Umeona mambo hayo sasa mjumbe mtarajiwa wa tume huru ya uchaguzi kutokea UP - Hapa Kazi tu, bwana johnthebaptist?

Mtoa mada ayajulie wapi haya ya nchi nyingine? Si sawa na kumfahamu jaji mkuu wa Malawi au Burundi?
Hahahaaaa....... Haya bwashee!
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Wawepo maspeaker na rais waliopatikana kutokana na uchaguzi halali. Kwa majina hayo sioni tume huru ikipatikana
 
Job Ndugai ana kadi ya chama cha CCM

Zubeir Maulid ana kadi ya chama cha CCM

Omar Makungu ana kadi ya chama cha CCM

Una 50% ya members hao wana kadi halali za CCM na ni wana CCM kiofisi

Majaji wote ni washabiki wa CCM japo hawana kadi maalumu...ndio jaji utumbo kama Siyani au Jaji mkuu,maccm!

Hapo hatuna tume Huru,tuna Tume iliyochaguliwa kwa atleast wajumbe 50% wanachama rasmi wa CCM ni tume Huru ya CCM

Hakuna kitu hapo...hatukubali huu umatako
Ungetafutwa utaratibu mbadala wa kupata tume huru ya uchaguzi.Tatizo ni watu kutoaminika.Ingawa kuna watu hata akiwa na Kadi ya chama fulani,lakini Wana uwezo wa kuangalia maslahi mapana ya nchi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
ila mbowe huwa anagombea na wenzake
ukijaribu tu kugombea na mbowe lazima upotee muulize wangwe yuko wapi mawazo yupo wapi saa nane yupo wapi mzee waziri mkuu mstaafu aliponea chupuchupu kupotezwa pale tu alipotaka kugombea uenyekiti na mbowe akaambiwa mzee sumu haionjwi mnapoambiwa mbowe ni GAIDI mnakuwa wabishi shauri yenu msije kusema hamjui

Tume huru inahusiana vipi na wagombea mjomba 😁😁?
 
Uhuru wa mtanganyika ulipatikana bila kumwagika tone la damu. Ukombozi wa pili wa mtanganyika kutoka minyororo ya mkoloni mweusi damu imemwagika na bado.
 
Hiki ni kimuhemuhe, ni maigizo yanaendelea. Tume huru gani isiyohushisha wapinzani kwenye mchakato mzima.
 
Wangapi hao mkuu utawapata wenye kuangalia maslahi mapana?

Hebu fikiria,Spika tu,ccm hawatakuchagua uwe spika huko Bungeni kama wewe sio mnazi wa CCM,Sitta alikua tofauti kidogo,ila bunge ndio lilishavamiwa na rais wote wanamtii rais,hakuna cha maana hapo

Wote kwenye hiyo kamati wanachaguliwa na rais,kasoro MasSpika wanaochaguliwa na maCCM kule bungeni na kule kwenye baraza la Zbar

Majaji wote wanachakuliwa na rais

Yaani kamati nzima inayotokana na rais wa CCM na maspika waliochaguliwa na CCM eti ndio waje kutuchagulia tume "huru" ya uchaguzi?

hawa majamaa yanavuta bangi kabisa,halafu yanadhani watz tutakubali eti

Ni vyema wao na washirika wao wa kajua hatutaukubali uhuni huu.
 
Ni mpaka wapigwe ngeu mkuu

Otherwise Zitto ataliwa tako sana aisee

Sijuagi kwanini Zitto ni kiazi hivi aisee

Yupo anamlamba mama miguu utadhani CCM ilivyo itatoa tume huru kweli...yaani dunia ina wanafiki sijapata ona

Zitto na zambarau watakuwa wamenasa kati ya mahaba ya wa Zanzibar na Mama. Mcheza kwao hutunzwa.

Tulipo wana 21% ajira JMT na mengi mafao lukuki wanayoyapata kwa mgongo wa Muungano.

Zenji ndiyo Chatto ya leo. Wazenji sasa hivi wapo kwenye kula na vipofu. Kwani hawautaki Muungano tena? Lugha zao sasa laini...

Si Zitto wala ACT wenye udhibiti wowote wa mambo au hata siasa za Zenji.
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Tutapigwa na kitu kizito sana... labda kama hao wajumbe watapatikana kwa taratibu huru na za wazi na si teuzi za kificho!!
 
Back
Top Bottom