Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Huyo Hamisa kafikia wapi? Mbona pisi ina maisha ya kawaida tu ile? Sasa Nandy na Hamisa wanatofauti gani kiuchumi na fame?
 
Uliwapima ukagundua kuwa wasanii hawapati ukimwi?
 
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Mbona huyo Nandy alikubali kuliwa na Ruge (anayesemekana kuwa alikuwa Grid ya taifa), UKIMWI ni mwingi sana kwa Wasanii.
 
Basi huyo Mungu ni waajabu sana.
 
Hatari sanaa karmaa huwa hasahau aiseee... sema diamond ashukuru ana hela na teknolojia imekuaa maana angekuja kushtuka kashaleaa mtoto kawa na miaka 30 mafanikio anayapata alafu sio mwanae[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chibu piga chini huyo jambazi asiyetumia silaha.
 
waislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Mtoto wa nyoka ni nyoka huwezi kumgeuza akawa kinyonga
 
Wewe baada ya kujua Vunjabei ni msanii hewa imekusaidia nini ?
Nawaonea huruma wazee wako kwa kukuza kilaza wa hovyo kama wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu hebu nipishee kuleee, huna unachokijua mxxxieeeeew, unakurupuka vibayaa, niliye mjibu alielewaa, wee kaa kushotooo, umbea na udakuu sio fani yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…