Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Huyo Hamisa kafikia wapi? Mbona pisi ina maisha ya kawaida tu ile? Sasa Nandy na Hamisa wanatofauti gani kiuchumi na fame?
 
Kama kweli basi wasanii wa ovyo sana.mimi kale ka nenga hapana

Wanawake tuna mapungufu ila mimi mwanaume star kutokea bongo ambae ningesema shetani angenipitia ikatokea tu ni kanumba tu hawa wengine hamna kitu. Yule na alikuwa mwanaume hata watu wakikuta nae hamna. mbumbumbu

Sasa ka nenga na hicho kidomo aiiiiiiiiii

Nyie wasanii hawana kinyaa hivi kwa nini hawapati ukimwi?
Uliwapima ukagundua kuwa wasanii hawapati ukimwi?
 
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Mbona huyo Nandy alikubali kuliwa na Ruge (anayesemekana kuwa alikuwa Grid ya taifa), UKIMWI ni mwingi sana kwa Wasanii.
 
Hana Mtoto Hata mmoja na akifa kisheria anapaswa atangazwe Hana Mtoto
Na wale watoto kama waislam wanapaswa watumie majina ya mama zao na hawana urithi na Wala ye hawarithi pia na wanapaswa waitwe hivi Latifa Zarina Hassan,Nillan Zarina Hassan,Dylan Hamissa Hassan na yule wa Kenya pia hivyo hvyo anafurahisha walimwengu ila Kwa Mungu (Kwa tunaoamini)Hana chake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Basi huyo Mungu ni waajabu sana.
 
KARMA ina mtafuna Diamond,angalia hata yeye mwenyewe kuzaliwa kwake na maisha yake,ukumbuke naye kalelewa na baba asie wake,mwishoni ameshakuwa ndio inadhihirika kuwa huyu baba ambaye ilionekana Diamond hamjali kumbe si baba mzazi na baba ake mzazi alishafariki.Kifupi zinaa ni mbaya sana,mwisho wa siku ndio unakutana na haya mambo ya watoto wanaozaliwa bila ya kujua baba zao....
Hatari sanaa karmaa huwa hasahau aiseee... sema diamond ashukuru ana hela na teknolojia imekuaa maana angekuja kushtuka kashaleaa mtoto kawa na miaka 30 mafanikio anayapata alafu sio mwanae[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chibu piga chini huyo jambazi asiyetumia silaha.
 
waislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Mtoto wa nyoka ni nyoka huwezi kumgeuza akawa kinyonga
 
Wewe baada ya kujua Vunjabei ni msanii hewa imekusaidia nini ?
Nawaonea huruma wazee wako kwa kukuza kilaza wa hovyo kama wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu hebu nipishee kuleee, huna unachokijua mxxxieeeeew, unakurupuka vibayaa, niliye mjibu alielewaa, wee kaa kushotooo, umbea na udakuu sio fani yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom