Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Nyie mnafikiri kupata ngoma ni raisi? [emoji16]...Yani pampu kumi tayari unao... tungeisha wote..
 
Labda Hamisa ndiyo awe chawa wa Nenga, kwanza Nenga ameoa mwanamke(Nandi) ambaye yuko way ahead of Hamisa kwa kila kitu yaani career, success mpaka kujitambua. Huyo anayezaa mtoto ambaye hana uhakika baba wa mtoto ni yupi anajielewa kweli?
 
Labda Hamisa ndiyo awe chawa wa Nenga, kwanza Nenga ameoa mwanamke(Nandi) ambaye yuko way ahead of Hamisa kwa kila kitu yaani career, success mpaka kujitambua. Huyo anayezaa mtoto ambaye hana uhakika baba wa mtoto ni yupi anajielewa kweli?
Mdangaji aliyechoka Kuna watu wanadai Jaguar wengine Dr Mwaka.
 
Mdangaji aliyechoka Kuna watu wanadai Jaguar wengine Dr Mwaka.
Hana uhakika ni nani hivyo hata muhusika halisi kwa sasa akiambiwa hawezi kukubali, alimlenga Diamond kwa sababu ya fame sasa kachomolewa it's so sad kwani kamuwe mtoto kwenye sintofahamu mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…