cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Utajijuuuuuuuuu, afu sio shida zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukoo wetu hauna mtu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajijuuuuuuuuu, afu sio shida zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukoo wetu hauna mtu kama wewe
Aweee...Mjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Nyie mnafikiri kupata ngoma ni raisi? [emoji16]...Yani pampu kumi tayari unao... tungeisha wote..Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Nandi yuko juu ya Hamisa, kwani Hamisa ana kitu gani mpaka mumlinganishe na Nandi ambaye ni one of the hottest female artists in Tanzania.Huyo Hamisa kafikia wapi? Mbona pisi ina maisha ya kawaida tu ile? Sasa Nandy na Hamisa wanatofauti gani kiuchumi na fame?
Labda Hamisa ndiyo awe chawa wa Nenga, kwanza Nenga ameoa mwanamke(Nandi) ambaye yuko way ahead of Hamisa kwa kila kitu yaani career, success mpaka kujitambua. Huyo anayezaa mtoto ambaye hana uhakika baba wa mtoto ni yupi anajielewa kweli?Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Mdangaji aliyechoka Kuna watu wanadai Jaguar wengine Dr Mwaka.Labda Hamisa ndiyo awe chawa wa Nenga, kwanza Nenga ameoa mwanamke(Nandi) ambaye yuko way ahead of Hamisa kwa kila kitu yaani career, success mpaka kujitambua. Huyo anayezaa mtoto ambaye hana uhakika baba wa mtoto ni yupi anajielewa kweli?
Hana uhakika ni nani hivyo hata muhusika halisi kwa sasa akiambiwa hawezi kukubali, alimlenga Diamond kwa sababu ya fame sasa kachomolewa it's so sad kwani kamuwe mtoto kwenye sintofahamu mbaya sana.Mdangaji aliyechoka Kuna watu wanadai Jaguar wengine Dr Mwaka.