Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Ila Kwa mtu mwenye utimamu tu ndio ataelewa yule mtoto sio wa Monndy kabisa kachomekewa kabambikiwa dogo afanani na Mondy kabisa yaan
daaah 400kV Gridi ya Nyakanazi ina sambaza HT kwa kasi sana, naona imefika mpaka kusini mwa UgandaRuge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Naona muhaya kaijage unatafuta ligi ....mi nasema UMESHINDA SIPENDAGI ubishiNa yule wa kiume wa Zari mbona anafanana na yule marehem ex husband wa Zari nae si wa Mondi?
Acha tu mkuu Gusa Unase High Voltage.daaah 400kV Gridi ya Nyakanazi ina sambaza HT kwa kasi sana, naona imefika mpaka kusini mwa Uganda
wacha niendelee kunyetuka
baada ya miaka 10 wako wanatibiwa kwa 3m a day na kutusumbua na michango qmmmqAcha tu mkuu Gusa Unase High Voltage.
Kwani we jamaa uislam umekukosea nini haswa,, mbona una ing'oo na uislam wewe, acha hizo wewewaislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Homeboy nilitaka kushangaa coment yako isiwemo humu..
Umesema, Wakiskia Nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]waislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Usijali, SONGESHA watalinunuwa Deni la Taifa, Mwigulu kasema!!Acheni kujadili udaku Deni la taifa linazid kuongezeka
Niliwahi sikia alifanya DNA kwa watoto wake wote, ila Dylan na Nillan sio watoto wake, ila mbna Nillan anamjali, au anamuogopa Zari?Sawa ila usikute Hadi DNA kashamfanyia kimya KIMYA ndio maaana anampotezea
Sio lazima lakini, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mtoto lazima afanane na baba yake kwa 80%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna ni kitambooooooooNenga alimpitia Mobbeto? Kweli nimestaafu umbea ndio najua leo [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa chain ni ndefuuuu mnooooo.Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.
Na akati mada ndo pendwaaan kwangu.Homeboy nilitaka kushangaa coment yako isiwemo humu..
Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi, utakuja uumbuka Kama hivyo tayari kuna Mtu kesha umbuka!!Niliwahi sikia alifanya DNA kwa watoto wake wote, ila Dylan na Nillan sio watoto wake, ila mbna Nillan anamjali, au anamuogopa Zari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hao wengine wanampa tu urais wa watoto ambao baba zao wameingia mitini.Aisee.
Dogo ana kijiji cha watoto hadi wengine anawanyima uraia
Kasahau kwamba hiyo timu na mamaake wamemtosa baba yake Domo mchana kweupe wakampa domo baba yake mpya na kaka wa kufikia wa Instagram.Tatizo linaanzia kwa mama mwnyw
Mwanamke kishaanza umfanya mtoto kitega uchumi,
Huridhiki na unachopata ujakaa sawa mara kesi ustawi wa jamii, Mara polisi, mahakamani n.k
Unazalisha chuki na uadui unaomuathiri Hadi mtoto, sisi wanaume tuna roho ngumu sana tukiamua kusimamia maamuzi yetu