Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.

Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa chain ni ndefuuuu mnooooo.
Mbna wasanii wengi kushneyy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee.
Dogo ana kijiji cha watoto hadi wengine anawanyima uraia
Ndo hao wengine wanampa tu urais wa watoto ambao baba zao wameingia mitini.
Maana Kenya nako mipango tu,na kale kakijana kasouth pia ilisemwa bibie alichepuka na mzazi mwenzie wa mwanzo
 
Tatizo linaanzia kwa mama mwnyw
Mwanamke kishaanza umfanya mtoto kitega uchumi,

Huridhiki na unachopata ujakaa sawa mara kesi ustawi wa jamii, Mara polisi, mahakamani n.k

Unazalisha chuki na uadui unaomuathiri Hadi mtoto, sisi wanaume tuna roho ngumu sana tukiamua kusimamia maamuzi yetu
Kasahau kwamba hiyo timu na mamaake wamemtosa baba yake Domo mchana kweupe wakampa domo baba yake mpya na kaka wa kufikia wa Instagram.
Case closed
 
Back
Top Bottom