Wanawake ni injini aisee.Ndo hao wengine wanampa tu urais wa watoto ambao baba zao wameingia mitini.
Maana Kenya nako mipango tu,na kale kakijana kasouth pia ilisemwa bibie alichepuka na mzazi mwenzie wa mwanzo
Tunapause kidogo badae tunarudi huko.Acheni kujadili udaku Deni la taifa linazid kuongezeka
Wanaume % kubwa wanalea watoto ambao si wao,Hii issue nimeanza kuisikia mda kidogo, Mpoki naye juzi kapigilia msumari kimafumbo Diamond naye jana alipost clip ya video ya mwanamme aliye bambikiwa mimba na kusweka lock miaka mitano baadaye inakuja kufahamika mtoto si wake hata SnS nao walishare hii story.
Now naanza kuamini, kwanza Solome anavyopenda kwenda ustawi wa jamii na mauzo kwenye makamera, kama ni kweli Chibu kamkataa dogo sasa hivi angekuwa tayari kishampeleka ustawi wa jamii na tayari kishampatia habari Dada yake Mange.Angeweka mpaka waandishi wa siri wapate video kama alivyofanya kipindi kile alipokuwa anajifungua na wakati akimpeleka Diamond ustawi wa jamii. Ila mpaka sasa kimya,ukiona hivyo kuna ukweli kuhusiana na hizi tetesi.
Ila dada zangu shukuruni DNA kwa bongo hapa process yake ndefu ila ingekuwa rahisi ,mngeumbuka sana na ndoa nyingi zingevunjika.
Haya ndiyo matatizo ya kudate wadangaji wanachezea mashine karibia kila siku za wanaume tofauti tofauti mpaka wanachanganyikiwa kujua mimba ni ya nani, matokeo yake kati ya wale madaga yake anatafutwa kwenye uwezo anapewa mtoto ambaye si wake.
Yaani siku zote mnazaa watoto ili mpate shida wawasaidie?Mjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Yani hiyo kukirii tu alitoka na nengaa inatosha kabisaa kuprove kuwa mtoto ni wa nengaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuhusu wakati gani anaweza kudanganyaaaYaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani badala mzazi uzae mtoto ili uendeleze uzao wako na aendeleze mali zako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ndo unasemaa ilaa hamida alikirii nengaa alimkulaa sema baada ya Kumzaa dylan ilaa ukweli naoneshaa walikuwa wanakulana hata kablaaa...Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Wewe haya nyooosha maelezo kwanini lakini ile crown unayo ujue ooohhh..Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo huuuNenga alimpitia Mobbeto? Kweli nimestaafu umbea ndio najua leo [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli basi wasanii wa ovyo sana.mimi kale ka nenga hapanaWew ndo unasemaa ilaa hamida alikirii nengaa alimkulaa sema baada ya Kumzaa dylan ilaa ukweli naoneshaa walikuwa wanakulana hata kablaaa...
Kuna watu wana roho ngumu sana...mbona hawaendani kabisa?🤣🤣🤣🤣🤣
Hatari sana ,wasanii wanakulana wenyewe kwa wenyewe na chain ni ndefu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa chain ni ndefuuuu mnooooo.
Mbna wasanii wengi kushneyy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli basi wasanii wa ovyo sana.mimi kale ka nenga hapana
Wanawake tuna mapungufu ila mimi mwanaume star kutokea bongo ambae ningesema shetani angenipitia ikatokea tu ni kanumba tu hawa wengine hamna kitu. Yule na alikuwa mwanaume hata watu wakikuta nae hamna. mbumbumbu
Sasa ka nenga na hicho kidomo aiiiiiiiiii
Nyie wasanii hawana kinyaa hivi kwa nini hawapati ukimwi?
Kwa bahati mbaya akinamama huwa hawalijui hilo!Tatizo linaanzia kwa mama mwnyw
Mwanamke kishaanza umfanya mtoto kitega uchumi,
Huridhiki na unachopata ujakaa sawa mara kesi ustawi wa jamii, Mara polisi, mahakamani n.k
Unazalisha chuki na uadui unaomuathiri Hadi mtoto, sisi wanaume tuna roho ngumu sana tukiamua kusimamia maamuzi yetu
Homeboy wako huyo?Homeboy nilitaka kushangaa coment yako isiwemo humu..
Ila we jamaa we hujuagi kununa kabisa pamoja na mitusi yote tunayokutukana!
Yeah ila ndo hivyo kaleft group,, ila mchizi mwana sana!Homeboy wako huyo?
Kwenu mnakubali wanaume kupumliwa kisogoni? Ref cocasticYeah ila ndo hivyo kaleft group,, ila mchizi mwana sana!