Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Ndo hao wengine wanampa tu urais wa watoto ambao baba zao wameingia mitini.
Maana Kenya nako mipango tu,na kale kakijana kasouth pia ilisemwa bibie alichepuka na mzazi mwenzie wa mwanzo
Wanawake ni injini aisee.
Wanahitaji dereva tu hata kama dereva huyo ni kanjanja
 
Hii issue nimeanza kuisikia mda kidogo, Mpoki naye juzi kapigilia msumari kimafumbo Diamond naye jana alipost clip ya video ya mwanamme aliye bambikiwa mimba na kusweka lock miaka mitano baadaye inakuja kufahamika mtoto si wake hata SnS nao walishare hii story.

Now naanza kuamini, kwanza Solome anavyopenda kwenda ustawi wa jamii na mauzo kwenye makamera, kama ni kweli Chibu kamkataa dogo sasa hivi angekuwa tayari kishampeleka ustawi wa jamii na tayari kishampatia habari Dada yake Mange.Angeweka mpaka waandishi wa siri wapate video kama alivyofanya kipindi kile alipokuwa anajifungua na wakati akimpeleka Diamond ustawi wa jamii. Ila mpaka sasa kimya,ukiona hivyo kuna ukweli kuhusiana na hizi tetesi.

Ila dada zangu shukuruni DNA kwa bongo hapa process yake ndefu ila ingekuwa rahisi ,mngeumbuka sana na ndoa nyingi zingevunjika.

Haya ndiyo matatizo ya kudate wadangaji wanachezea mashine karibia kila siku za wanaume tofauti tofauti mpaka wanachanganyikiwa kujua mimba ni ya nani, matokeo yake kati ya wale madaga yake anatafutwa kwenye uwezo anapewa mtoto ambaye si wake.
Wanaume % kubwa wanalea watoto ambao si wao,
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hiyo kukirii tu alitoka na nengaa inatosha kabisaa kuprove kuwa mtoto ni wa nengaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuhusu wakati gani anaweza kudanganyaaa
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
 
Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Wew ndo unasemaa ilaa hamida alikirii nengaa alimkulaa sema baada ya Kumzaa dylan ilaa ukweli naoneshaa walikuwa wanakulana hata kablaaa...
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe haya nyooosha maelezo kwanini lakini ile crown unayo ujue ooohhh..
 
Wew ndo unasemaa ilaa hamida alikirii nengaa alimkulaa sema baada ya Kumzaa dylan ilaa ukweli naoneshaa walikuwa wanakulana hata kablaaa...
Kama kweli basi wasanii wa ovyo sana.mimi kale ka nenga hapana

Wanawake tuna mapungufu ila mimi mwanaume star kutokea bongo ambae ningesema shetani angenipitia ikatokea tu ni kanumba tu hawa wengine hamna kitu. Yule na alikuwa mwanaume hata watu wakikuta nae hamna. mbumbumbu

Sasa ka nenga na hicho kidomo aiiiiiiiiii

Nyie wasanii hawana kinyaa hivi kwa nini hawapati ukimwi?
 
Kama kweli basi wasanii wa ovyo sana.mimi kale ka nenga hapana

Wanawake tuna mapungufu ila mimi mwanaume star kutokea bongo ambae ningesema shetani angenipitia ikatokea tu ni kanumba tu hawa wengine hamna kitu. Yule na alikuwa mwanaume hata watu wakikuta nae hamna. mbumbumbu

Sasa ka nenga na hicho kidomo aiiiiiiiiii

Nyie wasanii hawana kinyaa hivi kwa nini hawapati ukimwi?

Etiii hawapati "Ngoma"?? Chain ni ndefu....kwakuwa ukimwi wa sasa ni ngumu kujua ila wenyewe wanajijua ,Ni kazeze ni kazeze ni kazeze.

Nenga ni punda huyo ,kwahiyo mtonyo alikuwa nao wa kuweza kubang na warembo kama kina Mobeto.
 
Tatizo linaanzia kwa mama mwnyw
Mwanamke kishaanza umfanya mtoto kitega uchumi,

Huridhiki na unachopata ujakaa sawa mara kesi ustawi wa jamii, Mara polisi, mahakamani n.k

Unazalisha chuki na uadui unaomuathiri Hadi mtoto, sisi wanaume tuna roho ngumu sana tukiamua kusimamia maamuzi yetu
Kwa bahati mbaya akinamama huwa hawalijui hilo!
 
Back
Top Bottom