Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wanawake ni injini aisee.Ndo hao wengine wanampa tu urais wa watoto ambao baba zao wameingia mitini.
Maana Kenya nako mipango tu,na kale kakijana kasouth pia ilisemwa bibie alichepuka na mzazi mwenzie wa mwanzo
Wanahitaji dereva tu hata kama dereva huyo ni kanjanja