Kwa sababu hiyo ndiyo akakubali hata kama ni katoto ka Nenga?Mjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Kwahiyo kidini dai hana mtoto ?Kidini sio Mtoto wake,ana haki ya kumkataa na Hana urithi pia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mchanganyoo tyuuh.Kumbe na Nenga nae alipitamo...duuh hii kali nilikua sijui
Hana Mtoto Hata mmoja na akifa kisheria anapaswa atangazwe Hana MtotoKwahiyo kidini dai hana mtoto ?
🤔Nimetoka kapaChibu kastukia Chezo la kusingiziwa mtoto. Kaona amtolee mbavuni madam Salome. Kuna kitu cha kujifunza Kwa hawa slay Queens wa mchongo
Ni kweli sijafikia levo ya umbea umbea kama huu😬😬 Kwan wewe mtoto akiwa wa mond au sio wake inakuuma Nini?Tafuta cha kufanya Umoja wa Wazazi. Huku sio level zako
Ndo maana nimekuelekeza nenda Umoja wa Wazazi mkajadili Deni la Taifa, huku kwenye umbea hapakufai Dr (Honorary doctorate)Ni kweli sijafikia levo ya umbea umbea kama huu😬😬 Kwan wewe mtoto akiwa wa mond au sio wake inakuuma Nini?
Put off shitt.🚮Ndo maana nimekuelekeza nenda Umoja wa Wazazi mkajadili Deni la Taifa, huku kwenye umbea hapakufai Dr (Honorary doctorate)
Lazima tayari kamfanyia DNA. Hawezi kumpotezea hivi hivi.Sawa ila usikute Hadi DNA kashamfanyia kimya KIMYA ndio maaana anampotezea
Kumbe ni homeboy.? Siku zote nilikuwa najua huyu ni homegirl.Homeboy nilitaka kushangaa coment yako isiwemo humu..
Huyo ni boy ila kaleft groupKumbe ni homeboy.? Siku zote nilikuwa najua huyu ni homegirl.
Hatari sana aseeHuyo ni boy ila kaleft group
Upo sahihi kabisa Ukhty,Hana Mtoto Hata mmoja na akifa kisheria anapaswa atangazwe Hana Mtoto
Na wale watoto kama waislam wanapaswa watumie majina ya mama zao na hawana urithi na Wala ye hawarithi pia na wanapaswa waitwe hivi Latifa Zarina Hassan,Nillan Zarina Hassan,Dylan Hamissa Hassan na yule wa Kenya pia hivyo hvyo anafurahisha walimwengu ila Kwa Mungu (Kwa tunaoamini)Hana chake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumbe ashasemaga hvyo baasi Yuko sahihiUpo sahihi kabisa Ukhty,
Kwa sheria za Dini hizo Mali ni za Mama ake na kuna siku alisema akifa asilimia 50 ya Mali zake zinaenda kwa Mama ake na asilimia zilizobaki ndio zitagawanywa hadi Misikitini na kwa Yatima zitafika.
Hawajafanana, angalia midomo yaoHebu angalia jaguar alivyokua na damu nzito, [emoji16][emoji16][emoji16]
Wanawake acheni dhambi,
View attachment 2451145View attachment 2451146