Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Chibu kastukia Chezo la kusingiziwa mtoto. Kaona amtolee mbavuni madam Salome. Kuna kitu cha kujifunza Kwa hawa slay Queens wa mchongo
Hii kali [emoji23]Aisee.
Dogo ana kijiji cha watoto hadi wengine anawanyima uraia
Hebu kwanza mbona hii mpya,Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo linaanzia kwa mama mwnywMjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Kama bana yake alivyomtenda nalo linarejelea.Mjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Wahenga walisema "muosha huoshwa"Kama bana yake alivyomtenda nalo linarejelea.
Tutaendelea kukumbuka Warumi, ulio wacha hawajui kabisa ku present ubuyu!Chibu kastukia Chezo la kusingiziwa mtoto. Kaona amtolee mbavuni madam Salome. Kuna kitu cha kujifunza Kwa hawa slay Queens wa mchongo