Uchaguzi 2020 Chief Kalumuna: Mgombea Ubunge pekee wa CHADEMA atayeitikisa CCM kwa Kanda ya Ziwa

Uchaguzi 2020 Chief Kalumuna: Mgombea Ubunge pekee wa CHADEMA atayeitikisa CCM kwa Kanda ya Ziwa

Duuuu hii ni balaa kabisa


Kagasheki yuko Uswizi huko kwenye lockdown ubunge asahau , kabla ajaenda uswizi tulimdanganya kuwa, atakuwa mbunge akatupa elfu 50 mimi na katibu wa ccm wa kata ya Bakoba ..lkn chief ndo mbunge.
 
Hata akigombea kupitia Ccm lwakatare sahivi watu wamemchoka kwa kufukuzwa chadema ,pia kama unakumbukumbu vzr chief alivyohama kutoka ccm ndo alileta nguvu kubwa sana chadema bukoba mjini... Mimi naishi Bukoba Mjini nakuambia chief hadi mama yangu nimwenyrkiti wa UWT Bukoba ,lakini anamkubari chief sana.
Tafadhali sana watani zangu fanyeni kila mnachoweza kumsaidia huyo chief ili cdm tuweze kuchukua hilo jimbo letu tena
 
Ni meya msitaafu wa manispaa ya Bukoba kwa akina Rwetabangula,Rweikiza ,etc

Kusema ukweli jamaa ana ushawishi wa kisiasa hatari, angekuwa mtumishi wa Jehova nafikiri hata shetani angetubu na kuacha ushetani wake.

Ikumbukwe kuwa,Chief Kalumuna mpaka alipofikia hapo ni malezi na taaluma nzuri aliyoipata akiwa CCM japo siku za nyuma Mwaka 2015 watu wachache ndani ya CCM walitaka kumharibia future yake ndipo alipokimbilia CHADEMA na hatimae akawa Meya.

Kwa jimbo la Bukoba Mjini bado ni sintofahamu kama upinzani utapoteza au la,maana jamaa ametia nia na ni asilimia kubwa anaweza kuchukua labda DJ zero akate jina lake maana hata kwenye uchaguzi ndani ya chama chao ngazi ya kanda alikuwa amemchapa fimbo za kutosha Wenje ila DJ zero kama kawaida akabadili gia angani jamaa akapolwa haki yake.


"Stay tuned BK is unpredictable"
Na huyu ndie alie mfanya Lwakatare akimbie Chadema
 
Mungu awabariki sana wana bukoba
Kagasheki yuko Uswizi huko kwenye lockdown ubunge asahau , kabla ajaenda uswizi tulimdanganya kuwa, atakuwa mbunge akatupa elfu 50 mimi na katibu wa ccm wa kata ya Bakoba ..lkn chief ndo mbunge.
 
Ni meya msitaafu wa manispaa ya Bukoba kwa akina Rwetabangula,Rweikiza ,etc

Kusema ukweli jamaa ana ushawishi wa kisiasa hatari, angekuwa mtumishi wa Jehova nafikiri hata shetani angetubu na kuacha ushetani wake.

Ikumbukwe kuwa,Chief Kalumuna mpaka alipofikia hapo ni malezi na taaluma nzuri aliyoipata akiwa CCM japo siku za nyuma Mwaka 2015 watu wachache ndani ya CCM walitaka kumharibia future yake ndipo alipokimbilia CHADEMA na hatimae akawa Meya.

Kwa jimbo la Bukoba Mjini bado ni sintofahamu kama upinzani utapoteza au la,maana jamaa ametia nia na ni asilimia kubwa anaweza kuchukua labda DJ zero akate jina lake maana hata kwenye uchaguzi ndani ya chama chao ngazi ya kanda alikuwa amemchapa fimbo za kutosha Wenje ila DJ zero kama kawaida akabadili gia angani jamaa akapolwa haki yake.


"Stay tuned BK is unpredictable"
Hivi huyu ndiye alikuwaga KCU enzi hizo
 
Na huyu ndie alie mfanya Lwakatare akimbie Chadema


Lwakatare sisi tulikuwa tumemkataa ,ndo maana alipogombea kura za maoni chadema aligaragazwa na kipara lakini akaiba kura.

Lwakatare amshukuru chief la sivyo ubunge angeusikia radion.
 
pia kama unakumbukumbu vzr chief alivyohama kutoka ccm ndo alileta nguvu kubwa sana chadema bukoba mjini... Mimi naishi Bukoba Mjini nakuambia chief hadi mama yangu nimwenyrkiti wa UWT Bukoba ,lakini anamkubari chief sana.
Sio kweli Nguvu ya pesa ya Lowasa ndio ilifanya hiyo kazi 2015 sasa hivi hamna cha kutikisa wala nini porojo tu KALUMNA akigombea kupitia chadema anashindwa alfajiri kabla ya jogoo kuwika
 
Sio kweli Nguvu ya pesa ya Lowasa ndio ilifanya hiyo kazi 2015 sasa hivi hamna cha kutikisa wala nini porojo tu KALUMNA akigombea kupitia chadema anashindwa alfajiri kabla ya jogoo kuwika


Lowassa wa wapi? Unazungumzia wewe Bukoba awachaguagi chama bali mtu chief kaijenga bukoba maji yakumwaga balabala zinapitika mpaka jikoni. Amekusanya mapato vizuri.
 
Hapana mkuu,amekuwa diwani miaka kumi sasa
OOhh kumbe, sawa mkuu siasa za Bukoba ngumu sana halafu nasikitika sana kila nikija hakuna maendeleo mji uko vile vile yani.
 
Lwakatare sisi tulikuwa tumemkataa ,ndo maana alipogombea kura za maoni chadema aligaragazwa na kipara lakini akaiba kura.

Lwakatare amshukuru chief la sivyo ubunge angeusikia radion.
Balozi kagasheki alikivuruga sana chama(ccm) hawa wasingetoboa cdm bkoba
 
Lowassa wa wapi? Unazungumzia wewe Bukoba awachaguagi chama bali mtu chief kaijenga bukoba maji yakumwaga balabala zinapitika mpaka jikoni. Amekusanya mapato vizuri.
subiri uchaguzi ufike sasa hivi hata kuteuliwa tu na chama chake bado anahangaika.

Hayo maji na barabara aliweka yeye? vimewekwa na serikali ya CCM.Mapato yanakusanywa na serikali ya CCM hakusanyi yeye binafsi
 
Back
Top Bottom