Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
OOhh kumbe, sawa mkuu siasa za Bukoba ngumu sana halafu nasikitika sana kila nikija hakuna maendeleo mji uko vile vile yani.
subiri uchaguzi ufike sasa hivi hata kuteuliwa tu na chama chake bado anahangaika.
Hayo maji na barabara aliweka yeye? vimewekwa na serikali ya CCM.Mapato yanakusanywa na serikali ya CCM hakusanyi yeye binafsi
Mkuu hapo umekosea,chief hana elimu ya kutisha ila ana talent ya kuongoza watu,
Elimu yake ni form six
usiwe na haraka subiri wapiga kura wengi hawapo jamii forumsChief Bukoba hana mpinzani ,Sisi tunataka msomi sio kama yule mkuu asiyeweza hata kuongea kingereza.
usiwe na haraka subiri wapiga kura wengi hawapo jamii forums
Labda ,lakini sidhani maana inasemekana form six alichemka
acha kukurupuka MATAGAAhamie Ccm aachane na watu wa matusi Chadema
Hahahahaaa . . . hayo ndiyo madhara ya kukubali kutumika na kuwea na njaaYawezekana keani ccm ina tabia kama za klabu ya simba wakihisi mtu kuwa tishio kwao umuonga ela kumchukua na kisha kumpoteza kama madiwan wa chadema wa shinyanga na wa mbeya ambao mpaka sasa hawajielewi
Na stendi na soko je? Mbona mnajisahaulishaLowassa wa wapi? Unazungumzia wewe Bukoba awachaguagi chama bali mtu chief kaijenga bukoba maji yakumwaga balabala zinapitika mpaka jikoni. Amekusanya mapato vizuri.
Chief Kalumuna yuko vizuri sana na anazijua siasa. Kwa sisi tunaomjua vizuri tangu akiwa UVCCM na baadaye diwani hadi kupanda ranks za umeya na haya alivyoingia CHADEMA na kisha kugombea mpaka ngazi ya kanda tunajua Chief ni nani katika siasa za Bukoba Mjini na hata mkoa wa Kagera kwa uapana wake. Kila la kheri kamanda. Nitakutafuta tupate hata kahawa pale kwenye kijiwe chetu kabla hujaingia kwenye siasa za kitaifaKagasheki yule mbwa ndo alirudisha maendeleo. Nyuma ...ila chief hii miaka 05 kaitumia vzr sana.
Magu nabatela empaliChief lazima tumuwe obubunge ...abatamile ba ccm Bia yetu na NAWATAFUNA mwa mbanywa ekimpumu tibaina mahela.
Magu nabatela empali
Inatosha ni vizuri sasa agombee ubunge na muhakikishe anashinda mapema asubuhi.Hapana mkuu,amekuwa diwani miaka kumi sasa
Sasa hilo nalo la kuwalaumu,? ushafika jimbo la spika ndugai huko kongwa,maji safi ya kunywa ni shida na kwa ujumla huduma za jamii ni mbovu kweli kweli.Naona kampeni zishaanza..ukiwasikiliza watu humu JF unaweza pata pressure bure ila kwa ground mambo yako tofauti sana. Maendeleo mnayoyasema kayaleta ndani ya kipindi cha miaka mitano mbona kwa ground hayaonekani maana kwa mfano tu stend ya bukoba mjini bado ni ile ile sehm ndogo na mvua ikinyesha ni mashimo na matope matupu tena yale ya udongo mwekundu, wamekosa ata hela ya kweka vigae kwenye stend ambayo size yake haifiki ata nusu acre. Soko ni lile lile la zamani, chafu kama nini...kwa kwel maendeleo manispaa ya bukoba mjin bado sana...na kama mentality yenu ndo hii ya kusifiana kwenye ujinga msipobadilika mtabaki hivyo hivyo
Kama hamuoni kuwa mji wenu una matatizo basi na mtabaki hivyo hivyo...tembea uone ndugu yangu. Kwa sasa manispaa nyingi zimepiga hatua ukilinganisha na bukoba. Karibu kila manispaa hapa nchini ina stendi mpya ya mabasi, masoko mapya, hospitali mpya, taa za barabarani, n.k . Nyie mna shida gani maana kila kitu ni cha zamani hapo kwenuSasa hilo nalo la kuwalaumu,? ushafika jimbo la spika ndugai huko kongwa,maji safi ya kunywa ni shida na kwa ujumla huduma za jamii ni mbovu kweli kweli.