Salaam,Shalom,
Wiki mbili zimepita sasa, iliripotiwa mlipuko mkubwa wa moto Kutoka msituni uliosambaa na kutekeleza mji mzima. Watu wengi wamefariki, nyumba za mji huo kugeukia majibu kabisa,Chanzo Cha moto huo hakijafahamika Hadi sasa.
Jinsi mji huo ulivyoteketea, Si Rahisi kuamini moto Kutoka msitu wa asili ndio chanzo Cha kuteketea kwake.
Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.
Utii ni Bora kuliko SADAKA.
Source: ALJAZEERA TV.