Muda utasema.
Kumbuka Kibwetere akijiita nabii wa Mungu alisema yake mengi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utasema.
Huyu ametoa na time frame ya Kutokea hayo,Kumbuka Kibwetere akijiita nabii wa Mungu alisema yake mengi tu.
Huyu ametoa na time frame ya Kutokea hayo,
Kwakuwa muda haujafika na kupita, Bado huna HAKI kumwita mwongo!!
Acha kutumia akili kwenye kila kitu bwana 😂😂😂Kwa hiyo huyo nabii aliwaonya watu wa Chile kupitia Unyakuo TV?
Mimi Nina mke tayari😀
When 2 become one, Kama EDEN!!!Sulemani alikuwa nao kwa mamia.
Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.
Ni vizuri mwezi April na May tujipe likizo,
Uhai ni WA thamani sana.
Nuhu aliambiwa hivyo hivyo alipowambia watu kujenga safina.Mwezi Mei ukiisha nakuja kuufufua huu uzi wako...
Usije na mbambamba za kujitetea kama CCM na umeme...
Nuhu aliambiwa hivyo hivyo alipowambia watu kujenga safina.
Umeyaona yaliyotukia Chile?
Akili zako ndogo huwezi kufungua code za Mungu ikiwa huna IMANI.Hiyo ya Nuhu ni wrong reference...
Mungu huongea na watu, na haiwezekani unabii juu ya mambo mengine uvuke past April + May, wakati unabii wa mtu wako uoneshe kwa Dar by May itakuwa imechakazwa...
Bado nakuuliza swali la msingi, tumia tu akili na maarifa ya kawaida kujijibu, je nabii aliposema watu wauze mali zao alidhani ni nani watakuwa wanunuzi kwa mali wanayojua itaangamizwa na tsunami?
Mtumishi usipanic challenge ni sehemu ya kukuza imani yako haina maana anaeku challenge hana imani au ana akili ndogo.Akili zako ndogo huwezi kufungua code za Mungu ikiwa huna IMANI.
Walioamini msg wameuza na wasioamini wamenunua.
Nenda Mji kasoro bahari uone watu wanavyohamia Kwa Kasi!!
Ukitaka ueleweshe unaulizia swali sio unapinga ujumbe Ili kupima ujumbe.Mtumishi usipanic challenge ni sehemu ya kukuza imani yako haina maana anaeku challenge hana imani au ana akili ndogo.
Acha upumbavu wewe.Ni vizuri mwezi April na May tujipe likizo,
Uhai ni WA thamani sana.
Jitahidi sana tunda la upendo lionekane kwenye majibu yako. Yesu alituachia amri mpya nayo ni upendo, kuna aina tofauti tofauti za kutaka more details, moja wapo ni kum challenge mtu ili atoe more details.Ukitaka ueleweshe unaulizia swali sio unapinga ujumbe Ili kupima ujumbe.
Padri , au Mchungaji au Sheikh Huwa mnamchallenge aletapo ujumbe?
Utaona wote waliouliza maswali wanajibiwa, wanaokebehi pia wanajibiwa au kupuuzwa.
Wapo watumishi walioonyeshwa kuhusu Kutokea Tetemeko Uturuki, wengine waliona ambayo yangetokea Shakahola Kenya au Hanang,
Upuzi wa kudharau jumbe za Mungu kupitia manabii ndizo husababishwa watu kuangamia.
Huna ulijualo,Jitahidi sana tunda la upendo lionekane kwenye majibu yako. Yesu alituachia amri mpya nayo ni upendo, kuna aina tofauti tofauti za kutaka more details, moja wapo ni kum challenge mtu ili atoe more details.
Upendo, upendo, upendo. 🙏
Akili zako ndogo huwezi kufungua code za Mungu ikiwa huna IMANI.
Walioamini msg wameuza na wasioamini wamenunua.
Nenda Mji kasoro bahari uone watu wanavyohamia Kwa Kasi!!
Hilo ndilo jibu,Uzuri wa unabii una timeline...
Kwani mwezi April na May ni mbali basi, tutaona kati yangu mimi na wewe ni nani mwenye akili ndogo na nani mwenye hiyo unayoita IMANI ya kufungua code za Mungu...