Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

Chile wanaunga mkono Hamas na kulaani Israel kwenye vita yake dhidi ya Hamas wakati Hamas ndio walianza kushambulia Israel October 7

Mungu kaamua kuwapa majibu Chile Kwa niaba ya taifa lake Israel .
 
America kusini kuna laana huko za kila aina uhuni kwa sana.
Wengi katoliki na waunga mkono Hamas badala ya Israel tofauti na madhehebu mengine ya Kikristo ambayo huheshimu Israel waliotupa Biblia agano la kale na kutupa Yesu myahudi na mitume wake wayahudi na agano jipya lililoandikwa na mitume wayahudi waanzisha Ukristo

Wakatoliki hawana adabu Kwa wayahudi
 
Ulokole ni aina nyingine ya ugonjwa wa akili
Kwaiyo nabii unasema watu wa dar wahame tarehe ngapi
 
Nabii anahusikaje hapo !! Moto una visababishi watakuja na report jinsi moto ulivyotokea ! Na kilichosababisha

Mnawapa kichwa sana hawa watu na story za unabii !! Hiyo alibahatisha tu mkeka umetiki anaenda kukamata watu akili hapo!

Kama alitabiri kwamba moto utatokea kwanini asiombe akazuia. Au ndo mnataka kusema Mungu anashindana na watu anaojua kabisa anawazidi uwezo.

Anaona kabisa hivi ni viumbe dhaifu bado anavionesha mabavu kwa maumivu.

Anaumba watu halafu anawateketeza kwa moto for what? Kwanini asiwaoneshe upendo wakazidi kumuamini sio kwa vitisho na adhabu?
Bahatisha na wewe kama unadhani ni rahisi
 
Salaam,Shalom,

Wiki mbili zimepita sasa, iliripotiwa mlipuko mkubwa wa moto Kutoka msituni uliosambaa na kuteketeza mji mzima. Watu wengi wamefariki, nyumba za mji huo kugeuka majivu kabisa,Chanzo Cha moto huo hakijafahamika Hadi sasa,ingawa mamlaka zinasema chanzo, yaweza kuwa ni ARSON!!!

Jinsi mji huo ulivyoteketea, Si Rahisi kuamini moto Kutoka msitu wa asili ndio chanzo Cha kuteketea kwake. Yaani ni kama vile mtu alichukua kiberiti na kiteketeza mji Kwa petroli, mji mzima ni majivu!!

Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.

Utii ni Bora kuliko SADAKA.

Source: ALJAZEERA TV.
Mwezi wa nne sio mbali ngoja tuone
 
Ulokole ni aina nyingine ya ugonjwa wa akili
Kwaiyo nabii unasema watu wa dar wahame tarehe ngapi
Si Mimi niliyeleta ujumbe,

Ujumbe huo uko u tube, Tengwa Tv na UNYAKUO TV.

Nilichokisema ni kutopuuza unabii, au kuwa wachunguzi Badala ya kukejeli na kupuuza.
 
Salaam,Shalom,

Wiki mbili zimepita sasa, iliripotiwa mlipuko mkubwa wa moto Kutoka msituni uliosambaa na kuteketeza mji mzima. Watu wengi wamefariki, nyumba za mji huo kugeuka majivu kabisa,Chanzo Cha moto huo hakijafahamika Hadi sasa,ingawa mamlaka zinasema chanzo, yaweza kuwa ni ARSON!!!

Jinsi mji huo ulivyoteketea, Si Rahisi kuamini moto Kutoka msitu wa asili ndio chanzo Cha kuteketea kwake. Yaani ni kama vile mtu alichukua kiberiti na kiteketeza mji Kwa petroli, mji mzima ni majivu!!

Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.

Utii ni Bora kuliko SADAKA.

Source: ALJAZEERA TV.
Kwani uliona ugumu gani kuweka link au hata picha ya tukio hilo hata kwa sehemu?

Kikubwa ni kuwa, mtu mzima kuwa mzushi ni aibu.

Ona aibu au thibitisha hoja yako
 
Kwani uliona ugumu gani kuweka link au hata picha ya tukio hilo hata kwa sehemu?

Kikubwa ni kuwa, mtu mzima kuwa mzushi ni aibu.

Ona aibu au thibitisha hoja yako
ALJAZEERA ni chombo Cha habari kimataifa,

Nenda kathibitishe wewe, utuletee picha hapa.
 
ALJAZEERA ni chombo Cha habari kimataifa,

Nenda kathibitishe wewe, utuletee picha hapa.
Ninaangalia AljaZeera hapa sebuleni kwangu, hawana hiyo news wala kwenye briefings zao.

Mwenzetu unaangalia AljaZeera ya Buza au Vikindu?

Pia siyo jukumu langu kuthibitisha taarifa uliyoiweka wewe
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Ninaangalia AljaZeera hapa sebuleni kwangu, hawana hiyo news wala kwenye briefings zao.

Mwenzetu unaangalia AljaZeera ya Buza au Vikindu?
Thread inajieleza,
Two weeks ago tukio Hilo kimetokea.

Ingia U-Tube tafuta Chile wildfire outbreak, utaona dhahama hiyo.

Nilete uzushi humu Ili inisaidie nn?
 
Thread inajieleza,
Two weeks ago tukio Hilo kimetokea.

Ingia U-Tube tafuta Chile wildfire outbreak, utaona dhahama hiyo.

Nilete uzushi humu Ili inisaidie nn?
Bafo haujaweza kuytetea uongo wako.

Ona aibu kuweka uzushi au thibitisha uzi wako.
 
Ninaangalia AljaZeera hapa sebuleni kwangu, hawana hiyo news wala kwenye briefings zao.

Mwenzetu unaangalia AljaZeera ya Buza au Vikindu?

Pia siyo jukumu langu kuthibitisha taarifa uliyoiweka wewe
Ni KAZI ya mods kuthibitisha, ndomana thread haijafutwa Hadi sasa.
 
Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.

Utii ni Bora kuliko SADAKA.

Source: ALJAZEERA TV.
Yaani Al Jazeera ndio wanatangaza watu wahame Dar sababu nabii kasema?
 
Ni KAZI ya mods kuthibitisha, ndomana thread haijafutwa Hadi sasa.
Ninavyofahamu taratibu chachrle za JF, siyo jukumu la Mods kuthibitisha uzushi.

Mtoa taarifa hakikisha una sources za kueleweka ndo maana wengi wanaweka links na hata videos.

Sasa kama wewe umelwwa zako wanzuki huko, usituharibie jukwaa
 
Back
Top Bottom