Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

Watu wa Dar tayari walishaambiwa na nabii wanaenda kuzama mwaka huu, mbona hawahami? Wewe mwenzetu unaishi wapi?
Unazo data za movement za wakazi wa Dar kuhakikisha usemacho kuwa wanahama au la?
 
WIVU tu unakusumbua,

Tangu yule mliyesema ni Nabii wa mnyazi alipofariki,

Hakuna tena unabii zaidi ya kutumia masangoma!!
Hivi unajielewa kweli wewe Mwamba?
Unaongea na simu au?
Wivu kuhusu nini?
Ili iwe nini?
Kwa manufaa Yapi?

Ulokole ni laana unakufanya ushindwe kufikiria nje ya box ona hapo ulivyojichanganya
Daaaaaaa!
😁😁
 
Hivi unajielewa kweli wewe Mwamba?
Unaongea na simu au?
Wivu kuhusu nini?
Ili iwe nini?
Kwa manufaa Yapi?

Ulokole ni laana unakufanya ushindwe kufikiria nje ya box ona hapo ulivyojichanganya
Daaaaaaa!
😁😁
Basi sawa.
 
Ulitaka akupigie simu?
hapana!
imeshangaza kidogo kwamba sehemu pekee tunayoweza kupata huo unabii ni YouTube channel ulioitaja, umewahi kufikiria ni watu wangapi wanaweza kufika huko YouTube, maana sijasikia wala kusoma popote kuhusiana na kuangamia kwa mji wa Dar es Salaam mwezi Aprili na Mei 2024 isipokuwa hapa jf , ni wangapi hawajasikia kabisa na muda umekaribia mno?
au sio wote wanapaswa kupata taarifa?
 
Basi sawa.
Mkuu rabbon, Kama wewe hausali kwa yule mtu, na Kama haujawahi kufunuliwa hata kwa ndoto kuhusu hilo tukio, nakushauri uachane nalo, naamimi unabii, lakini kuna changamoto nyingi sana za unabii na manabiii, huyo aliyetumwa atangaze mwenyewe.

Kuna watu ni wahuni na waongo sio manabiii wanataka attention za watu, kuna manabiii wakweli lakini Kama hajatulia vizuri kiroho anaweza akifikiri Mungu amesema kumbe ni mawazo yake au kale kajamaa kameikamata karama yake kanamuonyesha vimulimuli ili kimtukanisha Mwokozi
 
Salaam,Shalom,

Wiki mbili zimepita sasa, iliripotiwa mlipuko mkubwa wa moto Kutoka msituni uliosambaa na kuteketeza mji mzima. Watu wengi wamefariki, nyumba za mji huo kugeuka majivu kabisa,Chanzo Cha moto huo hakijafahamika Hadi sasa.

Jinsi mji huo ulivyoteketea, Si Rahisi kuamini moto Kutoka msitu wa asili ndio chanzo Cha kuteketea kwake. Yaani ni kama vile mtu alichukua kiberiti na kiteketeza mji Kwa petroli, mji mzima ni majivu!!

Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.

Utii ni Bora kuliko SADAKA.

Source: ALJAZEERA TV.
Watu wasio na akili ya kutosha, wenye elimu ndogo, Mambo yanayoelezeka kisayansi, wao huyafikiria kiroho, kimiujiza,
Sasa tuambieni joto LA dar limesababishwa na nini! Mgao wa umeme nao vipi?mapepo yamekula mitambo ya umeme, au TZ ina roho ya kukataliwa. ? Wachina hawakeshi wakiimba mapambio, wao wapo spiritual Sana Ila sio religiuos, Ila ndio wanaendesha maisha yenu, kuanzia vijiti vya meno mpaka tv za hisence.
Umaskini ukiongezeka, na mskanisa ya kilokole yanaongezeka, mansbii kila Kona, kila mmoja anajitapa atatatua shida zako za ki uchumi, utapata ngawila pesa nyingi,
Tangu mgao wa umeme uanze, matangazo ya solar, jrnereta kila Kona, na kila MTU amekuwa mtaalamu wa umeme jua!
Ni fulsa tu, kama hawa kenge waliojaa kila Kona wakiuza injili.
 
Mkuu rabbon, Kama wewe hausali kwa yule mtu, na Kama haujawahi kufunuliwa hata kwa ndoto kuhusu hilo tukio, nakushauri uachane nalo, naamimi unabii, lakini kuna changamoto nyingi sana za unabii na manabiii, huyo aliyetumwa atangaze mwenyewe.

Kuna watu ni wahuni na waongo sio manabiii wanataka attention za watu, kuna manabiii wakweli lakini Kama hajatulia vizuri kiroho anaweza akifikiri Mungu amesema kumbe ni mawazo yake au kale kajamaa kameikamata karama yake kanamuonyesha vimulimuli ili kimtukanisha Mwokozi
Mimi niliomba na nikafunuliwa ,

Nawe uliza utajibiwa, ikiwa u Nabii Kweli utajibiwa,

Ikiwa ulishakengeuka, ndo bas tena.
 
Watu wasio na akili ya kutosha, wenye elimu ndogo, Mambo yanayoelezeka kisayansi, wao huyafikiria kiroho, kimiujiza,
Sasa tuambieni joto LA dar limesababishwa na nini! Mgao wa umeme nao vipi?mapepo yamekula mitambo ya umeme, au TZ ina roho ya kukataliwa. ? Wachina hawakeshi wakiimba mapambio, wao wapo spiritual Sana Ila sio religiuos, Ila ndio wanaendesha maisha yenu, kuanzia vijiti vya meno mpaka tv za hisence.
Umaskini ukiongezeka, na mskanisa ya kilokole yanaongezeka, mansbii kila Kona, kila mmoja anajitapa atatatua shida zako za ki uchumi, utapata ngawila pesa nyingi,
Tangu mgao wa umeme uanze, matangazo ya solar, jrnereta kila Kona, na kila MTU amekuwa mtaalamu wa umeme jua!
Ni fulsa tu, kama hawa kenge waliojaa kila Kona wakiuza injili.
Ok, nenda sasa ukalale, imetosha.
 
Back
Top Bottom