Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

Kuna yule nabii wetu alituambia tulihame jiji kabla ya April na mali zote tuuze au kumpa yeye ili tubarikiwe
 
Kuna yule nabii wetu alituambia tulihame jiji kabla ya April na mali zote tuuze au kumpa yeye ili tubarikiwe
Alikwambia ana pesa za kununua Mali zote za mji mzima sio!!
 
Hata kuwaka moto mlima Kilimanjaro ungesema ni manabii..

Dini zilisha wafanya muwe wendawazimu.
 
Kumekuwa na ujumbe unaojirudia wa Manabii wa Mungu kuwaarifu wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo, watu hawataki kusikia sauti ya manabii wa Mungu.
Naona unampigia debe jamaa.
Unafahamu Mungu anapotoa ujumbe wake kupitia nabii wake, hueleza chanzo cha tatizo, adhabu yake na suluhisho kama mkifanyia kazi chanzo cha tatizo.

Mfano Yona pale ninawi, aliwaambia wamemuasi Mungu (chanzo cha tatizo), kisha akamwambia mji mzima utateketezwa kwa moto (adhabu ) halafu akawaambia watubu kabla ya siku tatu ili kuepuka hiyo adhabu. (suluhisho)

Huyo nabii anawaambia watu wahame Dar, tena anasema wenye nyumba wauze (hao wanunuzi wao hawatakufa?). Mkuu unabii unaotoka kwa Mungu una vitu vitatu hapo juu.
 
America kusini kuna laana huko za kila aina uhuni kwa sana.
 
Usifuate stori za wazushi,

Fuatilia vizuri hatua hizo zote zilitangazwa.
 
Reactions: 511
ISINGETOKEA UNGESEMA HAYUPO UMETOKEA UNASEMA HANA UPENDO.MUNGU ANA PRINCIPLE ZAKE LAZIMA UTEMBEE KTK KANUNI ZAKE.
 
Hivi lile swala la Dar Lilifikia wapi...
Ila ukiwa unaamini hivi vitu bhna
 
Yakitokea Mtasema Mungu hawapendi wakati amewatumia mjumbe kabisa kuwaasa.
Watu wa Dar tayari walishaambiwa na nabii wanaenda kuzama mwaka huu, mbona hawahami? Wewe mwenzetu unaishi wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…