Weka namba ya post.Hakuna kubahatisha ndiyo maana nikaainisha kabisa.
Kwanza umeleewa nilicho kwambia kuhusu namna ya kurejelea mambo ?
Na elewa na ndiyo maana kuna namna kadha wa kadha za kurejea.
Rejea pale kwa mara ya kwanza nilipo kuquote katika uzi huu.
Naona hutaki kufata adabu za mjadala.Weka namba ya post.
Hujui kusoma namba?
27:4
- Allah anasema wale ambao hawaamini amewapambia vitendeo vyao vibaya , yani wavione vizuri na wanababaika humo
- 27:4....Sisi tumewapambia vitendo vyao kwa kuwaumbia matamanio ndani yake. Kwa hivyo wao wanababaika humo katika upotovu wao
- Allah anasema tena shetani anawapambia vitendo vibaya wavione vizuri
- 6: 43..... Bali zikaendelea nyoyo zao katika ugumu wao, na Shetani akawapambia vile vitendo vyao vibaya, (wakaviona vizuri).
- Allah anasema wale ambao hawaamini amewapambia vitendeo vyao vibaya , yani wavione vizuri na wanababaika humo
- 27:4....Sisi tumewapambia vitendo vyao kwa kuwaumbia matamanio ndani yake. Kwa hivyo wao wanababaika humo katika upotovu wao
- Allah anasema tena shetani anawapambia vitendo vibaya wavione vizuri
- 6: 43..... Bali zikaendelea nyoyo zao katika ugumu wao, na Shetani akawapambia vile vitendo vyao vibaya, (wakaviona vizuri).
Mbora wa viumbe ambae hana meno yote ya mbele ? Jibu hili niendeleeMuhammad ndie mbora wa viumbe wote duniani sio kwa mitume tuu
Nikuulize swali dogo tu lkn ulijibu mna hua hujui kujibu maswali ww
ivi ww ukipigwa utamuangalia tu uyo alokupiga au na ww utareact?
Weka verses sio ma picha , sijakuelwa unataka ku prove nini , ila Aya zote moja imesema Allah anasema anawapambia mabaya wanayofanya na nyingine shetani anawapambia mabaya wanayofanya6:43
Hata turudi Sasa .hizo tafsiri zako umetoa wapi?View attachment 2037353
tatizo una KOPI.Weka verses sio ma picha , sijakuelwa unataka ku prove nini , ila Aya zote moja imesema Allah anasema anawapambia mabaya wanayofanya na nyingine shetani anawapambia mabaya wanayofanya
Yani wote Allah na shetani wanawapambia mbaya wanayofanya
Wewe umewek tafsir Yako na zote zinasema Allah anawapambia dhambi wazione tamu na nyingine inasema shetani anawapambia dhambi wazione tamutatizo una KOPI.
Yaaani hata Quran inavyosomwa haujui.
Ndo Max shimba anavyokufundisha?
Ungesoma hizo Aya nilizoweka ungeelewa.Wewe umewek tafsir Yako na zote zinasema Allah anawapambia dhambi wazione tamu na nyingine inasema shetani anawapambia dhambi wazione tamu
Issue sio ku copy issue ni ujumbe je ni kweli ,jikite kujibu kama izo verses zinasema hivyo
Umeandika kuhusu uchawi kwamba "...nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli."Naona hutaki kufata adabu za mjadala.
Naanzia hapa mwanzo ulikana juu ya uwepo wa uchawi. Unakubali hili au unakataa ? Naweia kiporo nukta hii.
Naanza upya kukuthibitisha ya kuwa uchawi upo,kisha nitakupa nafasi uthibitishe ya kuwa uchawi haupo. Nakuoa sharti moja kuu "Nikikuuliza swali langu lolote ujibu".
Uchawi ni nini ?
Uchawi ni kubadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.
Pia,husemwa katika maana za Uchawi ni kila jambo lililo fichika sababu zake, linalo tokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (ghishi/uongo).
Kwanza soma kwa umakini maana hii ya Uchawi,kabla sijaendelea uliza swali ili tuweke kumbukumbu vizuri.
Sasa kwa nini wewe usieleweshe ILI uondoe utata na tabu ya wanaosoma na Mimi , kwa nini unaacha upotoshaji upite kirahisiUngesoma hizo Aya nilizoweka ungeelewa.
Ila kwa kuwa umekopi ndo maana unapata tabu.
Sasa hili ni swali au nn?Mbora wa viumbe ambae hana meno yote ya mbele ? Jibu hili niendelee
Kanuni ya burden of proof ndio inasema hivyo na inakubalika katika misingi ya logicUmetumia kanuni gani kusema hili ? Atatakiwa yeye athibitishe pindi atakapo ombwa ithibati kabla ya muombaji ithibati hajakanusha.
Elimu ya mijadala mmejifunzia wapi ?
Sasa naposema uchawi upo wewe ukasema haupo. Nani anapaswa kuthibitisha kwanza ?
Nikisema uchawi upo. Kisha ukasema thibitisha,hapo nitapswa mimi kuthibitisha. Sasa mfano mwenzako haujui uchawi hata kwa kiarifisho chake ajabu anaukanusha. Sasa hii akili au matope ?
Sasa nani alikwambia kila chenye ithibati kinapimwa na hatua za kisayansi ? Sayansi dhaifu sana hapa tunaongelea uhalisia siyo ngano na visasili vya Sayansi. Kanuni za mjadala zinataka uhalisia.
Mbora wa viumbe ambae hajakamilika mdomoni , hana meno ya mbele huo ndio ubora wa binadamu kwa alllahaSasa hili ni swali au nn?
we nijibu yle maswali kule juu uloshindwa mpk leo tena ni mawili tuu
Ndo mana sipendi mijadala na ww mna ni mtupu kichwani na Ujinga umekujaaMbora wa viumbe ambae hajakamilika mdomoni , hana meno ya mbele huo ndio ubora wa binadamu kwa alllaha
we kataa kubali lkn ukweli ndo huoMbora wa viumbe ambae hajakamilika mdomoni , hana meno ya mbele huo ndio ubora wa binadamu kwa alllaha
Naam ni katika uchawi. Na uchawi watu husomea.Nikijifunza mbinu za kupanga karata katika mchezo wa karata tatu, nikawadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona ni la kweli katika mchezo wa karata tatu, huo ni uchawi?
Logic si katika Sayansi kama ulivyo gusia hapo juu. Sababu logic ilikuwepo kabla ya kuwepo Sayansi bali kabla ya kuwepo hizo hizo "Scientific Precedures".Kanuni ya burden of proof ndio inasema hivyo na inakubalika katika misingi ya logic
Nakukini kwa swali. Unaweza kukikataa kitu usichokijua ? Hili lijawezekana vipi ? Maana yake kawaida anaye pinga jambo huyo hulijua jambo hilo ndiyo maana analipinga. Ndiyo maana katika adabu za mijadala kaida hii ipo inayosema ya kuwa "Anaye kanusha huwa anatangulizwa kuthibitisha sababu huwa ana ziada ya elimu". Rejea kitabu "The etiquette of research and debate".Unaposema uchawi upo, kumbuka hizo ni claims sio uthibitisho, sasa nikuulize unataka ukubalike kwa madai pasipo uthibitisho?
Nimekuuliza swali unaweza vipi kukanusha jambo usilo lijua ?Mtu anayesema uchawi haupo haitaji uthibitisho kujua uchawi haupo anahitaji reasoning
Sasa kwa nini wewe usieleweshe ILI uondoe utata na tabu ya wanaosoma na Mimi , kwa nini unaacha upotoshaji upite kirahisi
Wewe unataka story za vijiweni wakati Mimi nipo makini , umeseme ni mbora , nimekuuliza ubora na ukamilifu wa binadamu ni kuto kuwa na meno yote ya mbele? Na alikuwa anaimbaje Koran bila meno?Ndo mana sipendi mijadala na ww mna ni mtupu kichwani na Ujinga umekujaa