mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wapi Muhammad karuhusu umalaya?Waandishi wengi na miaka tofauti ya uandishi ndio utamu wa vitabu ndani ya biblia kuna waandishi wamepishana miaka zaidi ya 1000 hapo ndio ujue Mungu anapo ongea Kwa nyakati tofauti, koran mtu mmoja kaandika ndani ya miaka kama 20 ila anaongea vitu vinapingana
Mfano anaruhusu umalaya allah anakuja muhammad anakataza ,unakua hujui kati ya allah na muhammad nani ana nguvu
Umeshawahi kusikia MutahWapi Muhammad karuhusu umalaya?
Wewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpaHapo wanakubali ni Msaidizi wa Yesu.
Ila ni m'mbora kupita Yesu.
Yaani kamzidi Bosi wake.
Yaani Muhammadi katumwa na Yesu.
Halafu ndio Bosi.
Hao jamaa bila Uwongo dini yao haisimami kabisa.
Ni wanaongopa hatari sana.
Bila Uwongo hiyo dini huwezi kuielezea.
Msaidie mwenzako allah alipo ruhusu mutah umalaya ilikuwajeWewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpa
hao waisrael mnosema wao hawamuamini huyo yesu mnomuamini nyinyi kma unabisha angalia video zipo kibao tuu youtube
Haya lete hayo maandishi ya mutah hlf tukufafanulie sisi wenye dini yetuUmeshawahi kusikia Mutah
Hapana.nipe elimuUmeshawahi kusikia Mutah
Hapa Nipo maalai siwezi fungua vitabu , unataka kubisha allah hakuruhusu mutah , embu jibu ndio au hapanaHaya lete hayo maandishi ya mutah hlf tukufafanulie sisi wenye dini yetu
Ndo lete sasa ilo andiko hlf nikufundishe mm Usiwe kichwa mchungwa we lete ilo andikoHapa Nipo maalai siwezi fungua vitabu , unataka kubisha allah hakuruhusu mutah , embu jibu ndio au hapana
Nitaweka maandiko kesho maana kwa sasa naangalia mpiraHapana.nipe elimu
Sio kumuamini ni ndugu yao wa damu.Wewe unaesema israel wanamuamini Yesu ingia youtube sasa ivi andika DO ISRAEL'S BELIEVE IN JESUS hlf uje kutupa mrejesho hpa
hao waisrael mnosema wao hawamuamini huyo yesu mnomuamini nyinyi kma unabisha angalia video zipo kibao tuu youtube
lete andiko usilete porojo na nina kuhakikishia huwezi kukuta aya yoyote kwny Qur'an inoamrisha mutahNitaweka maandiko kesho maana kwa sasa naangalia mpira
Allah ariruhusu kitu kina itwa mutah , yani unachukua mwanamke unakubaliana nae kufanya mapenzi kwa mda mfupi na unatakiwa kumlimpa , ipo kwenye koran ila kwenye hadith muhhammad alikuja kataza ,
Je mnafuata maneno ya muhammad au allah?
ww c ndo ulosema israel wanamuamini Yesu au sivo?Sio kumuamini ni ndugu yao wa damu.
Walimtesa kumsurubisha na kumwua.
Allah wa Uarabuni haijui hii habari
Ukishindwa swali nitag mm nitakusaidia hawana jipya hao MakafiriHapana.nipe elimu
Nakupa mpaka kesho kasome koran , alafu jiandae kusema mutah imetoka wapi la sivyo nita kuhaibisha humulete andiko usilete porojo na nina kuhakikishia huwezi kukuta aya yoyote kwny Qur'an inoamrisha mutah
Sbr nikufundishe wwSio kumuamini ni ndugu yao wa damu.
Walimtesa kumsurubisha na kumwua.
Allah wa Uarabuni haijui hii habari
Sijasema popote kuwa walimuamini.
Mbona unanilisha maneno kwa kudumisha Taqiya yako.
Acheni uwongo wa Allah na Muhammadi.
Achana na mtu anataka kujitenga na mtu muongo yani unakuwaje na mungu anakwambia anakuchoche dhambi uzione tamuUkishindwa swali nitag mm nitakusaidia hawana jipya hao Makafiri
kma mungu wao kashindwa kujilinda mpk akauliwa hlf aje kuwalinda wao [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mambo mengine yanachekesha sanaaaa tena zaidi ya sanaaaa
Sema mpk ukaombe msaada kwa wenzako mbona unaleta maandiko kila wakati humu saivi unajidai naangalia mpira [emoji1][emoji1][emoji1] we sema tuu huna ilo andiko na hutolipata kamwe kwenye Qur'anNakupa mpaka kesho kasome koran , alafu jiandae kusema mutah imetoka wapi la sivyo nita kuhaibisha humu
Huyu alie fananishiwa alisulubiwa au la ?Sbr nikufundishe ww
Allah anasema hawajamsulubu wala hawajamuua
hlf sema tena Allah hajui habari ya kutosulubiwa kwa Issa ambae nyinyi mnamuita Yesu
Ushahidi huu hapa chiniView attachment 2038679
lete andiko basi usilete porojo zako lete andiko kua Qur'an imeamrisha mut'ah mna maswali yangu hua huwezi kuyajibu na hili ukishindwa litakua swali la 3Achana na mtu anataka kujitenga na mtu muongo yani unakuwaje na mungu anakwambia anakuchoche dhambi uzione tamu