Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
We ata hueleweki mna ata nimekuuliza maswali ambayo ata hayahitaji aya wala hadithi pia umeshindwaUnataka nini?
Muhammad alisema atawaondoa wakristo wote uarabuni by terror , Yani ugaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ata hueleweki mna ata nimekuuliza maswali ambayo ata hayahitaji aya wala hadithi pia umeshindwaUnataka nini?
Muhammad alisema atawaondoa wakristo wote uarabuni by terror , Yani ugaidi
Nimekujibu swali lako, nimekuuliza langu hujajibu unaanza kuniuliza tena swali.Kwani Mungu wa Adam na Ibrahim na Muhammad na YESU NI TOFAUTI?
Ujumbe wa Adam mpaka Muhammad ulikuwa ni MMOJA.Nimekujibu swali lako, nimekuuliza langu hujajibu unaanza kuniuliza tena swali.
Jibu swali langu lililotangulia kwanza kisha tuendelee.
Nimekujibu swali lako, nimekuuliza langu hujajibu unaanza kuniuliza tena swali.
Jibu swali langu lililotangulia kwanza kisha tuendelee.
Sasa hii mistari inaonesha wapi kuwa Uislam ulikuwepo tangu Adam?
Hata mm sijamuelewa kabisaSasa hii mistari inaonesha wapi kuwa Uislam ulikuwepo tangu Adam?
nakuonesha KUWA Mungu alikuwepo kipindi chote hicho.Sasa hii mistari inaonesha wapi kuwa Uislam ulikuwepo tangu Adam?
Pale ambapo kwa mara ya kwanza nime kuquote katika uzi huu.Wapi umeonesha uchawi upo?
Haya unataka niyafanye mara ngapi ?1.Hujathibitisha uchawi upo.
2.Umetaka kuthibitisha uchawi upo kwa kutumia maneno ya Allah, nikakutaka uthibitishe Allah yupo.
Hujathibitisha huyo Allah yupo.
Kwa hiyo, umejiongezea kazi ya kuthibitisha.
Badala ya kuthibitisha uchawi upo tu, sasa hivi unatakiwa kuthibitisha uchawi upo na Allah yupo.
Hujathibitisha lolote kati ya mawili haya.
Thibitisha uchawi upo.
Thibitisha Allah yupo.
Hujajibu maswali langu,maswali yangu ni haya :Mubarridi jibu lako ili hapa , niendelee na point ya 2
.... " But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains... Sahih al-Bukhari 6982
nakupa maswali fikirishi wewe kama mwanafunzi wangu kwa sasa
1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
Kupanda mlima mrefu na utake kujirusha sio jaribio la kujiuaKingine maswali yako ni ya uongo sababu mtume si kweli alitaka kujiua kwa hicho unacho sema na mtume hakuwahi kutaka kujiua, na kukatika kwa wahayi hakuhusiani na kufa kwa Waraqah sababu Qur'aan hushuka kwa sababu na matukio.
Nasubiri majibu ya maswali yangu hili tutalijadili. Unikumbushe.Kupanda mlima mrefu na utake kujirusha sio jaribio la kujiua
Warak alikuwa nani mpaka kifo chake tu Allah kastopisha wahayi, kwa nini muhammad atake kujiua?
... " But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains... Sahih al-Bukhari 6982
Warak kafa Koran ikasimama ghafla , yeye ndio alikuwa anaandika muhmaad kuona hivyo akaona sasa itakuwaje huyu uncle kafa nani ataandika tena , ndio unaona muhammad anajaribu kujiuaNasubiri majibu ya maswali yangu hili tutalijadili. Unikumbushe.
Sasa ndiyo uweke ushahidi kwamba aliandika wapi Qur'aan. Mbona hili rahisi sana.Warak kafa Koran ikasimama ghafla , yeye ndio alikuwa anaandika muhmaad kuona hivyo akaona sasa itakuwaje huyu uncle kafa nani ataandika tena , ndio unaona muhammad anajaribu kujiua
Unakichwa kigumu Sana , sehemu mpaka muhammad anapanda mlima mrefu ajirushe wewe unabisaha unasema hilo sio jaribio la kujiua , acha ubishi niendelee point number 2Sasa ndiyo uweke ushahidi kwamba aliandika wapi Qur'aan. Mbona hili rahisi sana.
Hili jilikwambia tutalijadili. Naongelea Waraqah kuandika Qur'aan.Unakichwa kigumu Sana , sehemu mpaka muhammad anapanda mlima mrefu ajirushe wewe unabisaha unasema hilo sio jaribio la kujiua , acha ubishi niendelee point number 2
Unaelewa kwamba posts zina namba na unaweza kuzi link?Pale ambapo kwa mara ya kwanza nime kuquote katika uzi huu.
Haya unataka niyafanye mara ngapi ?
Na kwanini hujibu maswali yangu ?
Moyo wa Mapenzi kwenye mwili wa Bina dam unakaa wap ule moyo unao Uma ukiachwa unaokunyima hata uwezo wa kula? Kuna mtu anaweza kuthibitisha upo wap au Kuna alie wahi kuuona? Je vip kwako wewe unaamin upo au haupo kama unaamin upo unaweza kuthibitisha kua upo?Unaelewa kwamba posts zina namba na unaweza kuzi link?
Thibitisha uchawi upo.
Thibitisha Allah yupo.
Moyo unasukuma damu, huo wa mapenzi tuambie wewe ukoje.Moyo wa Mapenzi kwenye mwili wa Bina dam unakaa wap ule moyo unao Uma ukiachwa unaokunyima hata uwezo wa kula? Kuna mtu anaweza kuthibitisha upo wap au Kuna alie wahi kuuona? Je vip kwako wewe unaamin upo au haupo kama unaamin upo unaweza kuthibitisha kua upo?
Usije kusema moyo uo ni huu unao sukuma Dam kwani ni vitu viwil tofaut nakusubir