Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Soma Biblia, husikalilishwe mambo! Na wanaotaka kushibisha matumbo yao'', wakiwadanganya watu.

Mwanzo 2:1-25​

1: Sabato ni ishara ya uumbaji;-
Kum 4:19; 17:3; 2Fal 17:16; 21:3; Za 104:2; Isa 44:24; 45:12; 48:13; 51:13 Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

2: Sabato ilianzia Edeni, na Mungu mwenyewe ndiye aliianzisha;
Kum 5:14; Ebr 4:4; Kut 20:11; 31:17; 34:21; Yn 5:17Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

3:Sabato imebarikiwa, na Mungu Mwenyewe
Kut 16:23; 20:10; 23:12; 31:15; 35:2; Law 23:3; Ebr 4:11; Neh 9:14; Mwa 1:1; Za 95:11; Isa 58:13; Yer 17:22 Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Leta hoja!

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
First Prev16 of 16

BoldItalicMore options…

Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Font sizeText colorFont ListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align rigStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteInsert videoMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts

Write your reply...
Post reply

Attach files Insert quotes…

Similar Discussions​

Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
14 Reactions
Reply
24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google

Soma Biblia, husikalilishwe mambo! Na wanaotaka kushibisha matumbo yao'', wakiwadanganya watu.

Mwanzo 2:1-25​

1: Sabato ni ishara ya uumbaji;-
Kum 4:19; 17:3; 2Fal 17:16; 21:3; Za 104:2; Isa 44:24; 45:12; 48:13; 51:13 Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

2: Sabato ilianzia Edeni, na Mungu mwenyewe ndiye aliianzisha;
Kum 5:14; Ebr 4:4; Kut 20:11; 31:17; 34:21; Yn 5:17Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

3:Sabato imebarikiwa, na Mungu Mwenyewe
Kut 16:23; 20:10; 23:12; 31:15; 35:2; Law 23:3; Ebr 4:11; Neh 9:14; Mwa 1:1; Za 95:11; Isa 58:13; Yer 17:22 Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Leta hoja!

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
First Prev16 of 16

BoldItalicMore options…

Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Font sizeText colorFont familyListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align right
  • Justify text
Paragraph formatStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteInsert videoMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts


Soma Biblia, husikalilishwe mambo! Na wanaotaka kushibisha matumbo yao'', wakiwadanganya watu.

Mwanzo 2:1-25​

1: Sabato ni ishara ya uumbaji;-
Kum 4:19; 17:3; 2Fal 17:16; 21:3; Za 104:2; Isa 44:24; 45:12; 48:13; 51:13 Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

2: Sabato ilianzia Edeni, na Mungu mwenyewe ndiye aliianzisha;
Kum 5:14; Ebr 4:4; Kut 20:11; 31:17; 34:21; Yn 5:17Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

3:Sabato imebarikiwa, na Mungu Mwenyewe
Kut 16:23; 20:10; 23:12; 31:15; 35:2; Law 23:3; Ebr 4:11; Neh 9:14; Mwa 1:1; Za 95:11; Isa 58:13; Yer 17:22 Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Leta hoja!

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
First Prev16 of 16

BoldItalicMore options…

Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Font sizeText colorFont ListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align rigStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteInsert videoMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts

Write your reply...
Post reply

Attach files Insert quotes…

Similar Discussions​

Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
14 Reactions
Reply
24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
Post reply

Attach files Insert quotes…

Similar Discussions​

Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
14 Reactions

Mungu wa kweli kamwe hana sifa ya kuchoka

Kwa bahati mbaya tumeona katika Bibliakuna mgongano mkubwa na wa kimsingi wa maandiko yake mengi. Miongoni mwahayo ni kuhusiana na dhana ya Mungu kufanya kazi akachoka akahitaji kupumzikasiku ya sabato, kama tulivyoona katika utangulizi wa makala hii.

Hata hivyo, kwa upande mwingine ziposhuhuda nyingine nyingi katika Biblia zinazoonyesha kuwa Mungu kamwe hanasifa kama hiyo (ya kuchoka na kupumzika). Shuhuda mojawapo ni kama ileiliyothibitishwa na Nabii Isaya (a.s.) kwamba:

"Je! Wewe hukujua, hukusikia? YeyeMungu wa milele, BWANA Muumba miisho ya dunia, hazimii, HACHOKI, akilizake hazichunguziki. Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwana uwezo". (Isaya 40:28-29)

Kwa shuhuda hizi, Nabii Isaya (a.s.)anakanusha kata kata Mungu kuwa na sifa yoyote ya kuchoka hata kupumzika(astarehe). Lakini yeye ndiye huwapa nguvu wale wasiokuwa na uwezo wa kukabilianaau kuhimili msukosuko wowote. Na ndio maana katika Qur’an tukufu mwenyeweMwenyezi Mungu akatilia mkazo kwamba:


"Na tumeziumba mbingu na ardhi navilivyomo kati yao katika nyakati sita, wala hayakutugusa machovu". (Qur’an50:38)

Kwa hiyo, Mwenyezi Mungu mwenyewekatika Qur’an tukufu anakanusha vikali dhana ya kwamba alipumzika sikuya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote. Aidha, hiyo pia Mwenyezi Munguanaipinga kwa hoja zake zifuatazo:

"Mtanifananisha na nani, na kunisawazishanaye, na kunilinganisha naye, ili tuwe sawa sawa?" (Isaya 46:5)

"Wala hana anayefanana naye hatammoja". (Qur’an 112:4)

"BWANA akamwambia Musa, Ondoka asubuhi na mapema, ukasimame mbele ya Farao, umwambie, BWANA, Mungu wa Waebrania,asema, Wape watu wangu ruhusa waende wakanitumikie kwani wakati huu nitaleta mapigo yangu yote juu ya moyo wako, na juu ya watumishi wako, na juu yawatu wako, ili upate kujua ya kuwa hapana mmoja mfano wa mimi ulimwenguni mwote". (Kutoka 9:13-14)

Kinachodhihirisha katika aya hizichache ni kuwa Mungu wa kweli kamwe hawezi kufanana kwa namna yoyote naviumbe wake. Na ni dhahiri kuwa sifa za kuchoka na kupumzika ni za viumbeambazo ni udhaifu na upungufu mtupu asiokuwa nao daima Mwenyezi Mungu. Ushahidi mmojawapo ni ule wa Bwana Yesu ambaye baada ya kukiri kuwa yeye ni mwana wa Adamu zaidi ya mara 82 katika Biblia, ameripotiwa kuwa aliwahikuchoka. (Rejea Yohana 4:6)

Kwa hiyo, Yesu naye kama binadamu,alikuwa na udhaifu kama huo na hivyo hawezi kuwa Mungu. (Isaya 40:28-29).Mwenyezi Mungu daima hachoki na milele hapumziki, kama Yesu mwenyewe anavyothibitisha,"Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi". (Yohana 5:16-17)
 
Mungu wa kweli kamwe hana sifa ya kuchoka

Kwa bahati mbaya tumeona katika Bibliakuna mgongano mkubwa na wa kimsingi wa maandiko yake mengi. Miongoni mwahayo ni kuhusiana na dhana ya Mungu kufanya kazi akachoka akahitaji kupumzikasiku ya sabato, kama tulivyoona katika utangulizi wa makala hii.

Hata hivyo, kwa upande mwingine ziposhuhuda nyingine nyingi katika Biblia zinazoonyesha kuwa Mungu kamwe hanasifa kama hiyo (ya kuchoka na kupumzika). Shuhuda mojawapo ni kama ileiliyothibitishwa na Nabii Isaya (a.s.) kwamba:

"Je! Wewe hukujua, hukusikia? YeyeMungu wa milele, BWANA Muumba miisho ya dunia, hazimii, HACHOKI, akilizake hazichunguziki. Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwana uwezo". (Isaya 40:28-29)

Kwa shuhuda hizi, Nabii Isaya (a.s.)anakanusha kata kata Mungu kuwa na sifa yoyote ya kuchoka hata kupumzika(astarehe). Lakini yeye ndiye huwapa nguvu wale wasiokuwa na uwezo wa kukabilianaau kuhimili msukosuko wowote. Na ndio maana katika Qur’an tukufu mwenyeweMwenyezi Mungu akatilia mkazo kwamba:


"Na tumeziumba mbingu na ardhi navilivyomo kati yao katika nyakati sita, wala hayakutugusa machovu". (Qur’an50:38)

Kwa hiyo, Mwenyezi Mungu mwenyewekatika Qur’an tukufu anakanusha vikali dhana ya kwamba alipumzika sikuya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote. Aidha, hiyo pia Mwenyezi Munguanaipinga kwa hoja zake zifuatazo:

"Mtanifananisha na nani, na kunisawazishanaye, na kunilinganisha naye, ili tuwe sawa sawa?" (Isaya 46:5)

"Wala hana anayefanana naye hatammoja". (Qur’an 112:4)

"BWANA akamwambia Musa, Ondoka asubuhi na mapema, ukasimame mbele ya Farao, umwambie, BWANA, Mungu wa Waebrania,asema, Wape watu wangu ruhusa waende wakanitumikie kwani wakati huu nitaleta mapigo yangu yote juu ya moyo wako, na juu ya watumishi wako, na juu yawatu wako, ili upate kujua ya kuwa hapana mmoja mfano wa mimi ulimwenguni mwote". (Kutoka 9:13-14)

Kinachodhihirisha katika aya hizichache ni kuwa Mungu wa kweli kamwe hawezi kufanana kwa namna yoyote naviumbe wake. Na ni dhahiri kuwa sifa za kuchoka na kupumzika ni za viumbeambazo ni udhaifu na upungufu mtupu asiokuwa nao daima Mwenyezi Mungu. Ushahidi mmojawapo ni ule wa Bwana Yesu ambaye baada ya kukiri kuwa yeye ni mwana wa Adamu zaidi ya mara 82 katika Biblia, ameripotiwa kuwa aliwahikuchoka. (Rejea Yohana 4:6)

Kwa hiyo, Yesu naye kama binadamu,alikuwa na udhaifu kama huo na hivyo hawezi kuwa Mungu. (Isaya 40:28-29).Mwenyezi Mungu daima hachoki na milele hapumziki, kama Yesu mwenyewe anavyothibitisha,"Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi". (Yohana 5:16-17)
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa



Sikiliza:


Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.
 
Sabato ni ya Waisraeli, Mungu alikwishaiondoa


KWA kushikilia peke yake maelezo yaliyo katika Biblia, katika kitabu cha Kutoka 20:8-11; baadhi ya watu huamini kuwa baada ya siku sita za kuumba kwake vitu vyote, Mungu aliitenga siku iliyofuatia ya saba (sabato) kuwa ni siku tukufu (holiday) na ya ibada.

Aidha, itikadi ya kuadhimisha siku hiyo pia imebeba dhana kwamba Mungu alifanya kazi (ya kuumba) kwa muda wa siku sita na baada ya kuchoka kwa kazi hiyo siku ya saba akapumzika!

Kwa kigezo hicho ndio sasa inaaminiwa na baadhi ya Wakristo kuwa imekuwa ni amri kwa wanadamu wote kwamba kwa muda wa siku sita wafanye kazi na siku ya saba ambayo ndiyo Sabato (Jumamosi) wapumzike na wafanye ibada.

Kwa hali hiyo, imenilazimu kupitia makala yangu hii nithibitishe kwa maandiko:

• Nafasi ya kuiadhimisha Sabato kwa wakati tulionao sasa.

• Uhusiano wa Sabato na wasiokuwa Waisraeli.

•Dhana potofu iliyoambatanishwa na Sabato (ya Mungu kuchoka na kumpumzika).

• Siku ambayo wanadamu wanatakiwa wafanye ibada.

Hata hivyo, kabla sijazichambua nukta hizo, ni vyema hapa kwanza nikayarejea maandiko kadhaa yanayoelezea wazi amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya Sabato.

Mwenyezi Mungu alisema:

"Ikumbukeni siku ya Sabato uitakase.Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa sikusita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibariki siku ya Sabato akaitakasa". (Kutoka20:8-11).

Tunachojifunza kufuatana na maandiko hayo juu ni kwamba, pamoja na kuandikwa maelezo ya "kustarehe kwake" siku ya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote, amri ya kuitukuza sabato ilitolewa moja kwa moja na mwenyewe Mungu.

Maelezo mengine ya amri hiyo yamerejewa pia katika rejea (reference) za Kutoka 31:12-17 na Kumbukumbu la Torati 5:12-15.

Hilo halina mjadala. pamoja na hivyo, lakini:

Sabato haikuwahusu watu wengine isipokuwa Waisraeli peke yao.

Pamoja na kukiri amri ya kuishika sabato kwamba ilikuwa ni ya Mungu mwenyewe kama tulivyoona hapo juu, maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa amri hiyo haikuwa na uhusiano wowote na watuwa mataifa mengine, yasiyokuwa ya Israeli. Lakini iliwahusu tu Waisraeli na vizazi vyao peke yao.

Ukweli huu unadhihirishwa na maandiko yafuatayo:

"BWANA akasema na Musa, na kumwambia, kisha nena wewe na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na nyinyi katika vizazi vyenu vyote, ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi:.

"Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote,ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alikufanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya sabana kupumzika". (Kutoka 31:12-13 na 16-17).

Kwa maandiko hayo, kinachodhihirika hapa ni kwamba hakuna watu wa mataifa mengine waliopewa amri ya kuishika sabato isipokuwa wana wa Israeli na vizazi vyao peke yao. Ambapo maandiko yanaeleza vile vile kwamba sababu ya msingi ya wana wa Israeli kupewa amri ya kuishika sabato ilikuwa ni ishara ya kuonyesha uhusiano wao mwema wa utiifu katika kuheshimu na kufuata amri za Mwenyezi Mungu.

Kisha Mungu alitoa tahadhari kwa Muisraeli atakayevunja Sabato

Baada ya Mungu kuwaamuru wana waIsraeli kuishika sabato, ili kutilia mkazo amri hiyo, aliwatahadharishakwa kutoa adhabu ya kuuawa kwa yeyote miongoni mwao atakayethubutu japokwa mzaha kuinajisi (kuivunja) au kufanya kazi yoyote siku ya sabato. Mungualiwaambia wana wa Israeli:

"Basi mtaishika hiyo sabato; kwakuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia najisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi yake itakataliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yoyote katika siku ya sabato, hakika yake atauawa". (Kutoka 31:14-15)

Muisraeli mmoja aliuawa kwa kukusanyakuni tu siku ya Sabato!

Ili kuonyesha ulazima wa kutii amriya kuiheshimu na kuishika sabato na kutotii tahadhari ya kutofanya kaziyoyote siku hiyo, maandiko ya Biblia hayakuacha kumuelezea Muisreli mmojaaliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la kukusanya tu kuni siku ya sabato.Biblia inasema:

"Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwa jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya sabato. Hao walimwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote. Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa. BWANA akamwambia Musa, mtu huyo lazima atauawa; mkutano wote wakampiga kwa mawe huko nje ya marago. Basi mkutano wote wakampeleka ya marago, nao wakampiga mawe, akafa; kama BWANA alivyomwagiza Musa". (Hesabu 15:32-36).

Kwa ufupi, haya yalikuwa ndio matokeo ya mtu (Muisraeli) anayeivunja sabato. Na ni dhahiri Bwana Yesu alipokuja alilijua hili.

Hata hivyo, uovu ulipokithiri Mungu aliamua kuivunja Sabato

Pamoja na mtu yule kupondwa kwa mawe hadi kufa kwa kosa la kuvunja sabato, hatimaye katika siku za usoni, zamaza Nabii Isaya (a.s.), Mungu aliamua mwenyewe kuivunja sabato kutokana na kukithiri kwa maovu, hali iliyopelekea amri za Mungu, ikiwemo ile ya kuheshimu siku ya sabato kuchanganywa na mila na desturi potofu za watu,kiasi kwamba ya Mungu na ya watu hayakutofautishwa. Ndipo Mungu mwenyewe kupitia Nabii Isaya alipoamua kukata shauri kwa kuwaambia:

"Msilete tena matokeo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano, siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada. Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa; nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua".(Isaya 1:13-14).

Kufuatana na maandiko hayo juu, imedhihihirika kwamba kwa kuchukizwa mno na maovu ya watu hao, Mungu alifikia kuishutumu sabato kuwa ni sehemu ya "maovu" kama inavyoonekana katika maandiko hayo hapo juu. Na hili Bwana Yesu alipokuja naye alilijua. Na ndio hakuona ulazima wa kuiheshimu tena sabato, kama tutakavyokuja kuona hapo baadae.

Yesu alidhihirisha kuvunjwa kwaSabato

Biblia inaonyesha maneno na matendo ya Bwana Yesu yalidhihirisha kwamba amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya sabato ilikuwa haina nguvu tena kama ilivyokuwa hapo katika siku zakale. Na huu ni uthibitisho mwingine wa wazi kuwa sabato lkuwa imekwisha vunjwa. Maandiko yafuatayo yanayoweka bayana ukweli huu:

"Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala.Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato. Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenzake? Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate ya wonyesho, ambayo si halali kwake kuila walakwa wale wenziwe, ila kwa makuhani peke yao? Wala hamkukusoma katika Torati,kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate hatia?Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko hekalu. Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato". (Mathayo12:1-8)

Tunachojifunza kutokana na maandiko hayo juu ni kwamba tofauti na mtu yule aliyeuliwa kwa kosa la kukusanya kuni siku ya sabato, Bwana Yesu pamoja na kutowakemea kwa kuvunja kwao masuke siku ya sabato, bado anawatetea wanafunzi wake kwa "kosa" hilo tena kwa kulijengea hoja tofauti. Kubwa zaidi anawadharau wale wote wanaowaona kuwa ni wakosaji wale wanaoivunja sabato, pale alipowaambia:

"... kama mngalijua maana yake maneno haya msingeliwalaumu wasio na hatia (waliovunja masuke siku ya sabato)".

Aidha, kauli ya Yesu hapa kwamba"Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato" haina maana nyingine zaidi ya kuonyesha kwamba yeye (Yesu) ndiye anayehusika zaidi na sabato kwa kuwa kwanza yu Muisraeli (Marko 2:27), pili, ilikuwa kielelezo kwa wanadamu wengine, yeye ndiye anayestahiki zaidi kuwa mtu wa kwanza katika kutii amri za Mungu . Kwa maana hiyo, alijua vyema kwamba wakati ule sabato haikuwepo tena.

Ndio maana kama tulivyokwisha kuona hakuwachukulia hatua wanafunzi wake hatua inayostahiki walipovunja masuke siku ya sabato, kwa kuwa wakati ule kilikuwa tena si kipindi cha "sadaka" bali cha "rehema", kama mwenyewe (Yesu) alivyosema hapo juu.

Zaidi ya kutowachukulia hatua yoyote wanafunzi wake kama alivyoadhibiwa mtu yule wa kuni, Biblia pia inaonyesha kuwa Bwana Yesu aliruhusu siku ya sabato kufanya kazi, kama zile za kuokoa uhai wa viumbe, kama tunavyosoma maandiko yafuatayo:

"Akaondoka huko, akaingia katika sinagogi lao. Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza, wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya mtu siku ya sabato? Wapate kumshitaki. Akawaambia, Ni mtu yupi miongoni mwenu mwenye kondoo mmoja, na yule kondoo ametumbukia shimoni siku ya sabato, asiyemshika akamwopoa? Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda wema siku ya sabato. Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaonyoosha, ukapona, ukawa mzima kama wapili". (Mathayo 12:9-12)

Ukichunguza kwa makini mafundisho haya ya Bwana Yesu utagundua ukweli kwamba sabato ilikwishavunjwa, kwani kama anavyosema (Yesu) kuwa ni halali kutenda wema siku ya sabato, kukusanya kuni pia na katika mambo mema vile vile, lakini kwa vile zama hizo sabato ilikuwa bado haijavunjwa, mhusika aliadhibiwa kwa kuuawa.

La muhimu kuzingatia hapa ni kwamba"ruhusa" hiyo ya Bwana Yesu ya kufanya kazi siku ya sabato ameitoa wakati ambao yapo yale maandiko yanayoitaja wazi marufuku ya kufanya kazi yoyotesiku ya sabato, pia yanatahadharisha Muisraeli atakayevunja sabato kwa kufanya kazi yoyote katika siku hiyo, isitoshe, yanamuelezea mtu yule aliyeuawa kwa kosa la kukusanya kuni tu siku ya sabato. Hii inaonyesha dhahiri kuwaalikuwa akionyesha kuwa amri ya kuishika sabato imekwishafutwa. (Isaya1:13-14)

Kwa hiyo hakuna siku maalum ya ibada

Baada ya kuona Bwana Yesu jinsi alivyoonyesha kutokuwepo tena taadhima ya siku ya sabato, kwa kweli sikukuu hiyo ilibakikuwa ni historia tu, kama Mungu mwenyewe anavyotukumbusha katika maandiko yafuatayo:

"Kisha nikawaambia watoto wao jangwani,msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao. Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda, zitakaseni sabato zangu,nazo zitakuwa ishara kati ya mimi na nyinyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Ezekieli 20:18-20)

Hivi ndivyo sabato ilivyosalia. Na baada ya hapo kwa kweli hakuna siku nyingine yoyote ambayo Mungu aliiteua badala ya sabato kuwa ni siku ya mapumziko na ya ibada. Haipo!

Na kwa kweli mwongozo sahihi na uliowazi juu ya ibada upo katika Qur’an tukufu peke yake ambamo Mwenyezi Mungu anasema:

"Na umuabudu Mola wako mpaka ikufikiehiyo yakini (nayo ni mauti)". (Qur’an 15:99)

Hapa haikuwekwa tena siku maalum ya ibada. Maana yake ni kuwa anatakiwa kila mwanadamu katika kila nuktaya uhai wake ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuwa katika ibada.

Na labda tatizo la msingi lililopokwa watu wengi ni la kutokuelewa maana sahihi ya ibada na kwa upana wake.Ambapo kimakosa neno hilo wanalihusisha na kuswali (kusali) peke yake.Yaani kwa wengi inapozungumzwa "ibada" hudhania ni "kuswali" tu! Hapana!

Labda jambo ambalo ingepasa watu hawa waelimishwe ni kwamba neno "ibada" siyo neno la Kiswahili. Lakini ni neno la Kiarabu lenye maana kwa Kiswahili ya "kutumika". Na kwa upana wake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kwa kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake yote. Na kwa hiyo, kuswali ni sehemu ya ibada na siyo ndio ibada yenyewe kamili.

Kwa mantiki hiyo, mtu huhesabika kuwa anaabudu (anafanya ibada) iwapo tu atatenda yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na kuacha yote aliyoyakataza. Na jambo hilo (la ibada) ni lazimakwa muumini wa kweli alifanye kila siku na siyo kwa siku maalum.
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa



Sikiliza:


Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.
 
Sabato ni ya Waisraeli, Mungu alikwishaiondoa


KWA kushikilia peke yake maelezo yaliyo katika Biblia, katika kitabu cha Kutoka 20:8-11; baadhi ya watu huamini kuwa baada ya siku sita za kuumba kwake vitu vyote, Mungu aliitenga siku iliyofuatia ya saba (sabato) kuwa ni siku tukufu (holiday) na ya ibada.

Aidha, itikadi ya kuadhimisha siku hiyo pia imebeba dhana kwamba Mungu alifanya kazi (ya kuumba) kwa muda wa siku sita na baada ya kuchoka kwa kazi hiyo siku ya saba akapumzika!

Kwa kigezo hicho ndio sasa inaaminiwa na baadhi ya Wakristo kuwa imekuwa ni amri kwa wanadamu wote kwamba kwa muda wa siku sita wafanye kazi na siku ya saba ambayo ndiyo Sabato (Jumamosi) wapumzike na wafanye ibada.

Kwa hali hiyo, imenilazimu kupitia makala yangu hii nithibitishe kwa maandiko:

• Nafasi ya kuiadhimisha Sabato kwa wakati tulionao sasa.

• Uhusiano wa Sabato na wasiokuwa Waisraeli.

•Dhana potofu iliyoambatanishwa na Sabato (ya Mungu kuchoka na kumpumzika).

• Siku ambayo wanadamu wanatakiwa wafanye ibada.

Hata hivyo, kabla sijazichambua nukta hizo, ni vyema hapa kwanza nikayarejea maandiko kadhaa yanayoelezea wazi amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya Sabato.

Mwenyezi Mungu alisema:

"Ikumbukeni siku ya Sabato uitakase.Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa sikusita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibariki siku ya Sabato akaitakasa". (Kutoka20:8-11).

Tunachojifunza kufuatana na maandiko hayo juu ni kwamba, pamoja na kuandikwa maelezo ya "kustarehe kwake" siku ya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote, amri ya kuitukuza sabato ilitolewa moja kwa moja na mwenyewe Mungu.

Maelezo mengine ya amri hiyo yamerejewa pia katika rejea (reference) za Kutoka 31:12-17 na Kumbukumbu la Torati 5:12-15.

Hilo halina mjadala. pamoja na hivyo, lakini:

Sabato haikuwahusu watu wengine isipokuwa Waisraeli peke yao.

Pamoja na kukiri amri ya kuishika sabato kwamba ilikuwa ni ya Mungu mwenyewe kama tulivyoona hapo juu, maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa amri hiyo haikuwa na uhusiano wowote na watuwa mataifa mengine, yasiyokuwa ya Israeli. Lakini iliwahusu tu Waisraeli na vizazi vyao peke yao.

Ukweli huu unadhihirishwa na maandiko yafuatayo:

"BWANA akasema na Musa, na kumwambia, kisha nena wewe na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na nyinyi katika vizazi vyenu vyote, ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi:.

"Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote,ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alikufanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya sabana kupumzika". (Kutoka 31:12-13 na 16-17).

Kwa maandiko hayo, kinachodhihirika hapa ni kwamba hakuna watu wa mataifa mengine waliopewa amri ya kuishika sabato isipokuwa wana wa Israeli na vizazi vyao peke yao. Ambapo maandiko yanaeleza vile vile kwamba sababu ya msingi ya wana wa Israeli kupewa amri ya kuishika sabato ilikuwa ni ishara ya kuonyesha uhusiano wao mwema wa utiifu katika kuheshimu na kufuata amri za Mwenyezi Mungu.

Kisha Mungu alitoa tahadhari kwa Muisraeli atakayevunja Sabato

Baada ya Mungu kuwaamuru wana waIsraeli kuishika sabato, ili kutilia mkazo amri hiyo, aliwatahadharishakwa kutoa adhabu ya kuuawa kwa yeyote miongoni mwao atakayethubutu japokwa mzaha kuinajisi (kuivunja) au kufanya kazi yoyote siku ya sabato. Mungualiwaambia wana wa Israeli:

"Basi mtaishika hiyo sabato; kwakuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia najisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi yake itakataliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yoyote katika siku ya sabato, hakika yake atauawa". (Kutoka 31:14-15)

Muisraeli mmoja aliuawa kwa kukusanyakuni tu siku ya Sabato!

Ili kuonyesha ulazima wa kutii amriya kuiheshimu na kuishika sabato na kutotii tahadhari ya kutofanya kaziyoyote siku hiyo, maandiko ya Biblia hayakuacha kumuelezea Muisreli mmojaaliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la kukusanya tu kuni siku ya sabato.Biblia inasema:

"Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwa jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya sabato. Hao walimwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote. Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa. BWANA akamwambia Musa, mtu huyo lazima atauawa; mkutano wote wakampiga kwa mawe huko nje ya marago. Basi mkutano wote wakampeleka ya marago, nao wakampiga mawe, akafa; kama BWANA alivyomwagiza Musa". (Hesabu 15:32-36).

Kwa ufupi, haya yalikuwa ndio matokeo ya mtu (Muisraeli) anayeivunja sabato. Na ni dhahiri Bwana Yesu alipokuja alilijua hili.

Hata hivyo, uovu ulipokithiri Mungu aliamua kuivunja Sabato

Pamoja na mtu yule kupondwa kwa mawe hadi kufa kwa kosa la kuvunja sabato, hatimaye katika siku za usoni, zamaza Nabii Isaya (a.s.), Mungu aliamua mwenyewe kuivunja sabato kutokana na kukithiri kwa maovu, hali iliyopelekea amri za Mungu, ikiwemo ile ya kuheshimu siku ya sabato kuchanganywa na mila na desturi potofu za watu,kiasi kwamba ya Mungu na ya watu hayakutofautishwa. Ndipo Mungu mwenyewe kupitia Nabii Isaya alipoamua kukata shauri kwa kuwaambia:

"Msilete tena matokeo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano, siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada. Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa; nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua".(Isaya 1:13-14).

Kufuatana na maandiko hayo juu, imedhihihirika kwamba kwa kuchukizwa mno na maovu ya watu hao, Mungu alifikia kuishutumu sabato kuwa ni sehemu ya "maovu" kama inavyoonekana katika maandiko hayo hapo juu. Na hili Bwana Yesu alipokuja naye alilijua. Na ndio hakuona ulazima wa kuiheshimu tena sabato, kama tutakavyokuja kuona hapo baadae.

Yesu alidhihirisha kuvunjwa kwaSabato

Biblia inaonyesha maneno na matendo ya Bwana Yesu yalidhihirisha kwamba amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya sabato ilikuwa haina nguvu tena kama ilivyokuwa hapo katika siku zakale. Na huu ni uthibitisho mwingine wa wazi kuwa sabato lkuwa imekwisha vunjwa. Maandiko yafuatayo yanayoweka bayana ukweli huu:

"Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala.Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato. Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenzake? Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate ya wonyesho, ambayo si halali kwake kuila walakwa wale wenziwe, ila kwa makuhani peke yao? Wala hamkukusoma katika Torati,kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate hatia?Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko hekalu. Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato". (Mathayo12:1-8)

Tunachojifunza kutokana na maandiko hayo juu ni kwamba tofauti na mtu yule aliyeuliwa kwa kosa la kukusanya kuni siku ya sabato, Bwana Yesu pamoja na kutowakemea kwa kuvunja kwao masuke siku ya sabato, bado anawatetea wanafunzi wake kwa "kosa" hilo tena kwa kulijengea hoja tofauti. Kubwa zaidi anawadharau wale wote wanaowaona kuwa ni wakosaji wale wanaoivunja sabato, pale alipowaambia:

"... kama mngalijua maana yake maneno haya msingeliwalaumu wasio na hatia (waliovunja masuke siku ya sabato)".

Aidha, kauli ya Yesu hapa kwamba"Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato" haina maana nyingine zaidi ya kuonyesha kwamba yeye (Yesu) ndiye anayehusika zaidi na sabato kwa kuwa kwanza yu Muisraeli (Marko 2:27), pili, ilikuwa kielelezo kwa wanadamu wengine, yeye ndiye anayestahiki zaidi kuwa mtu wa kwanza katika kutii amri za Mungu . Kwa maana hiyo, alijua vyema kwamba wakati ule sabato haikuwepo tena.

Ndio maana kama tulivyokwisha kuona hakuwachukulia hatua wanafunzi wake hatua inayostahiki walipovunja masuke siku ya sabato, kwa kuwa wakati ule kilikuwa tena si kipindi cha "sadaka" bali cha "rehema", kama mwenyewe (Yesu) alivyosema hapo juu.

Zaidi ya kutowachukulia hatua yoyote wanafunzi wake kama alivyoadhibiwa mtu yule wa kuni, Biblia pia inaonyesha kuwa Bwana Yesu aliruhusu siku ya sabato kufanya kazi, kama zile za kuokoa uhai wa viumbe, kama tunavyosoma maandiko yafuatayo:

"Akaondoka huko, akaingia katika sinagogi lao. Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza, wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya mtu siku ya sabato? Wapate kumshitaki. Akawaambia, Ni mtu yupi miongoni mwenu mwenye kondoo mmoja, na yule kondoo ametumbukia shimoni siku ya sabato, asiyemshika akamwopoa? Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda wema siku ya sabato. Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaonyoosha, ukapona, ukawa mzima kama wapili". (Mathayo 12:9-12)

Ukichunguza kwa makini mafundisho haya ya Bwana Yesu utagundua ukweli kwamba sabato ilikwishavunjwa, kwani kama anavyosema (Yesu) kuwa ni halali kutenda wema siku ya sabato, kukusanya kuni pia na katika mambo mema vile vile, lakini kwa vile zama hizo sabato ilikuwa bado haijavunjwa, mhusika aliadhibiwa kwa kuuawa.

La muhimu kuzingatia hapa ni kwamba"ruhusa" hiyo ya Bwana Yesu ya kufanya kazi siku ya sabato ameitoa wakati ambao yapo yale maandiko yanayoitaja wazi marufuku ya kufanya kazi yoyotesiku ya sabato, pia yanatahadharisha Muisraeli atakayevunja sabato kwa kufanya kazi yoyote katika siku hiyo, isitoshe, yanamuelezea mtu yule aliyeuawa kwa kosa la kukusanya kuni tu siku ya sabato. Hii inaonyesha dhahiri kuwaalikuwa akionyesha kuwa amri ya kuishika sabato imekwishafutwa. (Isaya1:13-14)

Kwa hiyo hakuna siku maalum ya ibada

Baada ya kuona Bwana Yesu jinsi alivyoonyesha kutokuwepo tena taadhima ya siku ya sabato, kwa kweli sikukuu hiyo ilibakikuwa ni historia tu, kama Mungu mwenyewe anavyotukumbusha katika maandiko yafuatayo:

"Kisha nikawaambia watoto wao jangwani,msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao. Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda, zitakaseni sabato zangu,nazo zitakuwa ishara kati ya mimi na nyinyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Ezekieli 20:18-20)

Hivi ndivyo sabato ilivyosalia. Na baada ya hapo kwa kweli hakuna siku nyingine yoyote ambayo Mungu aliiteua badala ya sabato kuwa ni siku ya mapumziko na ya ibada. Haipo!

Na kwa kweli mwongozo sahihi na uliowazi juu ya ibada upo katika Qur’an tukufu peke yake ambamo Mwenyezi Mungu anasema:

"Na umuabudu Mola wako mpaka ikufikiehiyo yakini (nayo ni mauti)". (Qur’an 15:99)

Hapa haikuwekwa tena siku maalum ya ibada. Maana yake ni kuwa anatakiwa kila mwanadamu katika kila nuktaya uhai wake ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuwa katika ibada.

Na labda tatizo la msingi lililopokwa watu wengi ni la kutokuelewa maana sahihi ya ibada na kwa upana wake.Ambapo kimakosa neno hilo wanalihusisha na kuswali (kusali) peke yake.Yaani kwa wengi inapozungumzwa "ibada" hudhania ni "kuswali" tu! Hapana!

Labda jambo ambalo ingepasa watu hawa waelimishwe ni kwamba neno "ibada" siyo neno la Kiswahili. Lakini ni neno la Kiarabu lenye maana kwa Kiswahili ya "kutumika". Na kwa upana wake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kwa kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake yote. Na kwa hiyo, kuswali ni sehemu ya ibada na siyo ndio ibada yenyewe kamili.

Kwa mantiki hiyo, mtu huhesabika kuwa anaabudu (anafanya ibada) iwapo tu atatenda yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na kuacha yote aliyoyakataza. Na jambo hilo (la ibada) ni lazimakwa muumini wa kweli alifanye kila siku na siyo kwa siku maalum.
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa



Sikiliza:


Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.
 
Zingatia:
The Four Cult claimed them self being X-,tians.
1. Seventh Day Adventist.
2. Jehova Witness
3. The Mormon.
4. Xtian Scientilogy
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa



Sikiliza:


Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.
 
Unaakili timamu wewe????

Yani huwezi kuiongelea SDA ukaacha hawa wafuatao
Joseph Bates, Hiram Edison, John Snow, Ellen G White na mumewe James..

Ningekuwa karibu ningezabua kibao akili ikae sawa
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa



Sikiliza:


Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.
 
Mungu wa kweli kamwe hana sifa ya kuchoka

Kwa bahati mbaya tumeona katika Bibliakuna mgongano mkubwa na wa kimsingi wa maandiko yake mengi. Miongoni mwahayo ni kuhusiana na dhana ya Mungu kufanya kazi akachoka akahitaji kupumzikasiku ya sabato, kama tulivyoona katika utangulizi wa makala hii.

Hata hivyo, kwa upande mwingine ziposhuhuda nyingine nyingi katika Biblia zinazoonyesha kuwa Mungu kamwe hanasifa kama hiyo (ya kuchoka na kupumzika). Shuhuda mojawapo ni kama ileiliyothibitishwa na Nabii Isaya (a.s.) kwamba:

"Je! Wewe hukujua, hukusikia? YeyeMungu wa milele, BWANA Muumba miisho ya dunia, hazimii, HACHOKI, akilizake hazichunguziki. Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwana uwezo". (Isaya 40:28-29)

Kwa shuhuda hizi, Nabii Isaya (a.s.)anakanusha kata kata Mungu kuwa na sifa yoyote ya kuchoka hata kupumzika(astarehe). Lakini yeye ndiye huwapa nguvu wale wasiokuwa na uwezo wa kukabilianaau kuhimili msukosuko wowote. Na ndio maana katika Qur’an tukufu mwenyeweMwenyezi Mungu akatilia mkazo kwamba:


"Na tumeziumba mbingu na ardhi navilivyomo kati yao katika nyakati sita, wala hayakutugusa machovu". (Qur’an50:38)

Kwa hiyo, Mwenyezi Mungu mwenyewekatika Qur’an tukufu anakanusha vikali dhana ya kwamba alipumzika sikuya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote. Aidha, hiyo pia Mwenyezi Munguanaipinga kwa hoja zake zifuatazo:

"Mtanifananisha na nani, na kunisawazishanaye, na kunilinganisha naye, ili tuwe sawa sawa?" (Isaya 46:5)

"Wala hana anayefanana naye hatammoja". (Qur’an 112:4)

"BWANA akamwambia Musa, Ondoka asubuhi na mapema, ukasimame mbele ya Farao, umwambie, BWANA, Mungu wa Waebrania,asema, Wape watu wangu ruhusa waende wakanitumikie kwani wakati huu nitaleta mapigo yangu yote juu ya moyo wako, na juu ya watumishi wako, na juu yawatu wako, ili upate kujua ya kuwa hapana mmoja mfano wa mimi ulimwenguni mwote". (Kutoka 9:13-14)

Kinachodhihirisha katika aya hizichache ni kuwa Mungu wa kweli kamwe hawezi kufanana kwa namna yoyote naviumbe wake. Na ni dhahiri kuwa sifa za kuchoka na kupumzika ni za viumbeambazo ni udhaifu na upungufu mtupu asiokuwa nao daima Mwenyezi Mungu. Ushahidi mmojawapo ni ule wa Bwana Yesu ambaye baada ya kukiri kuwa yeye ni mwana wa Adamu zaidi ya mara 82 katika Biblia, ameripotiwa kuwa aliwahikuchoka. (Rejea Yohana 4:6)

Kwa hiyo, Yesu naye kama binadamu,alikuwa na udhaifu kama huo na hivyo hawezi kuwa Mungu. (Isaya 40:28-29).Mwenyezi Mungu daima hachoki na milele hapumziki, kama Yesu mwenyewe anavyothibitisha,"Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi". (Yohana 5:16-17)
Ngoja nikupe andiko
Mathayo 5:17----19 "Atakae tii amri na kuwafundisha wengine kuzishika atakuwa mkuu katika ufalme wangu"
Sasa Ninyi mnao fundisha watu wasishike amri ikiwemo na sabato kwamba viligongolomewa Msalabani mnamfuta nani, mmekengeuka mkitafuta kuyajaza matumbo yenu Hosea 6:12-----
 
nini mgawanyo wa kiutawala unafuata mpangilio wa free masons.Division 13,sabato ya 13,n.k?
Wasabato mmetangaza sanasana hiki chama bila kujijua,sijui Huwa hamuelekezwi na Roho wa Mungu kwamba mnatumiwa,!?mnaelezea haya mambo kwa undani Hadi anakokaa yule muovu mnakujua,na rank za vyeo mnazijua,alafu ajabu wotewote usemi wenu ni Mmoja,atakavoeleza msabato wa simiyu kuhusu 666 ndio atakavoeleza msabato wa mtwala,,,,, yaani mmekalili ni kama form one wa zamani na arcmedes principal,,,,, hamjiulizagi!!??
 
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa




Sikiliza:

Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.

Udanganyifu wa Marabi:

Kwa mujibu wa Uislamu na pia Sheria ya Kiyahudi, Wayahudi wana wajibu wa kutunza utakatifu wa Sabato kwa kutofanya kazi yoyote ndani yake. Katika mabishano haya kati ya Yesu na Mafarisayo kutoka kwa Wayahudi, tunawaona wale matapeli wawili wakibishana na kuichinja Sheria ya Sabato ya MUNGU:

Mathayo 12:1-2

1 Wakati huo Yesu alipita katika mashamba siku ya Sabato, na wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza kuvunja masuke na kula.

2 Lakini Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato.”



Uongo kabisa! MUNGU Mwenyezi aliamuru wamiliki wote wa ardhi wa Kiyahudi wasivune pembe za ardhi zao, na kuweka mavuno kwa wahitaji wote wanaopita kwa uhuru kula kutoka kwao siku yoyote na wakati wowote (Mambo ya Walawi 19:9-11).

Hii ni kuwasaidia Wayahudi kuwa wakarimu na kutoa kwa wahitaji na njaa wote, wakiwemo wenyeji na "wageni".

Kwa hiyo wanafunzi wakiwa na njaa na kula kwa uhuru siku ya Jumamosi hawakuvunja kamwe sheria ya kutofanya kazi katika Sheria ya Sabato.
 
Andiko lipo wazi.Na ni hapo ambapo huwa ninapata mashaka sana kama kweli wasabato na mashahidi wa Yehova ni wakristu kweli!
Sijamaliza kusoma hili bandiko!
Lkn kiukweli jw na Adventist ni tatizo!
Kidogo huku kwenye Adventist Kuna ambao wameanza kuelewa sasahivi,Kuna walimu wazuri mpk unajiuliza mara mbili huyu ni msabato kweli!
Ila huko jw,Mungu tu aingilie kati ni tatizo kuliko neno lenyewe tatizo 🙌
 
Udanganyifu wa Marabi:

Kwa mujibu wa Uislamu na pia Sheria ya Kiyahudi, Wayahudi wana wajibu wa kutunza utakatifu wa Sabato kwa kutofanya kazi yoyote ndani yake. Katika mabishano haya kati ya Yesu na Mafarisayo kutoka kwa Wayahudi, tunawaona wale matapeli wawili wakibishana na kuichinja Sheria ya Sabato ya MUNGU:

Mathayo 12:1-2

1 Wakati huo Yesu alipita katika mashamba siku ya Sabato, na wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza kuvunja masuke na kula.

2 Lakini Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato.”



Uongo kabisa! MUNGU Mwenyezi aliamuru wamiliki wote wa ardhi wa Kiyahudi wasivune pembe za ardhi zao, na kuweka mavuno kwa wahitaji wote wanaopita kwa uhuru kula kutoka kwao siku yoyote na wakati wowote (Mambo ya Walawi 19:9-11).

Hii ni kuwasaidia Wayahudi kuwa wakarimu na kutoa kwa wahitaji na njaa wote, wakiwemo wenyeji na "wageni".

Kwa hiyo wanafunzi wakiwa na njaa na kula kwa uhuru siku ya Jumamosi hawakuvunja kamwe sheria ya kutofanya kazi katika Sheria ya Sabato.
Kwani ni dhambi kupitia kwenye mashamba Siku ya sabato????
Fungu lipi la biblia lilimzuia Yesu kupitia au kufanya hicho alichofanya
 
Ukijaribu kujiuliza kwanini Roman na viongozi wa dunia wanataka kusiwe na Sabato (siku ya kupumzika iwe Jumapili).

Duniani sasa hivi inakabiliwa na changamoto kuu zaidi ya mbili, ila nitazitaja hizi mbili ambazo ndizo ziko connected na siku za mwisho.
1. Kuna hali mbaya sana ya kiuchumi katika maeneo mbalimbali duniani, kumekua na hali ya ukame ambayo imetokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, sasa hii inapelekea na itapelekea kuwepo na njaa duniani kwa sababu hakuna production itakuwa inafanyika maana Huwezi lima, mahindi, mchele, maharage kama mvua na vyanzo vya maji vimeharibiwa. Sasa viongozi wakuu wa dunia wanaona namna sahihi ya kuondokana na hali mbaya ya kiuchumi ni kuongeza siku za kufanya kazi, ziwepo siku 6 za kufanya kazi na Jumapili pekee ndio iwe siku ya kupumzika na kufanya ibada. Badala ya kuangalia cha tatizo ambacho ni mabadiliko ya tabia ya nchi na kusuggest measures za kufanya ili kuondokana nayo kama vile kupanda miti na kuprotect vyanzo vya maji nk.

2. Kuna suala zima la mmonyoko wa maadili (mambo ya ushoga na usagaji) haya yote yanakuwa pioneered na kanisa na Roman, kanisa la Roman ndie initiator mkuu wa haya mambo ya ushoga. Currently, inaonekana ni jambo la hiari kwa nchi zetu za kiafrika kukubaliana na ushoga ili kupata msaada, ila muda unavozidi kwenda vikwazo vitazidi kuwa vingi sana .


Mathayo 24:14
[14]Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

(kwa statistics za 2021, ¾ ya dunia tayari imekwisha pelekewa neno la Mungu na imebaki ¼ tu ya watu wa dunia kufikiwa na neno la Mungu.) kwahio ni dhahiri kabisa Yesu kakaribia sana kurudi, japo hatujui ni lini, ila ni karibu sana kuliko tunavyodhani.

Tuendeleeni kujiandaa na kuja kwake Yesu, tuzitafakari njia nzetu, maana ule mwisho utakapofika ndipo mlango wa rehema utakuwa umefungwa kwetu sisi tunaoujua ukweli, na hapo ndipo watu wa Mungu tutakapoanza kuteswa na kuchukiwa pamoja na kuuawa.

Mathayo 24:9-10
[9]Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.

[10]Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.
Sasa wewe unaogopa kufa kwani ulijileta duniani? Au uliomba kuja duniani? Hayo mambo ya jumapili mara jumamosi, yalikuja baada yawatu kujikuta wapo duniani wakaamua kuyaita hayo majina jumatatu,jumapili nk: hakukuwa na siku kabla ya binadamu, na hakutakuwa na siku baada ya binadamu,wewe cha msingi relax fanya unachoweza usivunje sheria za jamii yako kwan ndivyo ilivyoamua hizo sheria ili tuishi kwa upendo, na amani, hayo mambo ya viongoz wa dunia kukataa sabato ni uongo ni mafundsho mnayofundishwa kanisani ili msifikir nje ya box.
 
Kwani ni dhambi kupitia kwenye mashamba Siku ya sabato????
Fungu lipi la biblia lilimzuia Yesu kupitia au kufanya hicho alichofa

Mafarisayo waliweka sheria 109 kuilinda au kuitunza sabato, sabato sio shida ila hizo sheria 109 ndo ilikuwa sheria,
Niletee fungu linalosema ukimkiri BWANA umeokoka
soma vizuri nini nimeandika , punguza jaziba
 
IBADA YA KWELI WALIPEWA WAYAHUDI

Ikiwa sabato ilitolewa kwa wayahudi, ibada pia ilitolewa kwa wayahudi.

Sabato ilianzia edeni, Mwanzo 2;2—4, wakati wayahudi hawapo, Epuka wapotoshaji

Usiibe,usiuwe nazo walipewa wayahudi,

BWANA wa sabato ni Yesu, bwana wa jumapili ni papa




Sikiliza:

Pamekuwepo na mambo mengi kuhusu suala zima la ibada ktk nyakati zetu lakini Yesu alisema, "Ninyi kwa maana wokovu watoka KWA WAYAHUDI" Yoh.4:23-24 Kwanini Yesu anatamka maneno haya, wakati alikuja kukomboa dunia nzima?

Wayahudi ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;Wao ndio walio mtoa kristo.

Yapo mambo kadhaa tunajifunza hapa

1: Iwapo tunahitaji kuhifahamu ibada ya kweli ya Mungu wa mbinguni ni lazima tuchague kufuata kile walichopewa wayahudi maana wao ndio pekee waliopewa IBADA YA MUNGU, torati na mababu wa imani kama Ibrahimu na Isaka na Yakobo pamoja na Yesu Kristo mwenyewe WALIZALIWA KWAO. Mungu aliwateua waisrel maalum ili wengine wote tujifunze kwao.

2: Sabato ni moja kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU ambazo Mungu mwenyewe aliandika KWA MKONO WAKE MWENYEWE mbona hizo nyingine kama USIUE, USIZINI, USIIBE mnazifundisha kwa waumini wenu kuwa NI ZA WOTE ila Sabato ni ya wayahudi? Kwani ni wapi wamataifa waliwahi kupewa AMRI tofauti na za wayahudi? Wapendwa waumini wa kawaida wanapotoshwa hivyo ni wakati wa KUCHUNGUZA MAANDIKO ili wewe mwenyewe ufahamu ukweli na kuufuata maana siku ya hukumu haijalishi ulidanganya au ulidanganywa wote ni moto Isaya.9:26.

3;Yesu kuwa BWANA WA SABATO hakumaanishi kuwa Sabato haipo ila YEYE NDIYE MMILIKI WA SABATO akiwa ni MUUMBAJI na MWOKOZI WA WANADAMU hata yeye mwenyewe ALIITUNZA SABATO Luka.4:16-18. Bwana wa jumapili ni papa, BWANA na wasabato ni yesu

4; Kristo NI KWELI NI MWISHO wa sheria lakini maana yake ni nini? kuna vitu viwili ambavyo watu wanavichanganya, AMRI na SHERIA. AMRI KUMI ZA MUNGU (TEN COMMANDMENTS O F GOD) ni za milele (mathayo 5 ;19 Mtu atakae vunja atakuwa mdogo katika ufalme wa MUNGU; ambazo MUNGU MWENYEWE ALIZIANDIKA akampa Musa na KUNA SHERIA (LAWS) ambazo baadhi Mungu alieleza na Musa aliziandika, nyingine ziliongezwa na wayahudi wenyewe. Mfano, Amri ya nne inaeleza utunzaji wa Sabato lakini zilikuwepo SHERIA nyingi za kulinda Utunzaji huo wa SABATO mfano, atakayeokota kuni siku ya Sabato atapigwa mawe, kutotembea mwendo wa mtupo wa jiwe siku ya Sabato HIZO ni sheria sio amri USICHANGANYE kwahiyo Yesu anaondoa SHERIA sio AMRI.

5; Ufun.14:12 anasema, " Hapa ndipo penye subira ya WATAKATIFU hao WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU na kuwa na IMANI YA YESU". Kwa mujibu wa hilo fungu WATAKATIFU wana SIFA KUU MBILI a. Kushika AMRI KUMI ZA MUNGU (Sio sheria) b. Kuwa na IMANI YA YESU (sio IMANI KWA YESU) IN SHORT ILI UENDE MBINGUNI ni Lazima

1: Jifunze ibada ya Mungu waliopewa wayahudi

2: Ibada hiyo imejengwa ktk Kuwa sehemu ya WAABUDUO HALISI sio kuabudu tu kwa vile jina la Yesu na miujiza inatendeka hapo

3: Ili ujue kuwa UNAABUDU HALISI lazima uabudu kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU akikufundisha KWELI YOTE ambayo ni NENO LA MUNGU yaani BIBLIA NZIMA. Ogopa sana kuufahamu UKWELI NUSU au watu wanaopinga baadhi ya mafundisho ya Biblia kama vile Sabato ni ya wayahudi, kula vyote hata Nguruwe ni halali, au ibada yoyote ambayo haina ushahidi wa kimaandiko kama vile ubatizo wa watoto, kuruka moto, ibada ya wafu, ibada ya kuitukuza JUMAPILI, CHRISMASS, EASTER n.k

4: Shika AMRI KUMI ZA MUNGU Ikiwepo na SABATO YA BWANA MUNGU WAKO sio SABATO YA WAYAHUDI maana SABATO NI YA MUNGU sio ya mtu au ya mhayahudi Kut.20:8-11 ikumbukwe kuwa huwezi kushika amri kumi kwa uwezo wako mwenyewe, ruhusu Neema ya Kristo itawale moyo na maisha yako Wafil.4:13

5: Hakikisha pia unakuwa na IMANI YA YESU yaani kutembea alivyotembea YESU kama vile Ubatizo wa kuzamishwa majini, kuitunza Sabato, kuwahudumia wahitaji, meza ya Bwana kwa kutawazana miguu kwanza na kuchukia kila aina ya dhambi.

Sabato haikuwahusu watu wengine isipokuwa Waisraeli peke yao.

Pamoja na kukiri amri ya kuishika sabato kwamba ilikuwa ni ya Mungu mwenyewe , maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa amri hiyo haikuwa na uhusiano wowote na watu wa mataifa mengine, yasiyokuwa ya Israeli.

Lakini iliwahusu tu Waisraeli na vizazi vyao peke yao. Ukweli huu unadhihirishwa na maandiko yafuatayo:

"BWANA akasema na Musa, na kumwambia, kisha nena wewe na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na nyinyi katika vizazi vyenu vyote, ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi:

"Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alikufanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika".
Kutoka 31:12-13 na 16-17.

Kwa maandiko hayo, kinachodhihirika hapa ni kwamba hakuna watu wa mataifa mengine waliopewa amri ya kuishika sabato isipokuwa wana wa Israeli na vizazi vyao peke yao. Ambapo maandiko yanaeleza vile vile kwamba sababu ya msingi ya wana wa Israeli kupewa amri ya kuishika sabato ilikuwa ni ishara ya kuonyesha uhusiano wao mwema wa utiifu katika kuheshimu na kufuata amri za Mwenyezi Mungu.
 
Kwani ni dhambi kupitia kwenye mashamba Siku ya sabato????
Fungu lipi la biblia lilimzuia Yesu kupitia au kufanya hicho alichofa

Mafarisayo waliweka sheria 109 kuilinda au kuitunza sabato, sabato sio shida ila hizo sheria 109 ndo ilikuwa sheria,
Niletee fungu linalosema ukimkiri BWANA umeokoka

Yesu alidhihirisha kuvunjwa kwa Sabato


Biblia inaonyesha maneno na matendo ya Bwana Yesu yalidhihirisha kwamba amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya sabato ilikuwa haina nguvu tena kama ilivyokuwa hapo katika siku za kale. Na huu ni uthibitisho mwingine wa wazi kuwa sabato lkuwa imekwishavunjwa.

Maandiko yafuatayo yanayoweka bayana ukweli huu:

"Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala. Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato. Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenzake? Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate ya wonyesho, ambayo si halali kwake kuila wala kwa wale wenziwe, ila kwa makuhani peke yao? Wala hamkukusoma katika Torati, kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate hatia? Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko hekalu. Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato".
Mathayo 12:1-8

Tunachojifunza kutokana na maandiko hayo juu ni kwamba tofauti na mtu yule aliyeuliwa kwa kosa la kukusanya kuni siku ya sabato, Bwana Yesu pamoja na kutowakemea kwa kuvunja kwao masuke siku ya sabato, bado anawatetea wanafunzi wake kwa "kosa" hilo tena kwa kulijengea hoja tofauti. Kubwa zaidi anawadharau wale wote wanaowaona kuwa ni wakosaji wale wanaoivunja sabato, pale alipowaambia:
"... kama mngalijua maana yake maneno haya msingeliwalaumu wasio na hatia (waliovunja masuke siku ya sabato)".

Aidha, kauli ya Yesu hapa kwamba "Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato" haina maana nyingine zaidi ya kuonyesha kwamba yeye (Yesu) ndiye anayehusika zaidi na sabato kwa kuwa kwanza yu Muisraeli (Marko 2:27), pili, ilikuwa kielelezo kwa wanadamu wengine, yeye ndiye anayestahiki zaidi kuwa mtu wa kwanza katika kutii amri za Mungu. Kwa maana hiyo, alijua vyema kwamba wakati ule sabato haikuwepo tena. Ndio maana kama tulivyokwishakuona hakuwachukulia hatua wanafunzi wake hatua inayostahiki walipovunja masuke siku ya sabato, kwa kuwa wakati ule kilikuwa tena si kipindi cha "sadaka" bali cha "rehema", kama mwenyewe (Yesu) alivyosema hapo juu.

Zaidi ya kutowachukulia hatua yoyote wanafunzi wake kama alivyoadhibiwa mtu yule wa kuni, Biblia pia inaonyesha kuwa Bwana Yesu aliruhusu siku ya sabato kufanya kazi, kama zile za kuokoa uhai wa viumbe, kama tunavyosoma maandiko yafuatayo:

"Akaondoka huko, akaingia katika sinagogi lao. Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza, wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya mtu siku ya sabato? Wapate kumshitaki. Akawaambia, Ni mtu yupi miongoni mwenu mwenye kondoo mmoja, na yule kondoo ametumbukia shimoni siku ya sabato, asiyemshika akamwopoa? Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda wema siku ya sabato.Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaonyoosha, ukapona, ukawa mzima kama wa pili".
Mathayo 12:9-12

Ukichunguza kwa makini mafundisho haya ya Bwana Yesu utagundua ukweli kwamba sabato ilikwishavunjwa, kwani kama anavyosema (Yesu) kuwa ni halali kutenda wema siku ya sabato, kukusanya kuni pia na katika mambo mema vile vile, lakini kwa vile zama hizo sabato ilikuwa bado haijavunjwa, mhusika aliadhibiwa kwa kuuawa.

La muhimu kuzingatia hapa ni kwamba "ruhusa" hiyo ya Bwana Yesu ya kufanya kazi siku ya sabato ameitoa wakati ambao yapo yale maandiko yanayoitaja wazi marufuku ya kufanya kazi yoyote siku ya sabato, pia yanatahadharisha Muisraeli atakayevunja sabato kwa kufanya kazi yoyote katika siku hiyo, isitoshe, yanamuelezea mtu yule aliyeuawa kwa kosa la kukusanya kuni tu siku ya sabato. Hii inaonyesha dhahiri kuwa alikuwa akionyesha kuwa amri ya kuishika sabato imekwishafutwa. (Isaya 1:13-14)
 
Kwani ni dhambi kupitia kwenye mashamba Siku ya sabato????
Fungu lipi la biblia lilimzuia Yesu kupitia au kufanya hicho alichofa

Mafarisayo waliweka sheria 109 kuilinda au kuitunza sabato, sabato sio shida ila hizo sheria 109 ndo ilikuwa sheria,
Niletee fungu linalosema ukimkiri BWANA umeokoka


Kwa hiyo hakuna siku maalum ya ibada


Baada ya kuona Bwana Yesu jinsi alivyoonyesha kutokuwepo tena taadhima ya siku ya sabato, kwa kweli sikukuu hiyo ilibaki kuwa ni historia tu, kama Mungu mwenyewe anavyotukumbusha katika maandiko yafuatayo:

"Kisha nikawaambia watoto wao jangwani, msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao. Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda, zitakaseni sabato zangu, nazo zitakuwa ishara kati ya mimi na nyinyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu".

Ezekieli 20:18-20

Hivi ndivyo sabato ilivyosalia. Na baada ya hapo kwa kweli hakuna siku nyingine yoyote ambayo Mungu aliiteua badala ya sabato kuwa ni siku ya mapumziko na ya ibada. Haipo!

Na kwa kweli mwongozo sahihi na ulio wazi juu ya ibada upo katika Qur’an tukufu peke yake ambamo Mwenyezi Mungu anasema:

"Na umuabudu Mola wako mpaka ikufikie hiyo yakini (nayo ni mauti)".
Qur’an 15:99

Hapa haikuwekwa tena siku maalum ya ibada. Maana yake ni kuwa anatakiwa kila mwanadamu katika kila nukta ya uhai wake ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuwa katika ibada.
Na labda tatizo la msingi lililopo kwa watu wengi ni la kutokuelewa maana sahihi ya ibada na kwa upana wake. Ambapo kimakosa neno hilo wanalihusisha na kuswali (kusali) peke yake. Yaani kwa wengi inapozungumzwa "ibada" hudhania ni "kuswali" tu! Hapana!

Labda jambo ambalo ingepasa watu hawa waelimishwe ni kwamba neno "ibada" siyo neno la Kiswahili. Lakini ni neno la Kiarabu lenye maana kwa Kiswahili ya "kutumika". Na kwa upana wake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kwa kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake yote. Na kwa hiyo, kuswali ni sehemu ya ibada na siyo ndio ibada yenyewe kamili.

Kwa mantiki hiyo, mtu huhesabika kuwa anaabudu (anafanya ibada) iwapo tu atatenda yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na kuacha yote aliyoyakataza. Na jambo hilo (la ibada) ni lazima kwa muumini wa kweli alifanye kila siku na siyo kwa siku maalum.
 
Kwa hiyo hakuna siku maalum ya ibada


Baada ya kuona Bwana Yesu jinsi alivyoonyesha kutokuwepo tena taadhima ya siku ya sabato, kwa kweli sikukuu hiyo ilibaki kuwa ni historia tu, kama Mungu mwenyewe anavyotukumbusha katika maandiko yafuatayo:

"Kisha nikawaambia watoto wao jangwani, msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao. Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda, zitakaseni sabato zangu, nazo zitakuwa ishara kati ya mimi na nyinyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu".

Ezekieli 20:18-20

Hivi ndivyo sabato ilivyosalia. Na baada ya hapo kwa kweli hakuna siku nyingine yoyote ambayo Mungu aliiteua badala ya sabato kuwa ni siku ya mapumziko na ya ibada. Haipo!

Na kwa kweli mwongozo sahihi na ulio wazi juu ya ibada upo katika Qur’an tukufu peke yake ambamo Mwenyezi Mungu anasema:

"Na umuabudu Mola wako mpaka ikufikie hiyo yakini (nayo ni mauti)".
Qur’an 15:99

Hapa haikuwekwa tena siku maalum ya ibada. Maana yake ni kuwa anatakiwa kila mwanadamu katika kila nukta ya uhai wake ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuwa katika ibada.
Na labda tatizo la msingi lililopo kwa watu wengi ni la kutokuelewa maana sahihi ya ibada na kwa upana wake. Ambapo kimakosa neno hilo wanalihusisha na kuswali (kusali) peke yake. Yaani kwa wengi inapozungumzwa "ibada" hudhania ni "kuswali" tu! Hapana!

Labda jambo ambalo ingepasa watu hawa waelimishwe ni kwamba neno "ibada" siyo neno la Kiswahili. Lakini ni neno la Kiarabu lenye maana kwa Kiswahili ya "kutumika". Na kwa upana wake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kwa kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake yote. Na kwa hiyo, kuswali ni sehemu ya ibada na siyo ndio ibada yenyewe kamili.

Kwa mantiki hiyo, mtu huhesabika kuwa anaabudu (anafanya ibada) iwapo tu atatenda yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na kuacha yote aliyoyakataza. Na jambo hilo (la ibada) ni lazima kwa muumini wa kweli alifanye kila siku na siyo kwa siku maalum.
Yesu anasema "mathayo 5:19 Yeye HASIYE shika torati na kufundisha watu kuvunja torati na manabii ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu'"

Jitathimini unapoendelea kuvunja na kufundisha wengine kuvunja torati na manabii
Soma Daniel 7:17--22 & Ufunuo 13:15 Pembe ndogo ' itaadhimu kubadili sheria,
Sio Mungu Aliye badili sheria ikiwemo sabato hiyo ni Kazi ya Pembe ndogo
 
Kwa hiyo hakuna siku maalum ya ibada


Baada ya kuona Bwana Yesu jinsi alivyoonyesha kutokuwepo tena taadhima ya siku ya sabato, kwa kweli sikukuu hiyo ilibaki kuwa ni historia tu, kama Mungu mwenyewe anavyotukumbusha katika maandiko yafuatayo:

"Kisha nikawaambia watoto wao jangwani, msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao. Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda, zitakaseni sabato zangu, nazo zitakuwa ishara kati ya mimi na nyinyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu".

Ezekieli 20:18-20

Hivi ndivyo sabato ilivyosalia. Na baada ya hapo kwa kweli hakuna siku nyingine yoyote ambayo Mungu aliiteua badala ya sabato kuwa ni siku ya mapumziko na ya ibada. Haipo!

Na kwa kweli mwongozo sahihi na ulio wazi juu ya ibada upo katika Qur’an tukufu peke yake ambamo Mwenyezi Mungu anasema:

"Na umuabudu Mola wako mpaka ikufikie hiyo yakini (nayo ni mauti)".
Qur’an 15:99

Hapa haikuwekwa tena siku maalum ya ibada. Maana yake ni kuwa anatakiwa kila mwanadamu katika kila nukta ya uhai wake ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuwa katika ibada.
Na labda tatizo la msingi lililopo kwa watu wengi ni la kutokuelewa maana sahihi ya ibada na kwa upana wake. Ambapo kimakosa neno hilo wanalihusisha na kuswali (kusali) peke yake. Yaani kwa wengi inapozungumzwa "ibada" hudhania ni "kuswali" tu! Hapana!

Labda jambo ambalo ingepasa watu hawa waelimishwe ni kwamba neno "ibada" siyo neno la Kiswahili. Lakini ni neno la Kiarabu lenye maana kwa Kiswahili ya "kutumika". Na kwa upana wake ni kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kwa kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake yote. Na kwa hiyo, kuswali ni sehemu ya ibada na siyo ndio ibada yenyewe kamili.

Kwa mantiki hiyo, mtu huhesabika kuwa anaabudu (anafanya ibada) iwapo tu atatenda yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na kuacha yote aliyoyakataza. Na jambo hilo (la ibada) ni lazima kwa muumini wa kweli alifanye kila siku na siyo kwa siku maalum.
Nalikuwa katika Roho, SIKU YA BWANA ....(Ufunuo 1:10)
Swali:
1: je ikiwa manabii wanatambua kuwa ipo Siku ya BWANA, unapata wapo fungu la biblia linalosema Hakuna Siku maalumu ya ibada???

2: Kwenye bango la kanisa umeandika jumapili ni Siku ya ibada, Ulitumia vigezo vipi vya KIROHO kuifanya jumapili kuwa Siku ya ibada??
 
Back
Top Bottom