Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝Of course mkuu.
Ila unapaswa kufocus kukua kiroho sio kwa kutegemea nguvu zako kushinda dhambi. hapana. Hayo yote unapaswa kuyatenda sio ili upate kuokolewa(wokovu) au uende mbinguni bali unapaswa kuyafanya kwa kuwa wewe ni kiumbe kipya ndani ya kristo baada ya roho yako kuungana na Roho wa Mungu.
Ukimpokea Roho wa Mungu hautumii nguvu kubwa kushinda hayo (japo utaanza kwa ugumu kwa kuwa mwili ni dhaifu kwa mambo ya Kimungu/Kiroho).
Aliyeamini ameokolewa/ameokoka tayari. kinachofuata ni kutembea kwa kudhihirisha ule wokovu aliuopokea kwa Kufa na kufufuka kwa Yesu.
Kuhusu sabato pia tangu mwanzo ilikuwa moja ya vitu vilivyofanyika kama vivuli vya yale yatakayokuja baada ya Yesu kudhihirika katika mwili.
Yote kuhusu Chakula cha jangwani(Manna),Nyoka wa Shaba,Hema la kukutania na sherehe za vibanda,Sadaka ya kondoo ni ufananisho wa Kristo ambavyo vilikoma baada ya kitu halisi(Yesu Kristo) kuja.
Baada ya kitu halisi kuja haiwezekani ukabaki na kushikilia kivuli ambacho sio kitu halisi.
Yesu aliheshimu agano la kale lakini pia hakumaanisha yale yaliyokuwa kule ni ya kushikilia bado.mifano ipo mingi ila mmoja ni kuhusu mwanamke aliyezini.
Sheria ilisema alipaswa kuuwawa lakini Yesu hakumuachia watu wampige bali aliweka mazingira ya wao kujua kwamba wenyewe pia wana dhambi zao na hawawezi kujikomboa isipokuwa kupitia yeye kwa namna alivyokuja duniani kufa kwa ajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu.
Yesu hakutaka kuonyesha kwamba walioshika agano la kale hawakuwa na akili..hapana bali anaonyesha kuwa agano jipya ni bora zaidi kwa kuwa lina tuhakikishia msamaha wa dhambi na wokovu kwa imani na nafasi yetu sio kujiokoa bali tumeshaokolewa(tukiamini) ila tunapaswa kutembea katika mwenendo wa Kiumbe mpya baada ya roho yetu kuungana na Roho wa Mungu.
Asili yeti inakuwa ina chembe ya Mungu ndani yetu ambaye kwa Roho wake tuna nguvu na mamlaka ya kutembea sawasawa na asili mpya tulioipokea katika Kristo.
Ndio nazijua. Vipi wewe?UNAZIJUA AMLI ZA MUNGU??????????
Akijibu niambie...Yesu mwenyewe aliitunza sabato
soma maandiko vizuriBinafsi najivunia sana kuwa Mkatoliki! Kusoma Seminary ya Kikatoliki. Na kuishi maisha ya kikatoliki.
Wasabato tunaamini katika Amri kumi za Mungu na imani ya Yesu...full stopWasabato wanaamini katika mawazo ya mtu sio ya Mungu ndio maana wanakosoa madhehebu mengine badala ya kufundisha watu kuongoka
Yesu mwenyewe aliitunza sabato
Kusomea theology ..watu wengi wamesomeaElimu niliyonayo katika Dini wewe nyumbu wa kisabato huwezi kuniambia nikosome maandiko
Nyie mmesomea kuikashifu catholic ndio mnachojua😂
Unabii alioandika Ellen White unatofautiana wapi na Amri za Mungu??Sheria zilizotungwa na ellen white 1863
Nionyeshe wapi Yesu hakutunza sabato??Agano jipya lina anzia wapi?
-Kama Yesu asingefufuka Ukristo wetu ungekuwa ni kazi bure.
-Baada ya Yesu kufufuka alikaa duniani siku 40 akiwatokea wanafunzi wake. Niambie wapi aliwatokea siku ya Sabato?
-Sabato ni kwa ajili ya Mwanadamu na wala si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
-Siku ya kwanza ya juma ndiyo Bwana Yesu alifufuka kuashiria dhambi/ mauti imeshindwa. Kuna Ubayo wowote hiyo kuwa ndio ika beba yote ya sabato na kumbukumbu ya ukombozi.
-Tumepewa funguo za ufalme wa Mbinguni tutakalolifungua duniani likiwa ni kwa mapenzi ya Mungu na mbinguni limefunguliwa.
-Kwa mmoja siku moja ni muhimu kwake na kwa mwengine siku zote saba.
-Pazia lilipopasuka siku ile Bwana Yesu aliposulubishwa na kufa ndio ulikuwa mwanzo kwa kila muamini kuwa na uwezo wa kuingia Patakatifu pa Patakatifu na tuna,Roho Mtakatifu maana Yesu alitupa hiyo ahadi na ikatimia siku ya Pentekosti. Kwa nini Yesu asubiri mpaka 31/10/1884 ndio angie Patakatifu pa Patakatifu?
-Huyu mama Ellen White na wenzake walitupu baada ya kusema uongo kuhusu hiyo tarehe ya mwisho wa dunia ambapo haikuwa hivyo. Hawakuona Maneno yaliyo sema hakuna ajuaye hiyo tarehe ila Baba/ Bwana Mungu wa Mbinguni??
Unabii alioandika Ellen White unatofautiana wapi na Amri za Mungu??
Nionyeshe wapi Yesu hakutunza sabato??
Na ni wapi walisema baada ya agano jipya tuache kusali siku ya ibada siku ya Bwana ambayo ni sabato
Kusomea theology ..watu wengi wamesomea
Ninachosemea hapo ni usome maandiko vzuri kwa kuyaelewa
Another thing ..nani amesema wasabato wanawakashifu dhehebu fulani ?