Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Woah.ahsante sana Mtumishi wa Bwana Yesu.Nilikuwa na maswali mengi kichwani hivi karibuni juu ya usabato na kwa hakika nimepata majibu mengi sana.Na sio hivo bali nimepata na chakula muhimu kwa ajilo ya makuzi ya kiroho.Kwa hakika neema tuliyoyano wale tuliomwamini na kumuishi Bwana Yesu kristo ni yapekee sana.Ahsante Roho mtakatifu kwa vile ulivoyafunua haya kupitia Mtumishi huyu.

Neno ni muhimu sana kwa waamini.
Roho mtakatifu akuongoze kuvunja amri zake!Huyo ni Ibilisi.Watakatifu ni wale wanaoshika amri za MUNGU na ushuhuda wa Yesu tu(ISAYA 8:20,Ufunuo 14:12).Na kama huitii sheria ya MUNGU jua hata Sala yako ni chukizo Kwa MUNGU (Mithali 28:9).Sheria ya MUNGU Ina amri 10.Ya nne ni sabato.Ukivunja moja umevunja zote(Yakobo 2:9-10).Na kuhusu sabato hilo halina mjadala.Yesu amesema yeye ndiyo Bwana wa sabato(mwenye sabato yake).Hakusema yeye ndo sabato.Mimi nimepanga kwenye nyumba ya Simon.Nakuambia hv;Simon ndiye bwana wa nyumba hii ninayoishi.Ndo tuseme Simoni ndo nyumba ninayoishi!!Hata kiswahili hamjui.Watu wa BWANA hutambulika Kwa kuitunza sabato(Ezekieli 20:20).We endelea kujifariji kwa maneno laini laini mnayodanganyana bila andiko la kuthibitisha.Hakuna Yerusalemu ya wajumapili wala ijumaa ndugu, Yerusalemu ni kuitunza sabato tu, milele na milele (ISAYA 66:22-23).
 
Kuna mambo ambayo tunafanana dini zote......

Usiue, usizini, usiibe, usiseme uongo na zaidi ya yote mpende jirani yako kama nafsi yako.

Binafsi nikishaweza kushinda haya ya kawaida ambayo tunafanana nitaangaika na patakatifu pa watakatifu na hayo mengine ya ukatoliki na usabato na ulokole na ushahidi wa yehova na uislamu.
Sheria ya MUNGU Ina amri kumi(kutoka 20:3-17).Amri ya nne ni sabato.Ukivunja moja tu ujue umevunja sheria yote(Yakobo 2:9-10).Jifariji tu
 
Sheria ya MUNGU Ina amri kumi(kutoka 20:3-17).Amri ya nne ni sabato.Ukivunja moja tu ujue umevunja sheria yote(Yakobo 2:9-10).Jifariji tu
Utanichoma moto. Hahaha
 
Sabato haiko juu yake bali Yeye, Yesu, ndiye Bwana wa sabato!
We umeelewa nini.Mimi ndiyo bwana wa Leonola.Ni sahihi uniite Leonola? Leonola ni mke wangu.Yesu ndiye BWANA wa sabato,yaani yeye ndiye mwenye sabato,aliiumba yeye,ni Mali yake,SIO YEYE NDO SABATO.Sabato ni siku ya Saba,Yesu hawezi kuwa siku,ila yeye ameiumba siku.Kiswahili hili!
 
Andiko lipo wazi.Na ni hapo ambapo huwa ninapata mashaka sana kama kweli wasabato na mashahidi wa Yehova ni wakristu kweli!
Bi Ellen G White mwanzilishi wa sabato na Charles T Russell mwanzilishi wa Jehovah witness inasemwa walikuwa members wa freemason.
Kaburi la Russell lina muhuri wa freemason Kama la kanumba
 
We umeelewa nini.Mimi ndiyo bwana wa Leonola.Ni sahihi uniite Leonola? Leonola ni mke wangu.Yesu ndiye BWANA wa sabato,yaani yeye ndiye mwenye sabato,aliiumba yeye,ni Mali yake,SIO YEYE NDO SABATO.Sabato ni siku ya Saba,Yesu hawezi kuwa siku,ila yeye ameiumba siku.Kiswahili hili!
Maana yake Yeye ndiye pumziko halisi, siyo siku. Yeye ni boss wa pumziko, mtumaini Yeye Yesu Kristo, siyo siku. Mathayo 11:28 na Wakolosai 2:16-17
 
Kama wewe ulivyotumwa na Mama yako Ellen
Mkuu kama wewe ni Mkristo basi kwenye debate unatakiwa uwe na vifungu vya Bible kuku suppprt hoja zako I mean evidence zilizothibitishwa nimejaribu kifuatilia mdahalo nimekupa zero marks
 
Madhehebu yote ni taasisi zenye malengo kama taasis zingine za kidunia na lengo kuu haswa ni influence na power juu ya washirika/ wanachama wake (kama kilivyo chama cha siasa), wengi wetu tumezaliwa humo na namna ya kuamini na kuabudu ni utamaduni wa taasisi husika na wanachama wake wanahimizwa na kufundishwa kushika tamaduni hizo ili waendelee kubaki ndani ya taasisi hiyo. Ukivuka ukaenda kwa Budhism au Hinduism ni mfumo tofauti kabisa unaweza kusema wamerogwa. La hasha ndo wanavyoamini, so who am i to judge?

Hakuna dhehebu/dini lililo sahihi au teule kuliko mengine. Ukielewa hili utaenda kanisani kwako au msikitini au chini ya mti au hekaluni utasali ulivyoaminishwa then utaendelea ku-ball na maisha yako bila stress. MUNGU hajui DINI.
 
Yesu mwenyewe aliitunza sabato
Lakini aliwauliza wanafunzi wake, je ni nani anaweza kumwacha kondoo aliyetumbukia shimoni siku ya sabato hata asimtoe? Tutumie akili kwenye haya mambo.
 
Lakini aliwauliza wanafunzi wake, je ni nani anaweza kumwacha kondoo aliyetumbukia shimoni siku ya sabato hata asimtoe? Tutumie akili kwenye haya mambo.
Tuitunze kwa akili Lakini pia tusiache kabisa kuitunza kma makanisa ya j2 yanavofanya.
Kwasababu hiyo hata mbinguni itakuwepo
 
Tuitunze kwa akili Lakini pia tusiache kabisa kuitunza kma makanisa ya j2 yanavofanya.
Kwasababu hiyo hata mbinguni itakuwepo
Hakunaga ktu kama dhambi ya kuifanya kwa akili au utakatifu wa kuufanya kwa akili, ikishafika hapo basi ni mambo ya ujanja ujanja wala hakuna uhalisia, ndipo sa mkaambiwa hyo ni kivuli ila mna ing'ang'ania, ni sawa na mtu akwambie zini kwa akili, au muheshimu mzazi kwa akili, au mpenda Mungu kwa Roho yako yote kwa akili ,..cheif huo ni ujanja ujanja, Kitendo cha Yesu kuruhusu vitendo vya kuivunja sabato ni literally aliruhusu ivunjwe.
 
Hakunaga ktu kama dhambi ya kuifanya kwa akili au utakatifu wa kuufanya kwa akili, ikishafika hapo basi ni mambo ya ujanja ujanja wala hakuna uhalisia, ndipo sa mkaambiwa hyo ni kivuli ila mna ing'ang'ania, ni sawa na mtu akwambie zini kwa akili, au muheshimu mzazi kwa akili, au mpenda Mungu kwa Roho yako yote kwa akili ,..cheif huo ni ujanja ujanja, Kitendo cha Yesu kuruhusu vitendo vya kuivunja sabato ni literally aliruhusu ivunjwe.
Kwan kutunza sabato ni dhambi?
Sasa kama yesu aliruhusu ivunjwe iweje aseme hakuja kubadilisha sheria bali kuitimiza?
Na kama haina maana kwanini iwepo mbinguni?
Nyie mnaoivunja ndio mnaleta ujanja ujanja.
Sasa nikuulize kwanini mnaing'ang'ania jumapili?
 
Bi Ellen G White mwanzilishi wa sabato na Charles T Russell mwanzilishi wa Jehovah witness inasemwa walikuwa members wa freemason.
Kaburi la Russell lina muhuri wa freemason Kama la kanumba


SABATO IMEASISIWA NA MUNGU.

ILA KWA UPOFU WA KUTOJUA MAANDIKO MNAZIDI KUANGAMIA.
 
Mkuu kama wewe ni Mkristo basi kwenye debate unatakiwa uwe na vifungu vya Bible kuku suppprt hoja zako I mean evidence zilizothibitishwa nimejaribu kifuatilia mdahalo nimekupa zero marks

HUYU JAMAA yetu KICHWANI kweupe sana.

Ni muabudu sanamu HASA.
AMECHAGUA KUMTUMIKIA MNYAMA
 
Kwan kutunza sabato ni dhambi?
Sasa kama yesu aliruhusu ivunjwe iweje aseme hakuja kubadilisha sheria bali kuitimiza?
Na kama haina maana kwanini iwepo mbinguni?
Nyie mnaoivunja ndio mnaleta ujanja ujanja.
Sasa nikuulize kwanini mnaing'ang'ania jumapili?
Read again nilichoandika usijizime data, nimesema hata utakatifu wa akili uwa haupo, utakatifu ndio akili yenyewe, ukiona mpaka uongezee viakili akili ndio uwe utakatifu ujue hakuna utakatifu hapo, eti Mpende Yesu kwa akili ,hakuna ktu kama hko, halafu mbinguni wapi kutakuwa na siku ya sabato embu lete hlo andiko hapa tulisome, Kule hakuna usiku wala mchana kwa kifupi ni umilele hakuna days, na hata zingekuwepo u a uhakika gani kuwa itakuwa sabato hii ya jmosi mnayoabudu ninyi?Maana hata hii mnayoiabudu leo hamjui kama ndie yenyewe halisi ,mnatumia kalenda ya waroma then mnadai hamuwataki waroma, unadhani hizi siku za calendar ya Gregorian ndio hizi zilizokuwako mwanzo?
 
Kwan kutunza sabato ni dhambi?
Sasa kama yesu aliruhusu ivunjwe iweje aseme hakuja kubadilisha sheria bali kuitimiza?
Na kama haina maana kwanini iwepo mbinguni?
Nyie mnaoivunja ndio mnaleta ujanja ujanja.
Sasa nikuulize kwanini mnaing'ang'ania jumapili?
Halafu unaelewa maana ya kutimiza kweli, au unatembelea tuu tafsiri ulizokalilishwa na Ellen white sababu aliwaambia alipelekwa mbinguni kutafsiriwa maandiko? Kama hakuja kubadili imekuwaje sahv hamuombi toba kwa kutumia kafara za wanyama kama ilivyoamrishwa katika torati? Mbona sheria za uzinzi zilibadilishwa na kuboreshwa sasa hata kuangalia kwa kutamani tuu ni uzinzi? Kasome vzuri Bible yako utagundua maana ya kutimiza ni kuiboresha kwahyo badala ya kushika sabato kivuli umeletewa sabato halisi zaidi inayoshikika ambayo ni Yesu, hyo yenu ya siku kwanza hata kushika hamuwezi mnajifanya mnaitunza lakini in reality hamfuati hata nusu ya inavyopaswa, sasa hko ni kujichoshaa
 
Wewe unajizima data, sasaivi ntakuwa nakujibu kwa mafungu tu, wewe nijibu kwa ukivyokaririshwa na padri wako

nimesema hata utakatifu wa akili uwa haupo, utakatifu ndio akili yenyewe, ukiona mpaka uongezee viakili akili ndio uwe utakatifu ujue hakuna utakatifu hapo, eti Mpende Yesu kwa akili ,hakuna ktu kama hko,
Luka 10:27
Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote;
halafu mbinguni wapi kutakuwa na siku ya sabato embu lete hlo andiko hapa tulisome, Kule hakuna usiku wala mchana kwa kifupi ni umilele hakuna days,
Isaya 66:22-23
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa. 23 Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.
Waebrania 4:9
9 Kwa hiyo basi ipo bado sabato ya mapumziko waliyowekewa watu wa Mungu; 10 kwa maana, mtu anayeingia katika pumziko la Mungu, pia hupum zika kutoka katika kazi zake kama vile Mungu alivyopumzika baada ya kazi zake.
na hata zingekuwepo u a uhakika gani kuwa itakuwa sabato hii ya jmosi mnayoabudu ninyi?Maana hata hii mnayoiabudu leo hamjui kama ndie yenyewe halisi ,mnatumia kalenda ya waroma then mnadai hamuwataki waroma, unadhani hizi siku za calendar ya Gregorian ndio hizi zilizokuwako mwanzo?
Waroma hawakubadilisha siku...walichobadilisha ni miezi badala ya kuwa na siku 30 kufuata mwezi zikawa zinabadilika badilika. Hivyo mwaka badala ya kuwa na siku 360 ikawa na siku 365.
Wakabadilisa na siku ya kuabudu/kupumzika kutoka siku ya saba-jumamosi mpaka siku ya kwanza jumapili
Screenshot_20230616-160404_Chrome.jpg

Wayahudi bado wana kalenda yao inayofuata mwezi na mwaka unafuata jua...Hata leo ukienda israel wanasali jumamosi.

Kwanini uache kuifata biblia inayokuambia usali juamamosi unaamua kumfuata Mroma??
 
Halafu unaelewa maana ya kutimiza kweli, au unatembelea tuu tafsiri ulizokalilishwa na Ellen white sababu aliwaambia alipelekwa mbinguni kutafsiriwa maandiko?
Kwanza tuelewane, mimi sio msabato na wala simuamini Ellen white, mimi nafuata biblia fullstop.
Kama hakuja kubadili imekuwaje sahv hamuombi toba kwa kutumia kafara za wanyama kama ilivyoamrishwa katika torati?
Hizo torati ni sheria za Mussa..hizo ziliwekwa kwaajili ya watu wa zamani kukazia sheria za Mungu,hizo sio za lazima na Yesu ndo alizikamilisha.
Sheria ambazo hazibadiliki milele ni za mungu zile 10, na hazisemi habari za kafara. Hata kwenye Ufunuo 22:19 kuna mstari unasema Sanduku la Mungu litakuwepo mbinguni,unajua sanduku lile lina nini?? Lina amri 10 za Mungu.
Na kwenye hizo amri za milele sabato ipo.
Mbona sheria za uzinzi zilibadilishwa na kuboreshwa sasa hata kuangalia kwa kutamani tuu ni uzinzi?
Hapo haijabadilishwa,imefafanuliwa zaidi tu...unajua maana ya kubadilisha? Agesema uzinzi sio dhambi hapo ndo amebadilisha,kama mlivyobadilisha na kuachana na kuitunza sabato kabisa.
Kasome vzuri Bible yako utagundua maana ya kutimiza ni kuiboresha kwahyo badala ya kushika sabato kivuli umeletewa sabato halisi zaidi inayoshikika ambayo ni Yesu,
Yesu sio sabato na wala hakuna fungu la hivi haya ni mafundisho ya majini na manabii wa uongo....Yesu ndiye bwana wa Sabato yani mkuu wa Sabato.(Waebrania 4:13)
Namimi sikuhubirii hapa sabato ya wasabato, sisemi ni lazima usifanye kazi yoyote au usiuze wala kununua ila nakuambia kuwa sabato ipo na ni siku ya kumkumbuka Mungu, uumbaji wake na kumuabudu basi... sio lazima kwenda kanisani
hyo yenu ya siku kwanza hata kushika hamuwezi mnajifanya mnaitunza lakini in reality hamfuati hata nusu ya inavyopaswa, sasa hko ni kujichoshaa
Wewe hauelewi bado. Hiyo kuishika ipasavyo nadhani unarefer sheria za kuitunza according to torati ambayo ni sheria za Mussa.
Sabato njia nzuri ya kuitunza ni Kumkumbuka muumba wako na kutenda matendo mema kuudhihirishia ulimwengu kuwa wewe una mungu wa kweli.
Tembelea yatima,Saidia masikini,hubiri wapagani, hii siku ni kama sherehe ya kufurahia kuumbwa na Mungu na wala sio kifungo cha makanuni kama wasabato ba wayahudi wanavyofanya.
 
Back
Top Bottom