mtoto mdogo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 501
- 130
Nafahamu, ila nimeshasogea sana namalizia miaka michache iliyobaki ndio nistaafu. Naskilizia hili zuio la kusafiri kwa watumishi kama ndio limetukumba wote na tunaosafiri kwa gharama zetu wenyewe wakati wa likizo zetu maana ndio huwa muda wangu wa kufuata mzigo.
Polenii aisee itabidi usubiri tu